admin
ZAHERA AMUACHA KIUNGO YANGA
AKIWA na uhakika wa safari ya Botswana, kiungo mshambuliaji, Jaffer Mohamed ‘rasta’ juzi alikatwa dakika za mwisho na kuwekwa mshambuliaji raia wa Kenya, Maybin...
ZAHERA AFUNGUKA JUU YA KUONDOKA YANGA
Imeelezwa kuwa Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amekanusha taarifa zilizosambaa mitandaoni kuwa anataka kufutwa kibarua cha kuendelea kuinoa timu hiyo.Zahera ambaye hivi sasa...
YANGA WATIBUA MBINU ZA TOWNSHIP ROLLERS NAMNA HII
TUMEWATIBULIA! Hivyo ndivyo viongozi wa Yanga wanatamba ni baada ya kushtukia janja ya wapinzani wao Township Rollers ya nchini Botswana.Yanga inatarajiwa kuvaana na Rollers...
YANGA YANYOFOLEWA MMOJA TEGEMEO, AIBUKIA UARABUNI
Raarifa zimeeleza kuwa Edward amemalizana na timu hiyo inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza kwa kusaini mkataba wa miaka minne itakayomfanya aendelee kuhudumu mpaka mwaka...
AJIBU ATUMA SALAAM ZA VITISHO SIMBA
BAADA ya kuwa nje kutokana na majeraha na kurejea kwenye mazoezi straika wa Simba Ibrahim Ajibu, amefunguka kuwa ameanza mazoezi atawakosa UD Songo ila...
UBAGUZI DHIDI YA POGBA WAZUA HISIA KALI
MKUFUNZI wa timu ya soka upande wa akina dada nchini England, Phil Neville, amesema kuwa wachezaji wanapaswa kususia mitandao ya kijamii ili kutuma ujumbe...
MAVUGO ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA ZAMBIA, AFUNGA MABAO 10
Straika wa zamani wa timu ya Simba, Laudit Mavugo, ametwaa tuzo ya ufungaji bora nchini Zambia.Mavugo ambaye anakipiga na Napsa Stars hivi sasa ya...
NYONI AWEKWA KITIMOTO SIMBA
BAADA ya hivi karibuni mabeki wa kati wa Simba, Pascal Wawa na Erasto Nyoni kufanya makosa kadhaa katika mchezo wa Ngao ya Jamii dhidi...
SHIBOUB AMPOTEZA OKWI
ALIYEKUWA mshambuliaji wa Simba Mganda, Emmanuel Okwi ambaye amesajiliwa na klabu ya Al Ittihad ya Misri msimu huu hatashiriki michuano ya kimataifa akiwa na...
CLUB 361 INAKULETEA MAPAMBANO YA UBINGWA AFRIKA MASHARIKI NA KATI
#CLUB361MWENGE #JUMAMOSI Agosti 24, 2019Mapambano ya Ubingwa wa Afrika Mashariki na kati, kufanyika #JUMAMOSI Agosti 24, 2019 Club 361 Mwenge jijini Dar es Salaam...