ISHU YA VIPIGO VIWILI MFULULIZO SIMBA YATOA TAMKO

0

 MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba chini ya Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck ambaye ni raia wa Ubelgiji akisaidiana na mzawa, Seleman Matola wamepoteza mechi mbili mfululizo mbele ya timu za majeshi.Ilianza kuyeyusha pointi tatu mbele ya Tanzania Prisons kwa kufungwa bao 1-0 Uwanja wa Nelson Mandela, Oktoba 22 na ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting,...

KOCHA YANGA: KAZI NDO KWANZA INAANZA

0

 KOCHA Mkuu wa Yanga, Cedric Kaze, amesema kuwa amefurahishwa na kuridhishwa na matokeo ya ushindi kwenye mechi zake mbili alizokaa kwenye benchi akiifundisha timu hiyo.Kaze mchezo wake wa kwanza alishinda bao 1-0 dhidi ya Polisi Tanzania, Uwanja wa Uhuru na mchezo wake wa pili alishinda mabao 2-1 dhidi ya KMC Uwanja wa CCM Kirumba. Kocha huyoamesaini dili la miaka miwili...

SAID NDEMLA AFIKIRIA KUKIPIGA SOKA LA KULIPWA NJE

0

SAID Ndemla, nyota wa Simba amesema kuwa hana hofu na uwezo wake ndani ya kikosi hicho anaamini kwamba ataweza kufikia malengo aliyojiwekea ikiwa ni pamoja na kucheza soka la kulipwa nje ya nchi.Ndemla ni miongoni mwa wazawa ambaye jina lake lilitajwa kwenye orodha ya nyota wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars iliyocheza mchezo wa kirafiki dhidi ya...

NYOTA AZAM FC ACHEKELEA KUSAINI KUPATA DILI NJE YA BONGO

0

 BAADA ya kufanikiwa kulamba dili la kusajiliwa na Klabu ya Macabi Tel Aviv inayoshiriki Ligi Kuu Israel kiungo kinda aliyekulia Azam FC, Novatus Dismas amesema ndoto yake ya kucheza Ulaya na straika wa Taifa Stars na Fernabache Mbwana Samatta sasa itatimia. Novatus amesema kupata nafasi ya kusajiliwa na kwenda kucheza kwenye klabu ambayo huwa inapata nafasi ya kucheza Ligi ya...

AZAM FC YAKUTANA NA KISIKI MTIBWA SUGAR

0

 VINARA wa Ligi Kuu Bara, Klabu ya Azam FC leo Oktoba 26 wamekutana na kisiki cha mpingo baada ya kupoteza mchezo wao wa kwanza ndani ya ligi kwa kufungwa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar.Azam FC ilikuwa imecheza jumla ya mechi saba bila kupoteza na ilifunga mabao 14 huku ikifungwa mabao mawili pekee na kipa wao namba moja David...

VPL: SIMBA 0-1 RUVU SHOOTING

0

 Dakika ya 79 Bocco anakosa penaltiDakika ya 72 Shaban Msala kadi nyekunduDakika ya 72 Fuji Uwanja wa UhuruDakika ya 66 Mohamed Issa anapewa huduma ya kwanzaDakika ya 59Luis anapiga faulo haizai matunda Dakika ya 56 Maganga anapewa huduma ya kwanzaDakika ya 53 Nyosso anazuia mipango ya Morrison Kipindi cha pili kimeanza Mapumziko Simba 0-1 Ruvu Shooting Uwanja wa MkapaZimeongezwa dk 4Dakika 45 zimekamilika Dakika ya...

SIMBA MAMBO MAZITO,YAWEKA REKODI YA DAKIKA 45

0

 SIMBA ndani ya dakika 45 kwa mechi za leo kwa mechi ambazozimechezwa leo kwa kuwa imekuwa ya kwanza ambayo imeruhusu bao la mapema dakika ya 35 kwa kufungwa na Fuly Zully Maganga.Mpaka muda wa mapumziko kwenye ligi leo ambapo kuna mechi tatu zinaendelea ni Simba ilifungwa.Timu nyingine ambazo zipo uwanjani na zilimaliza dakika 45 bila kufungwa ni vinara Azam...

KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA RUVU SHOOTING, AJIBU, KAKOLANYA NDANI

0

 KIKOSI cha Simba kitakachoanza leo Oktoba 26 dhidi ya Ruvu Shooting mchezo wa Ligi Kuu Bara Uwanja wa Uhuru.Mchezo huu unatarajiwa kuanza saa 10:00 jioni na kwa mara ya kwanza kwa msimu wa 2020/21 kipa namba mbili Beno Kakolanya ameanza kikosi cha kwanza.Pia Ibrahim Ajibu naye ambaye mechi zilizopita alikuwa akianzia benchi leo ameanza jumlajumla kikosi cha kwanza.

YANGA YAIPIGIA MATIZI BIASHARA UNITED

0

 BAADA ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Cedric Kaze kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya KMC leo kimeanza kujiweka sawa kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Biashara United. Yanga ikiwa chini ya Kaze ambaye ameongoza kikosi hicho kwenye mechi mbili ambazo ni dakika 180 na kushinda zote kitashuka Uwanja wa Karume, Mara, Oktoba 30.Mchezo wa...

AZAM FC :TUMEJIPANGA KUCHUKUA TAJI MOJA MSIMU HUU 2020/21

0

 UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa kazi kubwa kwa msimu huu wa 2020/21 ni kuweza kuona inafikia malengo ambayo imejiwekea ikiwa ni kuweza kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara ambao wameukosa kwa muda mrefu ama Kombe la Shirikisho.Azam FC inashika nafasi ya kwanza kwenye Ligi Kuu Bara ikiwa na pointi 21 baada ya kushinda mechi saba na safu ya...