Staff Desk
SIO SIMBA, YANGA MAMBO NI MAGUMU STORI KAMILI IKO HIVI
Gazeti la Mwananchi jana Jumapili limeripoti katika ukurasa wake wa michezo wa nyuma kwamba “Simba, Yanga mambo magumu Afrika”, likizungumzia matokeo ya mechi mbili...
AHMED ALLY ASEMA HAYA KUHUSU WYDAD SIO POA
Afisa Habari na Mawasiliano wa ‘klabu’ ya #SimbaSC, #AhmedAlly amedai kuwa ‘klabu’ ya Wydad ni mnyama mkali aliyesinzia hivyo wanatakiwa kujiandaa kukabiliana nao katika...
UJIO WA KOCHA MPYA SIMBA,ULIVYOWASAHAULISHA WANAMSIMBAZI MIAKA 30 YA SIMANZI
Inawezekana wengi wenu hii imewapita. Sio kwa sababu hamjui, ila ni kutokana na kuwa bize na ujio wa Kocha Mpya wa Simba, Abdelhak Benchikha...
BAADA YA UKIMYA MWINGI ONYANGO AFUNGUKA HAYA
Baada ya kimya cha muda mrefu bila kuonekana uwanjani akiwa na kikosi cha Singida Fountain Gate, beki Joash Onyango ameweka wazi kilichofanya asionekane ni...
MASHABIKI WAYDAD WAFUATA NYAYO ZA SIMBA WAMEKIWASHA HUKO HATARI
Mashabiki wa Klab ya Wydad Club ya Morocco wameanza kampeni za kumuondoa madarakani Mwenyekiti wao wa sasa Said Naciri, hii ni baada ya klabu...
BENCHIKHA ABEBA WINGA
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
BENCHIKHA TULISTAHILI USHINDI
benchikha afunguka yaliyotokea botswana baada ya kulazimishwa sare na wenyeji wao katika michuano ya caf
KOCHA WYDAD HALI SI SHWARI TENA
Uongozi wa Klabu ya Wydad Ac ya Morocco muda wowote unaweza kumfuta kazi kocha wao Mkuu Adel Ramzi.
Taarifa inathibitisha kuwa muda wowote kuanzia Sasa...
CHAMPIONSHIP MUAMUZI AZUA GUMZO…ISHU IKO HIVI
Mwamuzi wa kati Selugwani Shija ameleta gumzo kwenye Ligi ya Championship jana katika mchezo kati ya Biashara United ya Maea dhidi ya Mbeya City...
JINSI PACOME ALIVYOINUSURU YANGA KWENYE HATARI YA WARABU
Yanga imeondoka na pointi moja baada ya kutoka sare ya bao 1-1 dhidi ya Al Ahly kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam...