SIMBA: TUNAPITIA KIPINDI KIGUMU KWA SASA

0

 JONAS Mkude, kiungo mkabaji wa muda mrefu ndani ya Simba ambaye ana uhakika wa namba kikosi cha kwanza amesema kuwa kwa sasa timu hiyo inapitia kwenye kipidi kigumu kutokana na aina ya matokeo ambayo wanayapata.Simba imepoteza mechi mbili mfululizo ndani ya ligi ambazo ni dakika 180 na kuifanya ibaki na pointi zake 13 ikiwa nafasi ya nne kwenye msimamo.Ilipokea...

FOUNTAIN GATE: MALENGO YETU KUSHIRIKI LIGI KUU BARA

0

 KWA miaka miwili mfululizo tangu 2018, Fountain Gate imefanikiwa kuwa miongoni mwa timu bora zilizofanikiwa kupanda daraja hadi kuweza kushiriki Ligi Daraja la Kwanza msimu huu wa 2020/21 tangu kikosi kuanzishwa.Katika msimu huu ndani ya kundi B, Fountain Gate imeweza kucheza michezo mitatu ambapo alicheza dhidi ya Alliance FC na kufunga mabao 3-0, Rhino Rangers 0-1 na Oktoba 24...

KAZE WA YANGA ATENGEWA MKWANJA WA MAANA KWA AJILI YA KUFANYA USAJILI

0

 BAADA ya usajili wa kiungo mshambuliaji raia wa Burundi, Said Ntibazonkiza uongozi wa Yanga umesema kuwa upo tayari kufanya usajili mwingine wa mchezaji wa kigeni katika usajili wa dirisha dogo kama Kocha Mkuu Cedric Kaze atapendekeza mchezaji, kwani fedha ipo. Yanga hivi karibuni ilifanikisha usajili wa Ntibazonkiza baada ya Kaze kupendekeza usajili wake akiwa Canada kabla ya kutua nchini kujiunga...

MTUPIAJI NAMBA MOJA NAMUNGO, BLAISE ATAJA KINACHOWAPA TABU

0

 BIGIRIMANA Blaise, mtupiaji namba moja ndani ya Klabu ya Namungo FC amesema kuwa sababu kubwa inayofanya timu yao kuyumba kwa sasa ni kutokana na uwepo wa maingizo mapya ndani ya timu hiyo jambo linalowapa tabu kupata matokeo.Kwa sasa Namungo FC ikiwa imecheza jumla ya mechi 8 ipo nafasi ya 11 na pointi zake kibindoni ni 10, imeshinda mechi tatu,...

BAKARI MWAMNYETO AMPOTEZA JUMLAJUMLA JOASH ONYANGO WA SIMBA

0

 BEKI wa kati wa Yanga, Bakari Mwamnyeto ambaye ni mzawa, amempoteza mazima beki kisiki wa Simba, Joash Onyango raia wa Uganda kwenye kazi ya ulinzi ndani ya timu hizo mbili ambazo zinatarajiwa kukutana Novemba 7, mwaka huu. Onyango wa Simba ameshuhudia Aishi Manula akiokota kambani mabao matatu kwenye viwanja vya mikoani ambao alianza kushuhudia kwa mara ya kwanza kwenye Uwanja wa Sokoine...

AZAM FC AKILI ZOTE KWA JKT TANZANIA

0

 UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa kupoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar sio mwisho wa mapambano ndani ya Ligi Kuu Bara.Azam FC chini ya Kocha Mkuu, Aristica Cioaba ilicheza mechi saba mfululizo bila kupoteza na yote ilishinda na kusepa na pointi 21 jumlajumla ikiwa nafasi ya kwanza.Mchezo wa kwanza ilipoteza kwa kufungwa bao na nyota wa...

KAGERA SUGAR: TUTARUDI KWENYE UBORA WETU, MASHABIKI WATUPE SAPOTI

0

NYOTA wa Kagera Sugar, Yusuph Mhilu amesema kuwa anaamini timu yake ya Kagera Sugar itarejea kwenye ubora wake na itafanya vizuri katika mechi zao zijazo licha ya kuwa na mwendo wa kusuasua kwa msimu wa 2020/21.Kwa sasa Kagera Sugar inayonolewa na Kocha Mkuu, Mecky Maxime ipo nafasi ya 16 ikiwa na pointi 5 baada ya kucheza mechi nane.Safu ya...

YANGA YAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA BIASHARA UNITED

0

 CEDRIC Kaze, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa kikosi chake kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Biashara United.Mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Oktoba 31, utakuwa ni wa tatu kwa Kaze kukaa kwenye benchi baada ya kusaini dili la miaka miwili. Tayari amekaa benchi kwenye mechi mbili na kushuhudia wachezaji wake wakifunga mabao matatu na kufungwa...

MAJEMBE YA KAZI KWA YANGA NA SIMBA YANAYOANDALIWA KWA DABI NOVEMBA 7

0

 ZIMEBAKI siku tisa kwa sasa kabla ya dabi ya Yanga na Simba ambayo inatarajiwa kuchezwa Novemba 7, Uwanja wa Uhuru, tayari Cedric Kaze Kocha Mkuu wa Yanga na Sven Vandenbroeck Kocha Mkuu wa Simba wameanza kuandaa mitambo yao ya kazi.Yanga ambao ni wenyeji kwa sasa wanajiandaa na mchezo dhidi ya Biashara United utakaochezwa Uwanja wa Karume, Oktoba 31 na...

SVEN KWA MKWASA ANAPATA TABU, ATESEKA DAKIKA 270

0

 KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck raia wa Ubelgiji, ameonekana kuteseka kwa dakika 270 ambazo ni sawa na mechi tatu mbele ya kocha mzawa, Charles Boniface Mkwasa.Sven na Mkwasa wamekutana mara nne katika michuano yote na Mkwasa kuonekana kufanya vizuri katika mechi tatu ambapo ameshinda mbili na sare moja, huku akipoteza moja mbele ya Mbelgiji huyo.Mkwasa ambaye kwa sasa...