MWAMUZI HUYU NA TABIA ZAKE, ANANIPA HOFU YA LIGI KUU BARA ITAKAVYOKWENDA
MKURUGENZI TPLB, BONIFACE WAMBURA NA SALEH ALLY NIKO katika Kundi la Mtandao wa Whatsapp ambalo linajumuisha wadau wengi sana wa mchezo wa soka. Wadau kwa…
MKURUGENZI TPLB, BONIFACE WAMBURA NA SALEH ALLY NIKO katika Kundi la Mtandao wa Whatsapp ambalo linajumuisha wadau wengi sana wa mchezo wa soka. Wadau kwa…
Kuachwa au kuacha kusikie kwa wengine, usiombe yakukute! Hayo ni maneno ya mwanamuziki wa kike wa Bongo Fleva, Hellen George ‘Ruby’ ambaye juzikati zilisambaa tetesi…
Hatimaye Alexis Sanchez ametua jijini Milan kukamilisha dili la kujiunga na Inter Milan kwa mkopo akitokea Manchester United.Sanchez ametua jijini hapo baada ya kudumu United…
Mshambuliaji Mtanzania, Mbwana Samatta anayechezea Genk atakuwa na nafasi ya kucheza dhidi ya Liverpool ya England katika Hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya…
Msanii nguli wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini, maarufu kama Dudubaya ama Konki Master, ameamua kuokoka na kumrudia Mungu, jambo ambalo liimewaacha mdomo wazi watu wengi.Taarifa…
Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba na shahidi namba nane katika kesi inayowakabili waliokuwa viongozi Simba, Kassim Dewji ameieleza mahakama jinsi walivyopanga matumizi ya…
Katika kile kinachoonekana ni kama kuwa wagumu kibiashara, Klabu ya Paris Saint-Germain ya Ufaransa imeendelea kumuwekea ngumu staa wao Neymar kuondoka baada ya kukataa ofa…
NAHODHA wa timu ya Waliooa FC wa Kampuni ya Global Group Publisher, Philip Nkini amechekelea udhamini wa nguvu kutoka kwa Saleh Jembe.Waliooa FC wanatarajia kucheza…
Taarifa ya Chama cha Hakimiliki Tanzania (The Copyright Society of Tanzania – COSOTA) kuwa imesimamia na kuhakikisha rapa maarufu nchini ambaye pia ni Mbunge wa…
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno na Klabu ya Juventus ya Italia, Cristiano Ronaldo, amekuwa kivutio kwa timu yake huku akiiongezea wafuasi milioni 20 Instagram baada…