SIMBA WAPINZANI WAKE NI KUTOKA NIGERIA, MIAMBA HII RAUNDI YA AWALI HAIWAHUSU

0

 LEO Novemba 9, droo ya raundi ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika imefanyika nchini Cairo ambapo kwa Tanzania, Simba inaiwakilisha Tanzania Ligi ya Mabingwa Afika baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita.Mabingwa kutoka Tanzania kwenye raundi ya awali watapambana na timu kutoa Nigeria inayoitwa Plateau United na mshindi kwenye mchezo huu atakutana na mshindi kati...

NYOTA SABA WA YANGA WAIBUKIA UTURUKI

0

BAADA ya kumaliza Dar Dabi, Uwanja wa Mkapa Novemba 7 kwa sasa maisha ya wachezaji wa Yanga yapo Uturuki ambapo wameweka kambi ya siku tatu. Stars chini ya Kocha Mkuu, Etienne Ndayiragije ipo kwenye maandalizi ya mchezo wa kuwania kufuzu Afcon dhidi ya Tunisia.Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Novemba, 13, nchini Tunisia na nyota saba wa Yanga wamejumuishwa ndani ya...

DAKIKA 180, DABI YA YANGA NA SIMBA YATAWALIWA NA PENALTI TATA

0

 DABI ya Kariakoo kwa misimu miwili imegubikwa na maamuzi tata kuhusu penalti kwenye mechi zote mbili za mzunguko wa kwanza.Novemba 7, Uwanja wa Mkapa licha ya kuwepo jumla ya waamuzi sita ambapo mmoja alikuwa ni wa kati ambaye ni Abdalah Mwinyimkuu pamoja na waamuzi wengine wawili waliokuwa pembeni ya magoli pamoja na wale wawili washika vibendera bado walianguka kwenye...

BIGIRIMANA BLAISE AFICHUA KINACHOBEBA MAFANIKIO YAKE

0

 BIGIRIMANA Blaise mtupiaji namba moja ndani ya Klabu ya Namungo FC amesema kuwa kikubwa kinachompa nguvu ya kufanya vizuri ni Mungu pamoja na juhudi ndani ya uwanja.Namungo kwenye msimamo ipo nafasi ya 8 imekusanya pointi 14 baada ya kucheza mechi 10 ndani ya Ligi Kuu Bara.Imefunga jumla ya mabao saba na kinara wa utupiaji Blaise ametupia mabao manne na...

ARSENAL YACHANA MKEKA, YAPIGWA NA ASTON VILLA

0

 EMILIANO Martinez kipa namba moja wa Aston Villa  jana Novemba 8 aliibuka shujaa baada ya kutoka na clean sheet kwenye ushindi wa mabao 3-0  dhidi ya Arsenal,  Uwanja wa Emirates. Mabao ya Aston Villa ambayo Mtanzania, Mbwana Samatta alicheza hapo msimu uliopita kabla ya kutolewa kwa mkopo nchini Uturuki yalifungwa na Bukayo Saka aliyejifunga dakika ya 25 na Olle Watkins...

KOCHA WA SIMBA:TULISTAHILI KUPEWA PENALTI

0

 KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck amesema kuwa walistahili kupewa penalti kwenye Dar Dabi iliyochezwa Novemba 7 Uwanja wa Mkapa na timu zote kuambulia pointi mojamoja baada ya dakika 90 kukamilika kwa sare ya kufungana bao 1-1.Yanga ambao walikuwa wenyeji wa mchezo huo walianza kupata bao la kuongoza dakika ya 31 kupitia kwa Michael Sarpong kwa mkwaju wa penalti...

TRENT ALEXNDER WA LIVERPOOL NJE KIKOSI CHA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND

0

 MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu England Liverpool wanazidi kuingia kwenye majanga baada ya jana Novemba 8 beki wao Trent Alexander Arnold kupata majeraha ya misuli wakati timu hiyo ikilazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Manchester City Uwanja wa Etihad.Beki huyo alifanyiwa mabadiliko dakika ya 63 baada ya kushuhudia bao la kwanza kwa timu yake likifungwa na Mohamed Salah...

YANGA YAMTAJA ALIYEVURUGA MIPANGO YAO KWA MKAPA

0

 KOCHA Mkuu wa Yanga, Cedric Kaze amesema kuwa kuumia kwa beki wake kisiki Lamine Moro kulivuruga hesabu zake na kufanya umakini kwa safu ya ulinzi kupungua jambo ambalo liliruhusu bao la usawa kwa wapinzani wake Simba.Moro raia wa Ghana aliwahi kufanya majaribio ndani ya kikosi cha Simba zama za Kocha Mkuu, Patrick Aussems maarufu kama uchebe ila hakupewa nafasi...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU

0

 MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu

TANZANIA YATAKATA COSAFA YAINYOOSHA AFRIKA KUSINI KWA MABAO 6-1

0

 TIMU ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake chini ya miaka 17 leo Novemba 8 imeibuka na ushindi wa mabao 6-1 dhidi ya timu ya Taifa ya Wanawake ya Afrika Kusini kwenye mchezo wa mashindano ya Cosafa.Huu ni mchezo wa tatu wa Tanzania ambapo mchezo wa kwanza ilishinda mabao 5-1  dhidi ya Comoro kisha ikachapwa mabao 2-1 dhidi ya Zimbabwe...