KESHO NDANI YA CHAMPIONI JUMAMOSI USIPANGE KUKOSA NAKALA YAKO
KESHO ndani ya gazeti la Championi Jumamosi usipange kukosa nakala yako
RATIBA YA SUPER U 20 ITAKAYOANZA KUFANYIKA KESHO HII HAPA
KESHO, Oktoba 24, kwenye uwanja wa Azam Complex Chamazi yataanza mashindano ya vijana chini ya miaka 20 kutoka vilabu 8.Mashindano hayo yatashirikisha timu 4 za ligi kuuAzam FCYangaKMCJKT TZNa zingine za akademi za mitaaniKeptenMgosiTwalipoMashindano haya yameandaliwa na taasisi ya Same Sports Youth Investment na yalikuwa yafanyike Uwanja wa Chuo cha Bandari lakini kutokana na lengo lake kuu ambalo ni...
YANGA YAANZA KUSUKA KIKOSI KAZI CHA KUIMALIZA SIMBA NOVEMBA 7
KOCHA Mkuu wa Yanga, Cedric Kaze, anataka kukibadilisha kikosi chake hicho kabla ya kuwavaa wapinzani wao Simba, Novemba 7. Katika mkakati huo, viongozi wa Yanga wamependekeza kwa Kaze kuwa asafiri na wachezaji wake wote waende Kanda ya Ziwa kwa ajili ya mechi dhidi ya Biashara United na Gwambina ili amtathmini mchezaji mmoja mmoja kabla ya kupata kikosi kitakachoivaa Simba.Yanga jana...
JOTO LA DABI LIMEANZA KUPANDA, SIMBA YAIFANYIA USHUSHUSHU YANGA
HATIMAYE Klabu ya Simba imeanza kuichunguza Yanga kuanzia ilipopata kocha mpya Cedric Kaze.Yanga ambayo imejifungia Kigamboni jijini Dar es Salaam, imekuwa ikifanya mazoezi kwa siku mara mbili, asubuhi na jioni ndani ya ulinzi mkali. Hata hivyo, awali Simba hawakuwa na presha kubwa na Yanga kwa kuwa kikosi chao kilionekana kutokuwa imara sana lakini baada ya kumpata kocha mpya upepo umeonekana...
PRINCE DUBE NI HABARI NYINGINE NDANI YA LIGI KUU BARA
MASHABIKI wamelinganisha kasi aliyoanza nayo mfungaji bora wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita, Meddie Kagere na hii aliyoanza nayo straika mpya wa Azam, Prince Dube msimu huu, na hapo ndipo Championi Ijumaa lilipoamua kuingia mzigoni kujua nani alianza kwa kasi zaidi. Katika mechi saba za kwanza msimu uliopita, Kagere, raia wa Rwanda, alihusika kwenye mabao tisa kati ya 12 ambayo...
MTIBWA SUGAR:TUTAFANYA VIZURI 2020/21
THOBIAS Kifaru, Ofisa Habari wa Mtibwa Sugar amesema kwa sasa wanaamini watafanya vizuri licha ya aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Zubeir Katwila kubwaga manyanga na kuibukia Klabu ya Ihefu.Kwa sasa Mtibwa Sugar ipo chini ya Vincent Barnaba ambaye ni kocha msaidizi ndani ya Mtibwa Sugar na mchezo wake wa kwanza kukaa kwenye benchi la ufundi alishinda bao 1-0 dhidi...
SIMBA MAJANGA TUPU NYOTA WATANO KIKOSI CHA KWANZA OUT
KUUMIA kwa beki wa kulia wa Simba, Shomari Kapombe jana Oktoba 22 kunafanya jumla ya wachezaji watano wa Simba kuwa majeruhi.Nyota mwingine ambaye ni majeruhi ni Chris Mugalu, raia wa Congo ambaye alipata maumivu ya nyonga muda mfupi kabla ya timu hiyo kuvaana na Tanzania Prisons.Wengine ambao ni majeruhi ni pamoja na Meddie Kagere na John Bocco ambao wote...
MECHI ZA UWANJA WA MKAPA ZAPELEKWA UHURU
MECHI zilizopangwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa sasa kuchezwa Uwanja wa Uhuru
SIMBA KUREJEA BONGO BAADA YA KUCHEZESHWA GWARIDE NA PRISONS
BAADA ya mchezo wa jana Oktoba 22 kwa kufungwa bao 1-0 kikosi cha Simba kimeanza safari leo kurejea Dar kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting.Simba ilifungwa bao hilo kwa kichwa na Samson Mangula dakika ya 49 na kuwafanya mabingwa hao watetezi kuziacha pointi tatu Uwanja wa Nelson Mandela.Mchezo wao dhidi ya...
KMC YAANZA KUIVUTIA KASI YANGA MWANZA
KIKOSI cha KMC kimeshaweka kambi Mwanza kwa sasa kwa ajili ya kujiwinda na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga utakaochezwa Uwanja wa CCM Kirumba.KMC itashuka uwanjani ikiwa na kumbukumbu ya kulazimisha sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Ruvu Shooting uliochezwa Uwanja wa Uhuru.Kikosi kilikwea pipa jana na kuibukia Mwanza kwa ajili ya mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa...