Staff Desk
GAMONDI ATOA AHADI HII BAADA YA KIPIGO
Kocha wa Klabu ya Yanga, Miguel Gamondi raia wa Argentina ameahidi kuibuka na ushindi katika mchezo wa kesho Jumamosi dhidi ya Geita Gold.
Mchezo huo...
ROBERTINHO AJA NA MKAKATI HUU SIMBA SC
Kocha Mkuu wa Simba SC, Roberto Oliviera ‘Robertinho’ ana jambo lake ndani ya timu hiyo kwani imefichuka ameagiza benchi lake la ufundi kutumia michezo...
HAWA NDIO ANGUKO LA GAMONDI
Nafurahishwa na wanachopatiwa washambuliaji wa Yanga lakini siridhishwi na wanachokifanya. Kenedy Musonda, Clement Mzize na hata Konkoni walipaswa kutoa zaidi ya walichofanya hadi sasa....
GAMONDI AFANYA MAAMUZI HAYA MAMBO YAISHE
Baada ya timu yake kupoteza mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Tanzania Bara, Kocha Mkuu wa Young Africans, Miguel Angel Gamondi amesema sababu kuu...
GAMONDI: TULIFANYA KOSA HILI IKAWA NI ZAWADI KWA WAPINZANI
Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, amezungumzia kiufundi mchezo wa juzi waliopoteza kwa magoli 2-1 dhidi ya Ihefu katika muendelezo wa Ligi Kuu ya...
UONGOZI WA YANGA WATOA TAMKO HILI BAADA YA KUPOTEZA
Uongozi wa Yanga umetoa kauli yake mara baada ya timu yao kupoteza mechi ya kwanza ya ligi ukisema wamepoteza mechi na sio ubingwa wao...
GAMONDI AFUNGUKA HAYA MALIPO UBINGWA PAWEKWA WAZI
Kikosi cha Yanga juzi hakikulala jijini Mbeya, kwani mara baada ya kupoteza mabao 2-1 mbele ya wenyeji wa Ihefu, ikiwa ni mara ya pili...
LEO NDIO LEO DROO YA CAF HAPA SIMBA PALE YANGA…… UPI...
Kabla ya kivumbi cha Coastal na Azam leo usiku pale Tanga, Simba na Yanga zitakuwa kwenye mijadala mizito. Droo ya makundi ya Ligi ya...
SIMBA WABADILI GIA ANGANI KISA MPIRA HUU
Uongozi wa Simba umeweka wazi kuwa utarejea ukiwa imara zaidi na mwendo mwingine kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kutinga hatua...
DROO CAF….. YEYOTE NA AJE TU
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo