NDAYIRAGIJE APANIA REKODI KUBWA

0

Kocha Mkuu wa Azam FC, Ettiene Ndayiragije, amesema, anachokifanya kwenye michuano ya Kagame nchini Rwanda ni kusaka rekodi ikiwemo kutetea kombe lao hilo.Azam FC ambao ni mabingwa watetezi wa michuano hiyo ambayo mwaka huu inafanyika Rwanda, Jumapili iliyopita ilianza kwa ushindi wa bao 1-0 lililofungwa na Idd Seleman ‘Nado’ dhidi ya Mukure FC ambapo jana walishuka dimbani kuvaana na...

YANGA NAYO YATUMA MAJINA 26 CAF TAYARI KUKIIGA LIGI YA MABINGWA AFRIKA, YUMO SHIKALO

0

Majina ya wachezaji 26 wa Yanga ambayo yametumwa CAF kwa ajili ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao.MAKIPA1. Farouk Shikalo2. Metacha Mnata 3. Klaus Kindoki MABEKI4. Paul Godfrey 5. Juma Abdul6. Muharami Issa Marcelo7. Jaffary Mohamed 8. Andrew Vicent Dante9. Kelvin Yondani10. Ally Ally11. Mustafa Seleman12. Ally Mtoni Sonso13. Lamine MoroVIUNGO14. Papy Tshishimbi15. Feisal Salum Feitoto16. Mohamed Issa Banka17. Patrick Sibomana 18. Issa Bigirimana19....

MSHAMBULIAJI SIMBA AMALIZANA NA TP MAZEMBE

0

Mshambuliaji wa zamani wa Simba na baadaye Aza FC, Ramadhan Singano, amejiunga na TP Mazembe ya Congo.Singano ambaye aliwahi kung'ara zaidi wakati akiwa Simba na baadaye kutimkia Azam FC, amefikia makubaliano na miamba hao wa Afrika kwa kuingia nao mkataba.Singano amemwaga wino Mazembe akiwa na bosi wa klabu hiyo, Moise Katumbi na sasa atakuwa na kikosi hicho msimu ujao...

NOMA!! HUU NDIYO UBALAA WA MIPANGO YA YANGA MSIMU UJAO – VIDEO

0

Klabu ya Yanga imeadhimia kucheza mechi za kirafiki zisizo pungua Tano ili kujiimarisha kuelekea msimu ujao wa ligi kuu.Akizungumza hii Leo na Waandishi wa habari jijini Dar es salaam Ofisa habari wa klabu hiyo, Dismas Ten,  amesema watacheza mechi hizo wakiwa morogoro pamoja na Dodoma ili kukiimarisha kikosi chake.Hata hivyo Dismasi amesema Siku ya Wananchi ambayo walikuwa wamepanga imeahirishwa...

TFF YAIJIBU SERIKALI KUHUSIANA NA KUGOMEA VIKAO VYAKE

0

Kufuatia lile sakasaka la uongozi wa TFF kugomea vikao vya serikali kupitia Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo chini ya Harrison Mwakyembe, shirikisho hilo limefunguka kwa kuandika haya hapa.

SERIKALI YAKERWA NA TFF, TAMKO LATOLEWA

0

WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe ametoa rai yake kufuatia uamuzi wa Shirikisho la Soka nchini TFF kumtimua kocha Emmanuel Amunike.Mwakyembe amesema kuwa kama TFF wameamua kufuata nyayo za Misri katika kumfuta kazi Amunike basi na wao wanapashwa wakamilishe mchakato kwa kujiuzulu nafasi zao.“Sisi hatuna tatizo na maamuzi ya TFF endapo tu yatatupeleka mbele, lakini...

KIUNGO MPYA KUTOKA GHANA ATUA AZAM

0

UONGOZI wa Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam FC, umekamilisha taratibu za kumsajili kiungo mshambuliaji, Richard Djodi, kwa mkataba wa mwaka mmoja kwa usajili huru akitokea kwa vigogo wa Ghana, Ashanti Gold.Huo ni usajili wa mwisho kwa Azam FC kwa ajili ya msimu ujao, ikiwa hadi sasa imesajili wachezaji wapya watano, watatu wakiwa wa kigeni na wawili...

MSUVA AMFUATA SAMATTA ULAYA

0

Nyota wa Difaa el Jadida ya Morocco, Mtanzania Saimon Msuva amefunguka kuwa kwa msimu ujao anaweza kuondoka ndani ya klabu hiyo na kutimkia barani Ulaya. Msuva kwa sasa amebakisha mkataba wa mwaka mmoja na Wamorocco hao ambao walimng’oa kutoka Yanga baada ya kufanya vizuri kwa kumaliza mfungaji bora akiwa na mabao 14.Akizungumza na Spoti Xtra, Msuva amesema malengo yake kwa...