SABABU YA MBEYA CITY KUWA NAFASI YA 17 HII HAPA
MBEYA City iliyo nafasi ya 17 kwenye msimamo na pointi zake 30 kibindoni ipo chini ya Kocha Mkuu Amri Said.Timu hiyo imetupia jumla ya mabao…
MBEYA City iliyo nafasi ya 17 kwenye msimamo na pointi zake 30 kibindoni ipo chini ya Kocha Mkuu Amri Said.Timu hiyo imetupia jumla ya mabao…
HAWA wametwaa tuzo za Ligi Kuu Bara msimu wa 2019/20 ambapo kwa upande wa Arstica Cioaba amekuwa Kocha Mkuu aliyetwaa tuzo hiyo mara mbili.Kwa upande…
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa kwa sasa hauna mpango wa kutwaa Kombe la Ligi Kuu Bara kutokana na kuachwa kwa pointi nyingi na mpinzani wao…
FRANCIS Baraza, Kocha Mkuu wa Biashara United anaamini kuwa timu yake ina nafasi ya kufanya vizuri ndani ya Ligi Kuu Bara kutokana na mipango makini…
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa anaamini akipewa muda atakijenga kikosi cha Yanga na kuwa bora zaidi ya sasa.Kocha huyo amekiongoza kikosi hicho…
DITRAM Nchimbi, mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa licha ya kuwa kwenye mapumziko bado anaendelea kufanya mazoezi ili kuwinda kiwango chake.Nyota huyo mwenye mabao sita ndani…
MANCHESTER United imeweka mezani pauni milioni 50 ili kuinasa saini ya nyota wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang.Imeelezwa kuwa Auba amekuwa kwenye hesabu ya timu kubwa zinazotaka…
SIMBA ikiwa imecheza mechi 28 kwa sasa ndani ya Ligi Kuu Bara mlinda mlango wake namba mbili Beno Kakolanya amedaka mechi saba.Kwenye mechi hizo saba…
NYOTA wa timu ya Chelsea, Willian Borges da Silva raia wa Brazil amewaomba mabosi wake wampe ruhusa ya kusepa ndani ya London ili kuifuata familia…
GADIEL Michael, beki wa Simba amewataka watanzania kuchukua tahadhari za kujilinda dhidi ya Corona ili kulinda afya zao na familia kiujumla.Akizungumza na Saleh Jembe, Gadiel…