BEKI SIMBA ARUHUSU USAJILI WA KIRAKA YANGA
USAJILI wa beki wa pembeni, Gadiel Michael Simba umemnusuru kiraka rasta wa Yanga, Jaffari Mohammed kuendelea kubakia kuichezea timu hiyo.Kiungo huyo, awali hakuwepo kwenye orodha…
USAJILI wa beki wa pembeni, Gadiel Michael Simba umemnusuru kiraka rasta wa Yanga, Jaffari Mohammed kuendelea kubakia kuichezea timu hiyo.Kiungo huyo, awali hakuwepo kwenye orodha…
Uwepo wa mastaa wapya wa Yanga kambini mkoani Morogoro wakiwemo Issa Bigirimana na Maybin Kalengo, umefanya kocha mkuu wa timu hiyo, Mwinyi Zahera fasta arudi…
ALIYEKUWA mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi juzi jioni amewaaga rasmi wachezaji wenzake aliokuwa nao katika kikosi cha Simba msimu uliopita huku pia akiwaachia ujumbe…
Katika kuhakikisha kikosi cha Yanga kinakuwa imara zaidi msimu ujao, Kocha Msaidizi wa timu hiyo, Noel Mwandila amewaanzisha tizi la kibabe wachezaji hao kwa kuanza…
ETTIENE Ndayiragije, Kocha wa Azam FC amesema kuwa suluhu waliyoipata leo kweye michuano ya Kagame dhidi ya Bandari inawaweka kwenye wakati wa kusubiri hatma yao…
ROB Holding beki wa Arsenal anatarajiwa kukosa mechi za mwanzoni mwa msimu ujao kutokana na kuendelea kuuguza jeraha lake la goti alilolipata Desemba mwaka jana.Holding…
Wakati usajili wa kimataifa ukifungwa rasmi Julai 10, mwaka huu, Klabu ya Simba imesema haina hofu, ipo tayari kutoa faini ili kuweza kukamilisha usajili wake…
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limezitaka timu zote zinazoshiriki Ligi Kuu Bara kukamilisha usajili Kwa njia ya mtandao (Tanfootball Connect) kabla ya usajili kufungwa kwani…
Uongozi wa Simba umesema kuwa, wachezaji wa timu hiyo walianza kutua nchini kuanzia juzi Jumatatu na wanatarajiwa kuingia kambini Julai 15 lakini wataanza kwanza kufanyiwa…
Kocha Mkuu wa Azam FC, Ettiene Ndayiragije, amesema, anachokifanya kwenye michuano ya Kagame nchini Rwanda ni kusaka rekodi ikiwemo kutetea kombe lao hilo.Azam FC ambao…