ABALORA KIKWAZO NAMBA MOJA KWA IHEFU KUTINGA ROBO FAINALI FA
RAZACK Abalora mlinda mlango namba moja wa Azam FC jana alikuwa kikwazo namba moja kwa timu ya Ihefu FC inayoshiriki Ligi Daraja ka Kwanza kutinga…
RAZACK Abalora mlinda mlango namba moja wa Azam FC jana alikuwa kikwazo namba moja kwa timu ya Ihefu FC inayoshiriki Ligi Daraja ka Kwanza kutinga…
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa nyota wao Salum Kihimbwa amerejea rasmi uwanjani kutokana na kupona majeraha yake.Kihimbwa alikuwa nje ya kikosi hicho cha Mtibwa…
HASSAN Dilunga, kiungo mshambuliaji wa Simba amesema kuwa kukosa kwa penalti kwa mshambuliaji wa Simba Meddie Kagere ni sehemu ya mchezo ana imani atajifunza na…
HARUNA Niyonzima, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa hakukuwa na namna ilikuwa lazima Gwambina FC ifungwe ili kurejesha furaha kwa mashabiki na nguvu kwa wachezaji.Yanga…
MACHI Mosi, Uwanja wa Taifa, KMC itakuwa na kibarua cha kumenyana na Simba mchezo wa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara.KMC ina kumbkumbu…
BAADA ya hatua ya 16 Bora ya michuano ya Kombe la Shirikisho kukamilika hizi hapa zimetinga hatua ya Robo Fainali
KOCHA Mkuu wa Lipuli Nzeyimana Mailo raia wa Burundi amesema kuwa ana imani ataleta mabadiliko ndani ya timu ya Lipuli baada ya kupewa kandarasi ya…
JANA Februari 26 kikosi cha Simba kilitua Dar kikitokea Shinyanga, leo kinatarajiwa kuanza mazoezi kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Jumapili,…
FELIX Minziro, Kocha Mkuu wa Alliance FC amesema kuwa ushindi wao walioupata mbele ya JKT Tanzania sio ujanja bali ni bahati kwani penalti hazina mwenyewe.Minziro…
YANGA leo imetinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Gwambina FC mchezo uliochezwa Uwanja wa Uhuru.…