Home Authors Posts by admin

admin

24371 POSTS 9 COMMENTS

YANGA WAVUNJA UKIMYA, WATOA TAMKO LINGINE KUHUSIANA NA DANTE

0
UONGOZI wa Yanga umemtaka beki wa kati, Andrew Vicent ‘Dante’ kuripoti kambini kuendelea na mazoezi ya maandalizi ya mchezo wao dhidi ya Zesco ya...

AKILIMALI AANZA KUPOKEA MAELFU YA MCHANGO, ATOA MSISITIZO

0
Mwanachama na Mjumbe wa Baraza la Wazee katika klabu ya Yanga, Ibrahim Akilimali, Alhamisi ya wiki amepokea mchango wa fedha, kiasi shilingi za kitanzania...

YANGA YAPANGUA FITNA

0
Yanga wameamua. Wameanzisha kampeni maalum ya kuujaza Uwanja wa Taifa na kuwadhibiti wenzao wa Simba ambao wamepanga kuisapoti Zesco United ya Zambia katika mechi...

OLPER AKILI KUDANGA

0
WAKATI mastaa mbalimbali wa kike wakidaiwa kudanga kwa wanaume tofauti, mwigizaji Jacqueline Wolper amefunguka kuwa hata yeye amewahi kufanya hivyo, lakini kwa staili ya...

FERGUSON AMPA BONGE LA MTIHANI MENEJA WA ARSENAL

0
SIR Alex Ferguson, Kocha mstaafu wa timu ya Manchester United amempa kazi ngumu Kocha wa Arsenal, Unai Emery.Ferguson amesema Emery ana kazi ya kufanya...

REKODI HII YA KASEJA NDANI YA TAIFA STARS NA MWENZAKE WA...

0
JUMA Kaseja mlinda mlango wa Timu ya Taifa ya Tanzania ametoshana nguvu na Jonathan Nahimana mlinda mlango wa timu ya Taifa ya Burundi Kwa...

BEKI MKONGWE WA TIMU YA TAIFA YA BRAZIL APATA PIGO

0
BEKI wa zamani wa kikosi cha Brazil, Cafu amepata pigo kwa kufiwa na wanaye mkubwa aliyekuwa na umri wa miaka 30.Mtoto huyo, Danilo Feliciano...

DIJK ILIBAKI KIDOGO ATUE MANCHESTER UNITED, ALIYEZUIA DILI LAKE HUYU HAPA

0
JOSE Mourinho aliyekuwa meneja wa Manchester United inaelezwa kuwa alimchunia jumla beki wa Liverpool, Virgil Van Dijk.United ilikuwa kwenye harakati za kuinasa saini ya...

SIMBA SASA WAGEUZIA HASIRA ZAO TPL, WAPANIA KUIMALIZA MAPEMA MTIBWA SUGAR

0
UONGOZI wa Simba umesema kuwa umejipanga kufanya kweli kwenye mchezo wao wa ligi kuu dhidi ya Mtibwa Sugar utakaopigwa uwanja wa Uhuru, Septemba 17.Akizungumza...

EXCLUSIVE, YANGA WAIGOMEA VODACOM

0
Uongozi wa klabu ya Yanga kupitia Makamu Mwenyekiti wake, Fredirci Mwakalebela, umesema hautaweza kuvaa jezi yenye nembo nyekundu ambayo ni ya wadhamini wa Ligi...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS