admin
KUMBE, BEKI MANCHESTER UNITED ALIMPA HASIRA BILLY WA CHELSEA
KIUNGO wa Chelsea, Billy Gilmour amesema aliweza kucheza vizuri katika mechi yao dhidi ya Liverpool baada ya kuamua kuwa imara kutokana na mkwara aliopigwa...
NYOTA BORUSSIA DORTUMUND ATAJA SABABU YA KUTOMSAHAU KOCHA WA MANCHESTER UNITED
NYOTA wa timu ya Borussia Dortumund, Earling Haalad amesema kuwa hawezi kumsahau Kocha Mkuu wa Manchester United, Ole Gunnnar Solkkajer, kwa sapoti yake.Wote wawili...
MBELGIJI WA SIMBA AWATAKA WACHEZAJI WAKE KUWAPA BURUDANI MASHABIKI MACHI 8,...
KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck amesema kuwa kuelekea mchezo wao wa Jumapili, Machi 8, Uwanja wa Taifa dhidi ya Yanga wachezaji wake lazima...
MILIONI 200 ZAWEKWA MEZANI KWA YANGA KUIUA SIMBA MACHI 8 TAIFA
UONGOZI wa Yanga na mdhamini GSM wameahidi kutoa Sh milioni 200 kwa wachezaji wa Yanga iwapo watashinda mechi yao dhidi ya Simba Jumapili, Machi...
BOSI SIMBA ATUMA UJUMBE KWA KOCHA, WACHEZAJI KISA YANGA
KUELEKEA kwenye mchezo kati ya Yanga na Simba utakaopigwa Machi 8, Uwanja wa Taifa, Mwenyekiti wa Bodi ya Uwekezaji ndani ya Simba, Mohammed Dewji...
NDANDA YAKUTANA NA RUNGU LA TFF NAMNA HII
Timu ya Ndanda FC imetozwa faini ya Tsh 1,000,000 (milioni moja) kwa kosa la timu hiyo kuingia uwanjani kwa kupitia mlango usio rasmi na...
YANGA YATAJA MBINU ITAKAYOIMALIZA SIMBA MACHI 8 TAIFA
CHARLES Mkwasa, Kocha Msaidizi wa Yanga amesema kuwa mbinu iliyowashangaza wengi Januari 4, Uwanja wa Taifa itatumika pia baada ya dakika 90 kwenye mchezo...
NJIA RAHISI YA KUPATA NDINGA MPYA KWA BEI CHEE IPO HIVI
SIYO hadithi tena za kale, kwani ukiwa mjanja kwa kusoma magazeti ya Championi au Spoti Xtra kila wiki, unaweza ukawa miongoni mwa watu ambao...
HUYO PILATO WA YANGA NA SIMBA NOMA, YANGA ILILIA PENALTI, SIMBA...
JOTO limezidi kupanda kuelekea Machi 8 ambapo kutakuwa na mchezo kati ya Yanga na Simba uakaopigwa Uwanja wa Taifa.Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limemtaja...
COASTAL UNION: HAKUNA ISHU YA KUONEANA HURUMA KWENYE LIGI
NAHODHA wa timu ya Coastal Union Bakari Nondo amesema kuwa kwenye mchezo wa mpira hakuna suala la kuoneana huruma.Coastal Union jana iliibamiza bao 1-0...









