GALLAS AWAOMBA WATANZANIA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA VIRUSI VYA CORONA
BEKI wa Polisi Tanzania, Luccian William, ‘Gallas’ amesema kuwa kwa sasa anaendelea kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Corona huku akiwaomba watanzania kufuata kanuni za…
BEKI wa Polisi Tanzania, Luccian William, ‘Gallas’ amesema kuwa kwa sasa anaendelea kuchukua tahadhari dhidi ya Virusi vya Corona huku akiwaomba watanzania kufuata kanuni za…
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa umepokea barua nyingi za maombi ya kazi kutoka kwa makocha mbalimbali duniani wanaotaka kubeba mikoba ya Kocha Mkuu Arstica…
MOHAMED Hussein, ‘Tshabalala ‘ amesema kuwa kinachompa namba kikosi cha kwanza ni juhudi pamoja na kujituma bila kuchoka. Tshabalala amekuwa na msimu mzuri ndani ya Simba…
ALLY Niyonzima nyota anayekipiga ndani ya Klabu ya Rayon Sorts ya Rwanda na timu ya Taifa pia anatajwa kuingia kwenye rada za mabosi wa Yanga…
SADIO Mane mshambuliaji wa Liverpool inaelezwa kuwa yupo Kwenye hesabu za Kocha Mkuu wa Real Madrid, Zinadine Zidane ambaye anataka kupata huduma yake.Mane amekuwa kwenye…
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Ijumaa, nafasi ya kushinda ndinga mpya ni yako.
MOHAMED Hussein,’Tshabalala’ ni beki wa kushoto ndani ya klabu ya Simba pia ni nahodha msaidizi akifanya kazi na John Bocco ambaye ni kapteni mkubwa.Kwenye kikosi…
NYOTA wa Lipuli, Daruesh Saliboko amesema kuwa iwapo Yanga watakamilisha dili lake kutua makao makuu ya Jangwani watafurahi wenyewe kwani atatatua tatizo la ubutu wa…
JAMES Kotei, kiungo mkabaji ambaye alicheza kwa mafanikio ndani ya Klabu ya wa Simba amesema kuwa anapenda kurudi ndani ya Simba kwa kuwa hakuzinguana na…
GERSON Fraga, nyota wa Simba ambaye ni raia wa Brazil amesema kuwa mtindo wake wa ushangiliaji ni jina lake jipya ambalo amepewa na mashabiki pamoja…