KUMEKUCHA AZAM FC, NDAYIRAGIJE KUANZA NA HILI

0

KOCHA wa Azam FC, Etiene Ndayiragije amesema kuwa anahitaji kuboresha kikosi na hesabu zake ni kwenye kuongeza wachezaji wakali wenye uwezo.Ndayiragije amelamba mkataba wa kuionoa Azam FC akichukua mikoba ya Hans Pluijm kwa kandarasi ya miaka miwili."Kutokana na malengo ambayo yapo kwa sasa kazi kubwa itakuwa ni kutengeneza kikosi imara, nina imani hilo linawezekana kutokana na uhitaji ambao upo...

KAKOLANYA AIBUKA NA KALI YA SIKU SIMBA

0

GUMZO la mashabiki ni kwamba Beno Kakolanya anaweza kumuweka benchi Aishi Manula? Amesaini mkataba wa miaka miwili Msimbazi. Lakini ametamka kwamba; “Moto utawaka.”Kakolanya kujiunga na Simba ni wazi vita ya namba itazidi kukolea kwenye kikosi hicho ambacho kinaongozwa na Tanzania One, Aishi Manula akisaidia na Deo Munishi ‘Dida’ na Ally Salum.Kirekodi ushindani utazidi kuwa mkubwa lakini Manula bado ataendelea...

MCHEZAJI AMBAYE HANA UHAKIKA WA KUONGEZEWA MKATABA AIPA YANGA STRAIKA WA SWEDEN

0

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Amissi Tambwe ameitaka klabu hiyo kumsajili straika wa Mwadui FC, Salum Aiyee kwani anaweza kusaidia lakini imevuja kwamba anakwenda Sweden.Tambwe ambaye ameitumikia Yanga kwa mafanikio makubwa ndani ya miaka mitano hana uhakika wa kubaki Yanga kwani mkataba wake umeisha na taarifa zinasema ni kati ya wachezaji wanaotemwa.Aiyee anasifi ka kwa ubora wa kucheka na nyavu na...

NDANDA FC WAINGIA ANGA ZA YANGA, AZAM FC KUGOMBANIA SAINI YA NYOTA HUYU

0

IMEELEZWA kuwa uogozi wa Ndanda FC umeingia kwenye harakati za kuinasa saini ya mshambuliaji wa Mwadui FC, Salum Aiyee kama ilivyo kwa Yanga, ili kuongeza nguvu kwenye kikosi hicho msimu ujao.Aiyee amekuwa bora kwa msimu wa 2018/19 baada ya kuwakimbiza wazawa wote kwa utupiaji ambapo ametupia jumla ya mabao 18 ambayo ni mara yake ya kwanza kuyafikia tangu aanze...

HOFU YA NAMUNGO IPO HAPA

0

UONGOZI wa Namungo FC umesema kuwa kwa sasa hesabu zao kubwa ni kuona kwamba timu yao inapata nafasi ya kuleta ushindani wa kweli hivyo kazi yao ya kwanza itakuwa ni kujilinda kutokushuka Daraja.Akizungumza na Salehe Jembe, Kocha Mkuu wa Namungo, Hitimana Thiery amesema kuwa kwa sasa malengo makubwa ya timu ni kucheza soka la kweli litakalowasaidia kutokushuka Daraja."Hatari kubwa...

MFAHAMU MCHEZAJI WA ALGERIA ALIYETUPWA NJE AFCON SABABU YA KUONESHA MAKALI NJE

0

Kocha wa Algeria Djamel Belmadi amethibitisha kuwa amemtema kikosini kiungo mshambuliaji Haris Belkebla kwa utovu wa nidhamu. Kikosi cha Algeria kinaendelea kujifua kwaajili ya michuano ya Afcon, na kocha Belmadi amesema nidhamu ndio kipaumbele kwa sasa.Mbadala wa Belkeba kwenye michuano hiyo itakayoanza Juni 21 ni mshambuliaji mzawa wa Ufaransa Andy Delort.Kwa mujibu wa BBC. Tayari msahambuliaji huyo ameshatua kambini...

KAKOLANYA ATOA TAMKO LAKE LA KWANZA BAADA YA KUSAINI SIMBA

0

GUMZO la mashabiki ni kwamba Beno Kakolanya anaweza kumuweka benchi Aishi Manula?Amesaini mkataba wa miaka miwili Msimbazi. Lakini ametamka kwamba; “Moto utawaka.”Kakolanya kujiunga na Simba ni wazi vita ya namba itazidi kukolea kwenye kikosi hicho ambacho kinaongozwa na Tanzania One, Aishi Manula akisaidia na Deo Munishi ‘Dida’ na Ally Salum.Kirekodi ushindani utazidi kuwa mkubwa lakini Manula bado ataendelea kuwa...

PATRICK GAKUMBA AFUNGUKA JUU YA BALINYA KUTOENDA SIMBA ‘WALIMKATAA’ – VIDEO

0

Meneja wa mchezaji Juma Balinya, Patrick Gakumba akifunguka juu ya mchezaji huyo kushindwa kujiunga na Simba na badala yake aksajiliwa na Yanga.

ULE USAJILI WA KAGERE KUTUA ZAMALEK KWA BILIONI 1.2 ZA KITANZANIA, UKWELI WOTE HUU HAPA

0

Lile suala la Meddie Kagere kutakiwa na Zamalek kwa dau la bilioni 1.2 za kitanzania, ishu nzima ipo namna hii.