UNAIONA FILAMU YA KIFO CHA SINGIDA UNITED ILIVYOANDALIWA NA SASA NI WAKATI MWAFAKA WA KUMALIZIA KUSHUHUDIA
Na Saleh Ally KABLA ya mechi ya jana dhidi ya Alliance, Singida United ilikuwa na pointi 11 mkiani mwa Ligi Kuu Bara na huenda ikabaki…
Na Saleh Ally KABLA ya mechi ya jana dhidi ya Alliance, Singida United ilikuwa na pointi 11 mkiani mwa Ligi Kuu Bara na huenda ikabaki…
MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba amesema kuwa anafunga kwa kuwa ni kazi yake na malengo yake kuendelea kufunga kila anapopata nafasi.Simba ikiwa imefunga mabao 50,…
KEVIN De Bruyne ni mbaya kwenye mipira ya mwisho ndani ya Manchester City kwani amekuwa ni mtambo wa kutengeneza mabao na anafunga pia.Akiwa amecheza dakika…
KIKOSI cha Yanga kimerejea Dar baada ya kumalizana na Coastal Union jana, Februari 23 kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara.Mchezo huo Yanga ilisepa na pointi…
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa mpira sio sawa na rede una kanuni zake jambo ambalo wanapaswa walielewe mashabiki.Yanga imelazimisha sare kwenye mechi nne mfululizo za…
KIKOSI cha Simba leo kinatarajia kuanza safari kuelekea Shinyanga kwa ajili ya mchezo wao wa Kombe la Shirikisho utakaochezwa kesho, Februari 25 Uwanja wa CCM…
NAHODHA wa Coastal Union, Bakari Nondo amesema kuwa haikuwa bahati yao kuibuka na ushindi mbele ya Yanga jana Uwanja wa Mkwakwani Tanga licha ya kupambana…
ZUBER Katwila, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar amesema kuwa mechi yake mbele ya Mbeya City ilikuwa nyepesi kwao licha ya kichapo cha bao 1-0 walichokipata.Februari…
BAO la mapema walilopata wapinzani wa Arsenal kwenye mchezo wa Ligi Kuu England lililofungwa na Dominic Calvert-Lewin wa Everton dakika ya kwanza mbele ya Arsenal…
Pierre-Emerick Aubameyang, nahodha wa timu ya Arsenal amesema kuwa ni furaha kwa timu yake kushinda mchezo wao mbele ya wapinzani Everton.Aubameyang alifunga mabao mawili kwenye…