BIASHARA UNITED NA YANGA ZAPIGANA MIKWARA

0

 KIKOSI cha Yanga kilicho nafasi ya pili kwenye msimamo baada ya kucheza mechi 7 na kujikusanyia pointi 19 kitakutana na Biashara United iliyo nafasi ya tatu kwenye msimamo na 16 imecheza mechi 8.Oktoba 31 Yanga ya Cedric Kaze ina kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Biashara United ya Francis Baraza mchezo utakaochezwa Uwanja wa Karume.Msimu uliopita kwenye mchezo...

SVEN ATAJA SABABU YA KUMPA MAJUKU YA USHAMBULIAJI AJIBU

0

SVEN Vandenbroeck Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa hakuwa na chaguo la kufanya ndani ya uwanja zaidi ya kumtumia Ibrahim Ajibu kuwa mshambuliaji kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting wakati wakipoteza kwa kufungwa bao 1-0.Oktoba 26, Simba ilipokea kichapo cha pili mfululizo ikiwa ni cha pili mfululizo kwa msimu wa 2020/21 baada ya kuanza kufungwa...

AZAM FC YAZITAKA POINTI TATU ZA JKT TANZANIA

0

 UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa utapambana kuendelea na rekodi ya kupata matokeo wakiwa Uwanja wa Azam Complex baada ya kupoteza mchezo wa kwanza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar, Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Aristica Cioaba ilicheza mechi saba bila kupoteza ndani ya ligi ilikutana na balaa la Jaffary Kibaya wa Mtibwa...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA

0

 MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Ijumaa 

KOCHA YANGA AKUBALI UWEZO WA NYOTA WAKE

0

 CEDRIC Kaze, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wachezaji wake wote wanajituma ndani ya Uwanja ikiwa ni pamoja na Farid Mussa ambaye ameanza kuwa bora Kwenye mechi mbili za hivi karibuni.Yanga ikiwa imefunga mabao 10 amehusika Kwenye mabao mawili ambapo alitoa pasi ya Kwanza Uwanja wa Uhuru wakati Yanga ikishinda bao 1-0 dhidi ya Polisi Tanzania na alitoa pasi...

BERNARD MORRISON MAJANGA MATUPU NDANI YA SIMBA

0

BERNARD Morrison nyota wa Simba kwa mwezi Oktoba amekuwa na majanga yake ya kipekee ambapo rekodi zinaonyesha kuwa amekuwa ni mchezaji anayechezewa faulo nyingi na mwanzilishi wa ugomvi pia.Kwenye mchezo kati ya JKT Tanzania na Simba uliochezwa Uwanja wa Jamhuri,Dodoma wakati Simba ikishinda mabao 4-0  alimkunja mchezaji baada ya kuchezewa faulo na Kwenye mchezo dhidi ya Tanzania Prisons wakati...

OSCAR MASAI, OBREY CHIRWA KUIKOSA JKT TANZANIA KESHO

0

 KIKOSI cha Azam FC kesho kina kazi ya kusaka pointi tatu muhimu mbele ya JKT Tanzania kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex.Azam FC inashuka uwanjani ikiwa na kumbukumbu ya kupokea kichapo cha bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar,  mchezo uliochezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro. Inakutana na JKT Tanzania iliyotoka kushinda mabao 6-1 mbele ya...

SIMBA: TUNAPITIA KIPINDI KIGUMU KWA SASA

0

 JONAS Mkude, kiungo mkabaji wa muda mrefu ndani ya Simba ambaye ana uhakika wa namba kikosi cha kwanza amesema kuwa kwa sasa timu hiyo inapitia kwenye kipidi kigumu kutokana na aina ya matokeo ambayo wanayapata.Simba imepoteza mechi mbili mfululizo ndani ya ligi ambazo ni dakika 180 na kuifanya ibaki na pointi zake 13 ikiwa nafasi ya nne kwenye msimamo.Ilipokea...

FOUNTAIN GATE: MALENGO YETU KUSHIRIKI LIGI KUU BARA

0

 KWA miaka miwili mfululizo tangu 2018, Fountain Gate imefanikiwa kuwa miongoni mwa timu bora zilizofanikiwa kupanda daraja hadi kuweza kushiriki Ligi Daraja la Kwanza msimu huu wa 2020/21 tangu kikosi kuanzishwa.Katika msimu huu ndani ya kundi B, Fountain Gate imeweza kucheza michezo mitatu ambapo alicheza dhidi ya Alliance FC na kufunga mabao 3-0, Rhino Rangers 0-1 na Oktoba 24...

KAZE WA YANGA ATENGEWA MKWANJA WA MAANA KWA AJILI YA KUFANYA USAJILI

0

 BAADA ya usajili wa kiungo mshambuliaji raia wa Burundi, Said Ntibazonkiza uongozi wa Yanga umesema kuwa upo tayari kufanya usajili mwingine wa mchezaji wa kigeni katika usajili wa dirisha dogo kama Kocha Mkuu Cedric Kaze atapendekeza mchezaji, kwani fedha ipo. Yanga hivi karibuni ilifanikisha usajili wa Ntibazonkiza baada ya Kaze kupendekeza usajili wake akiwa Canada kabla ya kutua nchini kujiunga...