TSHABALALA AFICHUA KILICHO NYUMA YA UBORA WAKE

0

MOHAMED Hussein, ‘Tshabalala’ ni mzawa ndani ya kikosi cha mabingwa ambaye amekuwa kwenye ubora wake kwa muda wa misimu mitano alipojiunga na Klabu ya Simba msimu wa 2014.Tshabalala ni zao la Azam FC ambapo amedumu kuanzaia msimu wa 2014/15, 2015/16,2016/17,2017/18,2018/19 na sasa msimu wa 2019/20. Simba ikiwa imefunga mabao 63 amehusika kwenye mabao manne licha ya kuwa ni beki akisema...

DUH! SALAH KWA MASHUTI YALILONGA LANGO ANAKIMBIZA KWELI

0

MOHAMED Salah, mshambuliaji wa Liverpool amepiga mashuti mengi zaidi yaliyolenga lango kuliko wachezaji wote kwenye Premier msimu huu wa 2019/20.Iwapo yangejaa nyavuni angekuwa na jumla ya mabao 43 kwa sasa kwani ndiyo idadi ya mashuti yaliyolenga lango.Amefunga jumla ya mabao 16 na kutoa pasi sita za mabao msimu huu akiwa ndani ya Liverpool.Ametumia dakika 2,246 akiwa ana wastani wa...

MBAPPE BWANA ALIWAHI KUOKOA PENALTI NJE YA 18

0

KYLIAN Mbappe, mshambuliaji namba moja ndani ya PSG mwenye ushikaji wa karibu na Neymar Jr, alifanya tukio ambalo watu hawakuamini macho yao kama angekuwa sahihi.Wakati huo PSG ilikuwa nyuma kwa bao 1-0 dhidi ya Saint Etienne kwenye Ligue 1, wenyeji walipata penalti dakika ya 30 ambayo ilimfanya Mbappe afanye maajabu kwa kuokoa penalti hiyo kwa ishara akiwa nje ya...

HIVI NDIVYO WACHEZAJI YANGA WALIVYOMKOSESHA MKWASA LAKI MBILI NA TISINI

0

MASTAA 29 wa Klabu ya Yanga ambao wameanza mazoezi hivi Mei 27 katika chuo cha Sheria walimnyima Kocha Msaidizi, Charlse Mkwasa kiasi cha sh.290,000,(laki mbili na elfu tisini)Yanga imeanza mazoezi ya pamoja Mei 27 kwa ajili ya kujiweka sawa na mechi za Ligi Kuu Bara pamoja na Kombe za Shirikisho.Picha lipo namna hii, kabla ya kuanza mazoezi hivi karibuni,...

MKATABA WALIOSAINI YANGA,GSM NA LA LIGA UPO NAMNA HII

0

UONGOZI wa Klabu ya Yanga wakishirikiana na wadhamini wao Kampuni ya GSM Mei 31 wameingia mkataba wa misimu minne wa makubaliano ya kimaendeleo ya timu hiyo na kampuni La Liga ambao utagharimu kiasi cha euro 1,040,000, sawa na shilingi bilioni 2.6 za Kitanzania.Makubaliano ya kuingia mkataba huo yalifikiwa kwenye Hoteli ya Serena, jijini Dar ambayo yatahusisha maendeleo ya mchezo...

SIMBA MACHO YOTE KWENYE UBINGWA WA LIGI KUU BARA

0

SIMBA wanautaka ubingwa wao wa Ligi Kuu Bara baada ya nahodha na mshambuliaji wa timu hiyo, John Bocco, kusema sasa wapo tayari kuendelea na mechi zilizobaki kumalizia kazi ya kubeba ubingwa.Bocco ametoa kauli hiyo Simba ikiwa inaongoza ligi kwa pointi 71 baada ya kucheza mechi 28. Imebakiwa na mechi kumi kumaliza msimu huu ambapo kati ya hizo, ikishinda tano...

ISHU YA LOGO NYEKUNDU YA SEVILLA, HAYA HAPA MAONI YA JEMBE

0

ANAANDIKA Saleh Jembe kuhusu maoni masuala ya nembe ndani ya Klabu ya Yanga namna hii:-Nimezungumza mara nyingi sana kuhusiana na hili suala lakini WASIO NA HOJA akaishia kwenye Matusi, sasa leo TUJIFUNZE TENA.ANGALIA LOGO ya Sevilla FC ina rangi nyingi nyekundu na leo Yanga wanaingia nao mkataba logo yao ikiwa na rangi zake.Hapa nyumbani kampuni zote zilizoingia mkataba na Yanga kwa...

IBRAHIM AJIBU FRESH NDANI YA SIMBA,AANZA MAZOEZI

0

IBRAHIM Ajibu, kiungo mshambuliaji wa Simba leo amerejea kambini na kuungana na wachezaji wenzake kwenye mazoezi yaliyofanyika kwenye uwanja wa Simba uliopo maeneo ya Bunju.Kiungo huyo alisimamishwa na Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck kutokana na kuchelewa kuripoti kambini bila kutoa taarifa ambapo wachezaji wenzake waliripoti kambini Mei 27.Leo Simba imeendelea na mazoezi kwa ajili ya kujiandaa na mechi za Ligi...

CIOABA WA AZAM FC ATINGA BONGO KIBABE

0

ARISTICA Cioaba,Kocha Mkuu wa Azam FC leo amewasili nchini Tanzania akitoka Romania alikokuwa kwa ajili ya mapumziko yalitokana na kuibuka kwa janga la Virusi vya Corona. Machi 17 shughuli za kimichezo zilisimamishwa na Serikali na zinatarajiwa kuanza Juni 13 baada ya Serikali kuridhia masuala ya michezo kurejea baada ya kueleza kuwa maambukizi yamepungua.Cioaba amerejea na Kocha wa Viungo, Costel Birsan,...