WAWILI WADAI MILIONI 58 YANGA
Taarifa zinaeleza kwamba uongozi wa Yanga bado unapambana kulipa madeni ya wachezaji wao kadhaa ambao bado wanaidai klabu hiyo yenye masikani yake mitaa ya Twiga…
Taarifa zinaeleza kwamba uongozi wa Yanga bado unapambana kulipa madeni ya wachezaji wao kadhaa ambao bado wanaidai klabu hiyo yenye masikani yake mitaa ya Twiga…
PATRICK Aussems, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa anashangazwa na taarifa ambazo zinaeleza kuwa winga machachari fundi wa kutumia mguu wa kushoto yupoyupo Bongo kwa…
JUMA Pondamali, aliyekuwa kocha wa makipa ndani ya Yanga amesema kuwa kwa sasa atapambana na muziki kuufikisha hatua za kimataifa.Pondamali kwa sasa amekacha kazi ya…
KIKOSI cha Yanga leokimeanza safari kuelekea nyanda za juu kaskazini kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa kimataifa wa marudio dhidi ya Township Rollers.Mwenyekiti wa…
PAUL Pogba, kiungo wa Manchester United amefungua mjadala mpya juu ya ishu yake ya kutaka kutimka ndani ya kikosi hicho.Pogba kabla ya msimu alisema wazi…
NAIBU Waziri wa Habari, Sanaa, Michezo na Utamaduni, Juliana Shonza amesema kuwa mafanikio ya timu ya Taifa ya Wanawake chini ya miaka 20 ‘Tanzanite’ ni…
MWINYI Zahera, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kasi ya Patrick Sibomana raia wa Rwanda ya kushuka na kupandisha mashambulizi itawabeba kitaifa na kimataifa. Zahera amesema…
PATRICK Aussems, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kwa sasa mpango wake anauwekeza kwenye mchezo wa ngao ya jamii dhidi ya Azam FC utakaochezwa uwanja…
KIKOSI cha JKT Tanzania kimejichimbia Visiwani Zanzibar kwa ajili ya maandalizi ya mwisho kuelekea kwenye Ligi Kuu Bara inayotarajiwa kuanza kutimu vumbi Agosti 23.JKT Tanzania…