DROO YA KWANZA JISHINDIE GARI YAFANYIKA LEO, WATATU WASEPA NA ZAWADI ZAO JUMLAJUMLA
DROO ya Kwanza ya Shindano la Jishindie Gari inayoendeshwa na Kampuni ya Global Group kupitia magazeti yake ya michezo ya Championi na Spoti Xtra imefanyika…
DROO ya Kwanza ya Shindano la Jishindie Gari inayoendeshwa na Kampuni ya Global Group kupitia magazeti yake ya michezo ya Championi na Spoti Xtra imefanyika…
ASHA Muhaji, mwandishi mwandamizi wa michezo nchini amefariki dunia leo alipokuwa akipatiwa huduma ya afya.Asha aliwahi Ofisa Habari wa Klabu ya Simba amekutwa na mauti…
KOCHA Msaidizi wa Simba FC, Selemani Matola amesema kuwa makocha wengi wanaozinoa klabu za Ligi Kuu Tanzania Bara, wanaishi kwa presha kwa kuwa hawana uhakika…
HARUNA Niyonzima, kiungo mshambuliaji ndani ya Yanga amesema kuwa kwa sasa anafurahia maisha ndani ya klabu hiyo kutokana na sapoti anayopata kutoka kwa wachezaji wenzake.Akizungumza…
BAADA ya nahodha wa Yanga, Papy Tshishimbi kusema kuwa hajaongeza kandarasi ndani ya klabu yake hiyo uongozi wa Simba umesema kuwa unatamani siku moja acheze…
BARCELONA ipo tayari kumuingiza sokoni mshambuliaji Antoine Griezmann lengo likiwa ni kupata kipato kwa ajili ya usajili ujao.Virusi vya Corona vinavyosababisha Ugonjwa wa Covid 19…
PAPY Tshishimbi, nahodha wa Yanga amesema kuwa kwa sasa hajaongeza mkataba ndani ya klabu yake hiyo hivyo yupo huru kuzungumza na timu yoyote itakayokuwa ikimhitaji.Nahodha…
BRUNO Fernandes, nyota wa Manchester United amekuwa msaada mkubwa ndani ya Klabu hiyo kwa sasa.Nguli wa zamani wa Klabu ya Manchester United Bryan Robson amepongeza…
GADIEL Michael, beki wa kushoto wa Simba amesema kuwa kuna ushindani mkubwa ndani ya kikosi cha Simba jambo linalomfanya afanye mazoezi kwa juhudi.Kwa sasa Ligi…