NYOTA HUYU AANDALIWA KUWA MRITHI WA DAVID SILVA NDANI YA MANCHESTER CITY
PHIL Foden, kiungo mshambulijaji ni miongoni mwa nyota wenye kipaji cha hali ya juu ambacho wapo nacho kati ya wachezaji vijana ambao wanakipiga Ligi Kuu…
PHIL Foden, kiungo mshambulijaji ni miongoni mwa nyota wenye kipaji cha hali ya juu ambacho wapo nacho kati ya wachezaji vijana ambao wanakipiga Ligi Kuu…
MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ndani ya Simba, Mohammed Dewj ‘Mo’ amesema kuwa anapenda kuona timu ya Simba inafikia hatua kubwa ya mafanikio kitaifa na…
SELEMAN Matola, Kocha wa Polisi Tanzania amesema kuwa ushindani msimu ujao utakuwa mgumu kutokana na timu zote kujipanga kwa ushindani.Matola amesema kuwa kila kitu kinakwenda…
KAMPUNI ya SportPesa kwa kushirikiana na Simba SC leo imetembelea baadhi ya vituo vya soka na kugawa vifaa vya michezo kwa timu.Jumla ya vituo vitatu…
KIUNGO wa Wolves, Morgan Gibbs-Whites msimu uliopita alikuwa kwenye maandalizi kwa ajili ya msimu ujao unaotarajiwa kuanza kutimua vumbi Agosti 9. Kinda huyo anayekipiga Wolves…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema kuwa kama Kocha Mkuu wa Simba ataamua kuendelea kuvaa mavazi meupe hawezi kumshangaa kwani ni maamuzi yake.Patrick Aussems,…
AZAM FC, mabingwa wa kombe la Shirikisho wametia timu nchini Ethioppia tayari kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Fasil Kenema.Mchezo wa kwanza Azam itaupiga…
KESHO mambo ni moto ndani ya Gazeti la SPOTIXTRA Alhamis.
KIKOSI cha KMC kesho kinatarajia kukwea pipa kielekea nchini Rwanda kwa ajili ya mchezo wa kimataifa dhidi ya AS Kigali.KMC itacheza mchezo wake wa kwanza…
KIUNGO mshambuliaji mpya wa Yanga, Mnyarwanda, Issa Bigirimana ‘Walcott’ amekiona cha moto baada ya ‘wahuni’ kufanya utapeli kwa kutumia akaunti yake. Mnyarwanda huyo ni kati…