admin
AGOSTI 30 MZIZIMA BOXING FAMILY GROUP KUKIWASHA, MASHABIKI WAITWA KUPATA UHONDO
MWENYEKITI wa kundi la Mzizima Boxing Family Group (MBFG), Dr.Abdallah Mandai amewataka mashabiki wa mchezo wa boxing kujitokeza kwa wingi Agosti 30 ukumbi wa...
SIMBA HII SASA SIFA, TAZAMA MAZOEZI WALIYOYAFANYA – VIDEO
Kikosi cha Simba kimeendelea kujiandaa na mazoezi katika Uwanja wa Bocco Vetrani uliopo jijini Dar es Salaam.
BOB JUNIOR AMTAJA HARMONIZE, DIAMOND – VIDEO
Msanii nguli wa muziki wa Bongo fleva Bob Junior amesema kosa lake ni kukaa kimya kwa muda mrefu na ndio maana alikuwa hasikiki.Ameongeza kuwa...
BOB JUNIOR ARUDI KWA KISHINDO, AMSHIRIKISHA DIAMOND PLATNUMZ – VIDEO
MSANII Bob Junior ambaye alifanya vizuri sana katikati ya miaka ya 2000 kwa kuachia hit songs kama Oyoyo, Nichum na zingine nyingi amefanya Exclusive...
MANULA: KAKOLANYA HAWEZI KUTISHIA NAFASI YANGU – VIDEO
Kipa watimu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' Aishi Manula amesema hatishwi na uwezo wa mlinda mlango msaidizi wake Beno kakolanya bali analoliangalia kwa...
TANZANIA YAANZA KWA KUCHECHEMEA MICHUANO YA CECAFA
KIKOSI cha Timu ya Taifa ya Tanzania Chini ya Miaka 15 leo kimeanza kwa kuchechemea mbele ya Uganda kwa kupoteza mchezo wa kwanza kwa...
MASHINE 21 ZA MAANGAMIZI YANGA ZILIZOONDOKA KWENDA KUMALIZA KAZI BOSTWANA
Kikosi cha yanga kilichoondoka Dar es Salaam kuelekea Botswana kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya Township Rollers.1. Metacha Mnata2. Paulo Godffrey3. Kelvin...
MANARA ATAJA SABABU ZA SIMBA KUTOJAZA UWANJA MECHI NA AZAM FC
Alichokiandika Ofisa Habari wa Simba baada ya mechi vs Azam kushindwa kuujaza Uwanja, azungumzia pia mechi na UD Songo.