KLOPP HAELEWI CHA KUFANYA KUHUSU NAFASI YA ULINZI
JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool kwa sasa yupo kwenye wakati mgumu kuhusu uimara wa safu yake ya ulinzi baada ya beki wake mwingine Fabinho Tavares kuumia kwenye kipindi cha kwanza wakati wakipambana na Midtylland usiku wa kuamkia leo Uwanja wa Anfield.Raia huyo wa Brazili alikuwa anaziba nafasi iliyokuwa inachezwa na beki kisiki wa timu hiyo Virgil van Dijk...
MAMBO MAZITO BAADA YA LIGWARIDE SIMBA,WANNE WAFUTWA KAZI
IMEELEZWA kuwa Klabu ya Simba imewafuta kazi Mwarami Mohamed (Kocha wa magoli kipa) na Patrick Rweyemamu (Meneja wa timu ) kutokana na matokeo mabaya kwa mechi mbili Mfululizo Simba imecheza mechi mbili mfululizo na kupoteza pointi sita ambapo ilianza kufungwa bao 1-0 mbele ya Tanzania Prisons Uwanja wa Nelson Mandela na ikachapwa tena bao 1-0 mbele ya Ruvu Shooting, Uwanja...
CIOABA WA AZAM FC NA SVEN WA SIMBA WANYOOSHWA NA WAZAWA
TARATIBU mbinu za wazungu zinaanza kufeli mbele ya wazawa ambao wanazinoa timu zao kwa kubeba pointi tatu mbele ya makocha wakigeni.Oktoba 22, Tanzania Prisons inayonolewa na mzawa Salum Mayanga alikiongoza kikosi chake kuitungua Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck raia wa Ubelgiji.Kwenye mchezo huo Prisons ilishinda bao 1-0 dhidi ya Simba Uwanja wa Nelson Mandela, Oktoba 26, Simba...
KUMBE KOCHA SIMBA HAJUI SABABU YA VIPIGO KUTOKA KWA WAJEDA
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa bado hajajua sababu ya kupoteza mechi mbili mfululizo jambo ambalo linampa tabu katika kutafuta ufumbuzi wa tatizo hilo.Wakiwa ni mabingwa watetezi wameyeyusha jumla ya pointi nane ndani ya ligi kwa msimu wa 2020/21 baada ya kupata sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Mtibwa Sugar na ilipoteza mechi mbili ilikuwa mbele...
RUVU SHOOTING: TULIWAAMBIA SIMBA MAPEMA KWAMBA TUTAWAPAPASA, WALIPUUZA
OFISA Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire amesema kuwa aliwapa tahadhari mapema wapinzani wake Simba kabla ya kukutana nao uwanjani jambo ambalo walilipuuzia awali.Kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Oktoba 26, Uwanja wa Uhuru Simba ilikubali kichapo cha bao 1-0 na kuyeyusha pointi tatu wakiwa nyumbani.Akizungumza na Saleh Jembe, Bwire amesema kuwa taarifa za kuwapapasa alizitoa mapema ila...
NYOTA YANGA AFIKIRIA UBINGWA WA LIGI KUU BARA
BAADA ya kupachika bao lake la kwanza akiwa ndani ya Yanga, Wazir Junior amesema kuwa hesabu zake ni kuona timu hiyo inatwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2020/21.Junior ambaye alijiunga na Yanga kwa dili la miaka miwili akitokea Klabu ya Mbao alipachika bao hilo kwenye mchezo dhidi ya KMC wakati Yanga ikishinda mabao 2-1.Mchezo huo uliochezwa Uwanja...
AZAM FC:TULIPASWA KUFUNGWA, PRESHA ILIKUWA KUBWA
THABIT Zakaria, Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa walipaswa kufungwa na Mtibwa Sugar ili kuondoa presha kwa wachezaji ambao walikuwa wanapambana kutunza rekodi ya kucheza mechi zao zote bila kufungwa.Azam FC ilikuwa imecheza mechi saba bila kupoteza na safu yake ya ushambuliaji imetupia mabao 14 na ilikuwa imefungwa mabao mawili rekodi hiyo ilitibuliwa na Mtibwa Sugar ambao walishinda...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATANO
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la CHAMPIONI Jumatano
YANGA WANA JAMBO LAO KANDA YA ZIWA
KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Cedric Kaze kimeendela kujiweka sawa kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Biashara United.Mchezo huo ambao utakuwa ni wa nane kwa Yanga unatarajiwa kuchezwa Oktoba 30, Uwanja wa Kirumba.Yanga inakutana na Biashara United ambayo imetoka kushinda bao 1-0 dhidi ya Polisi Tanzania huku wao wakitoka kushinda mabao 2-1...
STARS NI YETU SOTE TUIPE SAPOTI, USHINDANI WA LIGI ACHA UENDELEE
KWENYE ulimwengu wa mpira kwa sasa ni Ligi Kuu Bara pamoja na ile Ligi Daraja la Kwanza ambazo zinaendelea kuchanja mbunga kwenye viwanja tofauti. Kila timu inaonyesha namna inavyosaka ushindi kwa hali na mali huku mipango ikionekana kukubali kwa timu ambazo zimejipanga. Kwenye maisha ya mpira timu ambayo inapata ushindi ni ile ambayo itakuwa na maandalizi mazuri. Hakuna jambo jingine la...