MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA ALHAMISI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTI XTRA Alhamisi.
RUVU SHOOTING: UWEZO WA SIMBA NI MDOGO,PIRA BIRIANI SASA LITAKUWA KACHORI
MASAU Bwire, Ofisa Habari wa Ruvu Shooting amesema kuwa uwezo wa timu ya Simba inayojiita ina kikosi kipana ndani ya uwanja ni mdogo jambo ambalo liliwafanya wawafunge bao 1-0 Uwanja wa Uhuru, Oktoba 26.Ruvu Shooting iliendelea kupiga pale ambapo Simba iliumia baada ya kutoka kupoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Tanzania Prisons mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao...
MWADUI FC YAIPIGA MKWARA SIMBA
KHALID Adam, Kocha Mkuu wa Mwadui FC amesema kuwa baada ya wachezaji wake kupokea zigo la mabao 6-1 mbele ya JKT Tanzania wakiwa nyumbani wamejipanga kuibukia mbele ya Simba, Oktoba 31, Uwanja wa Uhuru.Mwadui FC yenye pointi tisa ikiwa nafasi ya 14 imecheza mechi 8 inakutana na Simba ambayo imecheza jumla ya mechi saba na ina pointi 13 ikiwa...
NYOTA WATATU WA YANGA KUIKOSA BIASHARA UNITED
NYOTA watatu wa kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Cedric Kaze huenda wakaukosa mchezo dhidi ya Biashara United unaotarajiwa kuchezwa Oktoba 31.Yanga ina kibarua cha kusaka pointi tatu mbele ya Biashara United inayonolewa na Francis Baraza Uwanja wa Karume baada ya kumalizana na KMC kwa kuichapa mabao 2-1.Wachezaji hao ni pamoja na Carlos Carlinhos ambaye anatibu jeraha lake la...
MWENDO WA FRANCIS BARAZA NDANI YA BIASHARA UNITED
FRANCIS Baraza, Kocha Mkuu wa Biashara United ndani ya msimu wa 2020/21 amekuwa ni miongoni mwa makocha ambao wameanza mwendo wa kusaka matokeo vizuri ndani ya Ligi Kuu Bara.Kwa sasa ikiwa imecheza jumla ya mechi 8, imeshinda mechi tano, sare moja na imepoteza jumla ya mechimbili ambapo imefungwa jumla ya mabao saba.Licha ya kwamba ipo nafasi ya tatu na...
ISHU YA RAIS WA BARCELONA KUBWAGA MANYANGA, MESSI ATAJWA
KLABU ya Barcelona imetangaza rasmi aliyekuwa Rais wao, Josep Maria Bartomeu, amejiuzulu nafasi hiyo pamoja na bodi yote ya wakurugenzi. Bartomeu, 57, amekuwa Rais wa Barcelona tangu mwaka 2014, lakini homa ya kuachia kiti hicho iliongezeka majira ya kiangazi mwaka huu baada nyota wa timu hiyo, Lionel Messi, na wachezaji wengine wa Barcelona kukosoa hadharani uongozi wake hasa klabu hiyo...
ABDI BANDA YUPO ZAKE BONGO, TIMU YAKE YAUZWA
BEKI wa zamani wa Simba ambaye anakipiga ndani ya Highland Parks FC ya nchini Afrika Kusini, Abdi Banda amerejea nchini kwa mapumziko mafupi baada ya timu yake kuuzwa na kubadilishwa jina na kuitwa Ts Galaxy. Akizungumza na Saleh Jembe Banda amesema kuwa mwisho wa mwezi wa kumi alipigiwa simu na uongozi wa timu ya Ts Galaxy, ili waweze kumtumia tiketi...
OKTOBA INA MENGI KINOMA, SIMBA YALAMBISHWA SHUBIRI
NI hesabu za vidole tu ambazo unaweza kuzifanya wakati ambao unataka kuubadilisha mwezi Oktoba kwenda ule unaofuata wa Novemba. Huu ni mwezi wapili wa mwisho wa mwaka.Mwezi Oktoba unaondoka ukiwa na mambo mengi kuanzia ya kijamii, siasa na hata muziki. Kama umesahau nakukumbusha leo Jumatano ndiyo Watanzania wanapiga kura kuchagua marais, wabunge na madiwani.Pia mwezi huu katika upande wa...
KAZE WA YANGA AACHWE AFANYE KAZI KWA SASA
KLABU ya Yanga kwa sasa ipo chini ya kocha mpya, Cedric Kaze ambaye tayari amesimamia mechi mbili za ligi na kushinda zote dhidi ya Polisi Tanzania (1-0) na KMC (1-2). Yanga kwa sasa katika msimamo kwa ipo nafasi ya pili ikiwa na alama 19 tu baada ya mechi saba na hawajapoteza mchezo wowote mpaka sasa. Na huu ndiyo mwanzo wa Kaze...
NAHODHA WA SIMBA BOCCO AOKOLEWA KUPIGWA MAWE NA POLISI KUTOKA KWA MASHABIKI
KATIKA hali ya kushangaza mshambuliaji wa Simba, John Bocco, juzi alinusurika kupigwa na mawe na mashabiki wa timu hiyo kufuatia kitendo cha kukosa penalti katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ruvu Shooting ambao walichapwa bao 1-0. Bocco alikosa penalti dakika ya 78 kwa shuti lake kugonga mwamba hali ambayo iliwakasirisha mashabiki kwa kuwa mchezo uliopita walifungwa bao 1-0...