KOCHA YANGA ATUMIA MIEZI SITA KUISOMA SIMBA
CEDRIC Kaze, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa alitumia miezi sita kuwasoma Simba yenye mastaa kibao ikiwa ni pamoja na Luis Miquissone na Meddie Kagere.Yanga ina kibarua cha kumenyana na Simba, Novemba 7 Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao unasubiriwa na wadau wa mpira ndani na nje ya Bongo.Kaze amesema kuwa alipokuwa nchini Canada kabla hata...
KAZE AITAJA SIMBA, CHAMA,KAGERE WAZUA JAMBO, KESHO NDANI YA CHAMPIONI JUMATANO
USIPANGE kukosa nakala yako kesho ya Gazeti la Championi Jumatano
AZAM YAIPIGA IHEFU YA KATWILA MABAO 2-0
AYOUB Lyanga nyota wa Azam FC leo Oktoba 20 amefungua akaunti yake ya mabao ndani ya Ligi Kuu Bara wakati timu yake ikishinda mabao 2-0 dhidi ya Ihefu, kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya.Bao la pili pia lilifungwa na nyota Idd Seleman, 'Naldo' dakika ya 83 ambaye naye amefungua akaunti ya mabao kwa msimu wa 2020/21 ndani ya...
KAGERE: NITARUDI UWANJANI KUPAMBANA
MSHAMBULIAJI namba moja ndani ya Simba, Meddie Kagere amesema kuwa muda wowote kuanzia sasa anaweza kurejea uwanjani kwa kuwa anaendelea vizuri baada ya kupata majeraha kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya JKT Tanzania.Kagere ndani ya Simba ambayo Oktoba 22 itacheza mechi ya ligi dhidi ya Tanzania Prisons ametupia mabao manne kati ya 14 ambayo yamefungwa na timu...
RUVU SHOOTING YAZITAKA POINTI TATU ZA KMC LEO
MASAU Bwire, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting amesema kuwa kikosi kipo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC utakaochezwa Uwanja wa Uhuru saa 8:00 mchana.Ruvu Shooting imecheza jumla ya mechi sita na kujikusanyia pointi nane inakutana na KMC ambayo imecheza mechi sita ikiwa nafasi ya saba na pointi 10.Masau amesema kuwa:"Kikosi kipo...
KIKOSI CHA AZAM FC KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA IHEFU, SOKOINE
KIKOSI cha Azam FC kitakachoanza leo Oktoba 20 dhidi ya IhefunFC, Uwanja wa Sokoine, Mbeya
AZAM FC KUMBE HAINA SHIDA YA MABAO NDANI YA LIGI KUU BARA
VIVIER Bahati, Kocha msaidizi wa Klabu ya Azam FC ambao ni vinara wa Ligi Kuu Bara amesema kuwa wao hawahitaji mabao mengi ndani ya uwanja zaidi ya kupata pointi tatu muhimuHali ya timu ipo sawa na tatizo kwetu sio ushindi mkubwa ndani ya uwanja kikubwa ambacho tunakihitaji ni kupata pointi tatu muhimu."Ikitokea tukashinda kwa bao 1-0 uwanjani hio sio...
HIYO NOVEMBA 7 KWA MKAPA KAZI ITAKUWA NZITO KWA KAZE V SVEN, CHEKI REKODI ZAO
KOCHA mpya wa Yanga, Cedric Kaze, tayari ameshaanza kazi ndani ya kikosi cha timu hiyo huku akitoa ahadi kwa mashabiki wa Yanga watarajie soka la pasi nyingi kama lile linalochezwa na Barcelona, maarufu kama Tik Tak. Kaze amechukua nafasi ya Mserbia, Zlatko Krmpotic ambaye alitimuliwa Yanga baada ya kuiongoza kwenye mechi tano za ligi akishinda nne na sare moja.Licha ya...
KIKOSI CHA SIMBA CHAANZA SAFARI KUIFUATA TANZANIA PRISONS, RUKWA
KIKOSI cha Simba leo Oktoba 20 kimeanza safari kutoka Mbeya kuelekea Rukwa kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Tanzania Prisons. Simba iliweka kambi kwa muda jana Oktoba 19 Mbeya na kilifanya mazoezi Uwanja wa Sokoine kwa ajili ya mchezo wa Oktoba 22 dhidi ya Tanzania Prisons. Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck ana kibarua cha kupambana na vijana wa...
MUANGOLA WA YANGA CARLINHOS MAJANGA
KIUNGO namba moja kwa kupiga mipira iliyokufa na kutengeneza pasi za mwisho ndani ya Yanga, Carlos Carlinhos kwa sasa anatibu jeraha lake alilopata ndani ya Yanga ambayo inajiandaa na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Polisi Tanzania.Nyota huyo raia wa Angola aliumia jana Oktoba 19 kwenye mazoezi ya timu yaliyofanyika Kigamboni jambo lililopelekea apewe huduma ya kwanza akisubiri...