BEKI WA YANGA MWAMNYETO AWAPOTEZA WOTE BONGO,ONYANGO,WADADA

0

 BAKARI Mwamnyeto, nahodha msaidizi wa Yanga, ameweka rekodi ya dakika 810 ndani ya Ligi Kuu Bara kwa kuwapoteza mabeki wote ndani ya Bongo ambao aliingia nao kwenye fainali ya kusaka beki bora kwa msimu wa 2019/20 kwa kuruhusu mabao machache. Mbali na safu yake ya ulinzi inayoundwa na pacha mwenzake Lamine Moro raia wa Ghana, Mwamnyeto pia ametumia dakika zote...

CHAMA KUSEPA SIMBA, YANGA YATAJWA MCHORO UPO HIVI

0

 CLATOUS Chama, kiungo mtengeneza mipango namba moja ndani ya Klabu ya Simba inaripotiwa kwamba msimu ujao anaweza akasepa ndani ya kikosi hicho kutokana na timu nyingi kuweka ofa mezani wakihitaji huduma yake.Ndani ya Simba ambao ni mabingwa watetezi na kwa sasa wana kibarua cha kuipeperusha bendera ya Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa ikiwa imefunga jumla ya mabao 22 yeye...

DUBE ATAJA KINACHOWAPA UGUMU NDANI YA LIGI KUU BARA

0

 KINARA wa utupiaji ndani ya Klabu ya Azam FC, Prince Dube amesema kuwa viwanja vingi vya mkoani ni vibovu jambo ambalo linawapa ugumu kwenye kupata matokeo na kufunga mabao mengi.Dube ndani ya Azam FC ambao ni vinara wa Ligi Kuu Bara wakiwa wamefunga jumla ya mabao 18 amehusika kwenye mabao 10, akifunga sita na kutoa pasi nne za mabao.Anavutana...

ISHU YA PENALTI YA DABI, MWAMUZI FIFA AFUNGUKA NAMNA HII

0

 UTATA wa penalti waliyoipata Yanga Novemba 7 kwenye mchezo dhidi ya Simba, umezidi kuwa mkubwa kiasi cha Mwenyekiti wa Kamati ya Waamuzi, Soud Abdi Mohammed ambaye ni mwamuzi mkongwe mwenye beji ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), kupatwa na kigugumizi. Yanga Novemba 7 ilipambana na Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Mkapa jijini Dar ambapo ulimalizika kwa sare ya bao 1-1. Waamuzi...

SIMBA WAPINZANI WAKE NI KUTOKA NIGERIA, MIAMBA HII RAUNDI YA AWALI HAIWAHUSU

0

 LEO Novemba 9, droo ya raundi ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika imefanyika nchini Cairo ambapo kwa Tanzania, Simba inaiwakilisha Tanzania Ligi ya Mabingwa Afika baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita.Mabingwa kutoka Tanzania kwenye raundi ya awali watapambana na timu kutoa Nigeria inayoitwa Plateau United na mshindi kwenye mchezo huu atakutana na mshindi kati...

NYOTA SABA WA YANGA WAIBUKIA UTURUKI

0

BAADA ya kumaliza Dar Dabi, Uwanja wa Mkapa Novemba 7 kwa sasa maisha ya wachezaji wa Yanga yapo Uturuki ambapo wameweka kambi ya siku tatu. Stars chini ya Kocha Mkuu, Etienne Ndayiragije ipo kwenye maandalizi ya mchezo wa kuwania kufuzu Afcon dhidi ya Tunisia.Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Novemba, 13, nchini Tunisia na nyota saba wa Yanga wamejumuishwa ndani ya...

DAKIKA 180, DABI YA YANGA NA SIMBA YATAWALIWA NA PENALTI TATA

0

 DABI ya Kariakoo kwa misimu miwili imegubikwa na maamuzi tata kuhusu penalti kwenye mechi zote mbili za mzunguko wa kwanza.Novemba 7, Uwanja wa Mkapa licha ya kuwepo jumla ya waamuzi sita ambapo mmoja alikuwa ni wa kati ambaye ni Abdalah Mwinyimkuu pamoja na waamuzi wengine wawili waliokuwa pembeni ya magoli pamoja na wale wawili washika vibendera bado walianguka kwenye...

BIGIRIMANA BLAISE AFICHUA KINACHOBEBA MAFANIKIO YAKE

0

 BIGIRIMANA Blaise mtupiaji namba moja ndani ya Klabu ya Namungo FC amesema kuwa kikubwa kinachompa nguvu ya kufanya vizuri ni Mungu pamoja na juhudi ndani ya uwanja.Namungo kwenye msimamo ipo nafasi ya 8 imekusanya pointi 14 baada ya kucheza mechi 10 ndani ya Ligi Kuu Bara.Imefunga jumla ya mabao saba na kinara wa utupiaji Blaise ametupia mabao manne na...

ARSENAL YACHANA MKEKA, YAPIGWA NA ASTON VILLA

0

 EMILIANO Martinez kipa namba moja wa Aston Villa  jana Novemba 8 aliibuka shujaa baada ya kutoka na clean sheet kwenye ushindi wa mabao 3-0  dhidi ya Arsenal,  Uwanja wa Emirates. Mabao ya Aston Villa ambayo Mtanzania, Mbwana Samatta alicheza hapo msimu uliopita kabla ya kutolewa kwa mkopo nchini Uturuki yalifungwa na Bukayo Saka aliyejifunga dakika ya 25 na Olle Watkins...

KOCHA WA SIMBA:TULISTAHILI KUPEWA PENALTI

0

 KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck amesema kuwa walistahili kupewa penalti kwenye Dar Dabi iliyochezwa Novemba 7 Uwanja wa Mkapa na timu zote kuambulia pointi mojamoja baada ya dakika 90 kukamilika kwa sare ya kufungana bao 1-1.Yanga ambao walikuwa wenyeji wa mchezo huo walianza kupata bao la kuongoza dakika ya 31 kupitia kwa Michael Sarpong kwa mkwaju wa penalti...