LUC AJA NA KITU KIPYA YANGA
Katika kuisuka safu yake ya ushambuliaji, Kocha Mkuu wa Yanga, Mbelgiji, Luc Eymael ametengeneza kombinesheni tatu hatari za kufunga mabao huku akimtumia kiungo wake mshambuliaji…
Katika kuisuka safu yake ya ushambuliaji, Kocha Mkuu wa Yanga, Mbelgiji, Luc Eymael ametengeneza kombinesheni tatu hatari za kufunga mabao huku akimtumia kiungo wake mshambuliaji…
Mshambuliaji wa Yanga, Tariq Self Kiakala, amewaambia mashabiki wa timu hiyo kuwa yupo fiti na amepona kabisa majeraha yake. Tariq aliumia mguu katika mchezo dhidi…
Luc Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa miongoni mwa vitu anavyojivunia ndani ya Yanga ni kuwa na aina ya wachezaji wengi wenye uwezo mkubwa…
KIUNGO wa timu ya Liverpool, Adam Lalallana anajiandaa kwa sasa kusepa ndani ya kikosi hicho kilicho chini ya Jurgen Klopp. Nyota huyo mwenye miaka 31,…
Simba 0-0 JKT TanzaniaUwanja wa UhuruMCHEZO ulianza kwa sasa Uwanja wa Uhuru ni kati ya Simba na JK Tanzania.Nyota wapya wa Simba, Luis na Shiza…
Kikosi cha Simba kitakachocheza dhidi ya JKT Tanzania.
SIMBA leo itakuwa Uwanja wa Uhura saa 10:00 Jioni kumenyana na JKT Tanzania kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa…
LUC Eymael, Mkuu wa Yanga amesema kuwa anaamini wachezaji wake watafanya vizuri kwenye mchezo wao wa kesho, Februari 8,2020, dhidi ya Ruvu Shooting utakaochezwa Uwanja…
CRISTIANO Ronaldo, nyota wa Juventus amefikisha jumla ya mabao 50 akiwa kwenye maisha ya soka nchini Italia.Nyota huyo mwenye miaka 35 alifikisha idadi hiyo wakati…
HASSAN Bumbuli, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa Ruvu Shooting wasitarajie kuokota dodo chini ya mbuyu kesho Uwanja wa Taifa kwa kuwa mchezo wa kwanza…