KOCHA BIASHARA UNITED: WACHEZAJI NIMEWAPA KAZI YA KUPAMBANA NA JEZI YA NJANO

0

 FRANCIS Baraza, Kocha Mkuu wa Biashara United amesema kuwa amewaambia wachezaji wake wapambane na kila mchezaji atakayekuwa na jezi ya njano uwanjani bila kujali uwezo wake upoje ndani ya uwanja.Kesho, Oktoba 31 Biashara United iliyo nafasi ya tatu kwenye msimamo na pointi 16 itamenyana na Yanga iliyo nafasi ya pili ikiwa na pointi 19.Akizungumza na Saleh Jembe, Baraza amesema...

BAADA YA VICHAPO MFULULIZO SIMBA YAPANIA KUTOFUNGWA

0

 BAADA ya kupokea vichapo kwenye mechi mbili mfululizo mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba wamesema kuwa kwa sasa watapambana kutopoteza kwenye mechi zao zijazo ndani ya ligi ili wasifungwe.Simba ilifungwa Oktoba 22 bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons, Uwanja wa Nelson Mandela na ilipoteza tena mbele ya Ruvu Shooting, Uwanja wa Uhuru kwa kufungwa bao 1-0.Ofisa Habari wa...

NIDHAMU YAIBEBA ARSENAL IKIICHAPA DUNDALK 3-0

0

MIKEL Arteta,  Kocha Mkuu wa Arsenal amesema kuwa wachezaji wake wameweza kupata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Dundalk kwa sababu walicheza kwa nidhamu. Mchezo huo wa Europa League uliochezwa Uwanja wa Emirates umeifanya Arsenal kuwa nafasi ya kwanza kwenye msimamo baada ya kufikisha pointi 6 na imefunga jumla ya mabao 5 baada ya kucheza mechi 2 huku Dundalk ikiwa...

MTIBWA SUGAR HESABU ZAO KWA KAGERA SUGAR, YAANZA SAFARI LEO

0

 UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa utapambana kupata matokeo chanya kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar utakaopigwa Uwanja wa Kaitaba.Mtibwa inayonolewa na Vincent Barnaba ikiwa imetoka kushinda bao 1-0 dhidi ya Azam FC inakutana na Kagera Sugar iliyotoka kupoteza kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Mbeya City City.Ofisa Habari wa Mtibwa Sugar amesema kuwa...

KMC KAMILI GADO KUVAANA NA GWAMBINA FC

0

 OFISA Habari wa Klabu ya KMC Christina Mwagala amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo Oktoba 30 dhidi ya Gwambina FC.KMC inashuka uwanjani ikiwa na kumbukumbu ya kupoteza kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Yanga kwenye mchezo wao ulioppita uliochezwa Uwanja wa CCM Kirumba.Ikiwa ipo nafasi ya 8 na pointi 11 inakutana na Gwambina FC iliyo...

BIASHARA UNITED NA YANGA ZAPIGANA MIKWARA

0

 KIKOSI cha Yanga kilicho nafasi ya pili kwenye msimamo baada ya kucheza mechi 7 na kujikusanyia pointi 19 kitakutana na Biashara United iliyo nafasi ya tatu kwenye msimamo na 16 imecheza mechi 8.Oktoba 31 Yanga ya Cedric Kaze ina kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Biashara United ya Francis Baraza mchezo utakaochezwa Uwanja wa Karume.Msimu uliopita kwenye mchezo...

SVEN ATAJA SABABU YA KUMPA MAJUKU YA USHAMBULIAJI AJIBU

0

SVEN Vandenbroeck Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa hakuwa na chaguo la kufanya ndani ya uwanja zaidi ya kumtumia Ibrahim Ajibu kuwa mshambuliaji kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting wakati wakipoteza kwa kufungwa bao 1-0.Oktoba 26, Simba ilipokea kichapo cha pili mfululizo ikiwa ni cha pili mfululizo kwa msimu wa 2020/21 baada ya kuanza kufungwa...

AZAM FC YAZITAKA POINTI TATU ZA JKT TANZANIA

0

 UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa utapambana kuendelea na rekodi ya kupata matokeo wakiwa Uwanja wa Azam Complex baada ya kupoteza mchezo wa kwanza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar, Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Aristica Cioaba ilicheza mechi saba bila kupoteza ndani ya ligi ilikutana na balaa la Jaffary Kibaya wa Mtibwa...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA

0

 MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Ijumaa 

KOCHA YANGA AKUBALI UWEZO WA NYOTA WAKE

0

 CEDRIC Kaze, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wachezaji wake wote wanajituma ndani ya Uwanja ikiwa ni pamoja na Farid Mussa ambaye ameanza kuwa bora Kwenye mechi mbili za hivi karibuni.Yanga ikiwa imefunga mabao 10 amehusika Kwenye mabao mawili ambapo alitoa pasi ya Kwanza Uwanja wa Uhuru wakati Yanga ikishinda bao 1-0 dhidi ya Polisi Tanzania na alitoa pasi...