RUVU SHOOTING:TUTAWASHANGAZA WENGI KESHO

0

OFISA Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire amesema kuwa kesho watawashangaza wengi ndani ya uwanja kwenye mchezo wao dhidi ya Simba.Ruvu Shooting itamenyana na Simba Uwanja wa Taifa ikiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara.Akizungumza na Saleh Jembe, Bwire amesema: "Tutawashangaza wengi kesho kwa kuonyesha soka makini kwani maandalizi yapo sawa naona wengi wametusahau ila tupo tayari," amesema.Ruvu Shooting...

VPL:MWADUI 0-1 YANGA

0

Inaongezwa dakika mojaMCHEZO wa Ligi Kuu Bara unaoendelea Uwanja wa Kambarage  kati ya Mwadui na Yanga, Yanga ipo mbele kwa bao 1-0.Balama Mapinduzi amefunga bao hilo dakika ya sita.Mashabiki wamejitokeza kwa wingi huku wakichukua tahadhari dhidi ya Corona

MWADUI,YANGA ZAPEWA TANO NA TFF KWA KUFUATA MUONGOZO WA SERIKALI

0

MASHABIKI wa Mwadui na Yanga leo wamfuata muongozo uliotolewa na Serikali kwa kukaa umbali wa mita moja ikiwa ni tahadhari dhidi ya Virusi vya Corona.Mchezo wa leo Juni 13 ni wa Ligi Kuu Bara ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kutokana na timu zote kuwa na uhitaji wa pointi tatu.Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF) limewapongeza mashabiki wote kwa kufuata muongozo...

SABABU YA YANGA KUPANDA NDINGA MPAKA SHINYANGA HII HAPA

0

INAELEZWA kuwa sababu kubwa iliyowafanya wachezaji wa Yanga kuelekea Shinyanga kwa ndiga ni kuepusha gharama zisizo za lazima pamoja na kuwaweka wachezaji kwenye mazoezi kwa wakati.Yanga ilisepa Dar, Juni 10 kwa basi la timu kuelekea Shinyanga ambapo leo Juni 13 watcheza mchezo wa ligi dhidi ya Mwadui FC Uwanja wa Kambarage.Habari zinaeleza:-“Sababu iliyowafanya Yanga kwenda na ndege ni tahadhari...

LEO KAZI KAZI, VIWANJA VIWILI KUWAKA MOTO

0

LEO Juni 13, viwanja viwili vitakuwa na kazi ya kukupambana na mihimili ya miguu 44 baada ya masuala ya michezo kuruhusiwa kuendelea na Serikali.Hakukuwa na mechi ya ushindani kwenye ligi tangu Machi 17 na sababu kubwa ilikuwa ni janga la Virusi vya Corona ambalo lilivurugavuruga dunia.Kwa sasa tayari Serikali imeridhia masuala ya michezo kuendelea huku ikiwataka mashabiki na wadau...

AZAM FC YAIANDALIA DOZI MBAO

0

UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa unajiweka sawa kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mbao FC utakaochezwa Uwanja wa Azam Complex, Juni 14.Akizungumza na Championi Jumamosi, Ofisa Habari wa Azam FC, Thabit Zakaria alisema kuwa mipango ipo sawa kutokana na kikosi kuanza kurejea kwenye ubora wake.“Kocha Mkuu, Aristica Cioaba ameshaanza kukinoa kikosi na wachezaji...

UJUMBE WA JEMBE KWA HAJI NA HASSAN

0

NIMEONA sehemu mbalimbali mitandaoni baadhi ya watu wakifurahia namna Msemaji wa Yanga, Hassan Bumbuli alivyomdhihaki Msemaji wa Simba, Haji Manara.Maneno makali aliyotoa Bumbuli kwa Haji, yanaonyesha ni jazba kuhusiana na Haji, tena habari mbaya ametaja masuala ya ualbino katika njia ambayo si sahihi.NINAAMINI Hassan kafanya hivyo kutokana na jazba na kilichomkera ni kumuona Haji akishea picha ya basi la...

JESHI LA YANGA LITAKALOANZA DHIDI YA MWADUI FC LEO, KAMBARAGE

0

KIKOSI ca Yanga kitakachoanza le dhidi ya Mwadui FC Uwanja wa Kambarage

MTAMBO WA KAZI WAUNGANA NA WENZAKE NDANI YA KIKOSI CHA AZAM FC

0

BEKI wa Azam FC, Nicolas Wadada jana ameungana na wachezaji wenzake kufanya mazoezi ya pamoja kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa kesho dhidi ya Mbao FC.Wadada alikuwa nchini Uganda baada ya Serikali kusimamisha masuala ya michezo kutokana na janga la Virusi vya Corona.Tangu Machi 17, hakukuwa na mechi ya ushindani kwa kipindi hicho cha kuchukua tahadhari, ila kwa...

SIMBA YAZITAKA POINTI TATU ZA RUVU SHOOTING

0

LUIS Miquissone, kiungo mshambuliaji wa Simba amesemamazoezi waliyofanya kwa muda wa wiki mbili yatawasaidia kupata matokeo chanya mbeke ya Ruvu Shooting.Kesho Juni 14, Simba itamenyana na Ruvu Shooting Uwanja wa Taifa ikiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara.Raia huyo wa Msumbiji amesema kila kitu kipo sawa na wataingia uwanjani kwa kupambana kwa kuwa walikosa mechi ya ushindani kwa muda...