KINDA WA TIMU YA TAIFA YA ENGLAND APIGWA PINI MIAKA MITANO UNITED

0

MANCHESTER United imekamilisha dili la kinda Aaron Wan-Bissaka kwa dau la Euro millioni 50.Kinda huyo wa timu ya Taifa ya England mwenye umri wa miaka 21 amesaini dili hilo na atalipwa mshahara wa Euro 80,000 kwa wiki.Amesaini kandarasi ya miaka mitano, mkataba wake utameguka 2024 na kuna kipengele cha kuongeza muda na mkwanja iwapo ataonyesha makeke kwa kutimiza vipengele vya kwenye mkataba vinavyozungumzia uwezo...

EMMANUEL OKWI AIVURUGA SIMBA

0

NYOTA wa timu ya Simba, Emmanuel Okwi ambaye kwa sasa anazidi kuwa mtamu kwenye michuano ya Afcon inayoendelea nchini Misri amewavuruga mabosi wa Simba baada ya kutoweka wazi hatma yake ya kurejea Simba.Okwi mpaka sasa kwenye michezo miwili ya Afcon ambayo Uganda wamecheza dhidi ya Congo pamoja na Zimbabwe amefunga mabao mawili na kuibuka mchezaji bora kwenye mchezo mmoja...

MWINYI ZAHERA WA YANGA AGOMA KUREJEA BONGO

0

LICHA ya timu yake kushindwa kufurukuta kwenye michuano ya Afcon inayoendelea nchini Misri, Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera amegoma kurudi mapema Bongo endapo atapoteza mchezo wake wa mwisho dhidi ya Zimbabwe.Zahera kwa sasa yupo na kwenye benchi la ufundi la timu ya Congo akiwa ni kocha msaidizi na timu yake ipo mkiani kwenye kundi A baada ya kupoteza...

NDAYIRAGIJE ATAKA MASHINE KALI NNE, ASHIKILIA JINA LA MZAWA MMOJA

0

SELEMAN Ndikumana raia wa Burundi anaungana na nyota wengine wapya ndani ya Azam FC ambao ni pamoja na Idd Seleman ‘Nado’ Emmanuel Mvuyekure ambaye naye ni raia wa Burundi kujiaanda kutetea kombe la Kagae litakalofanyika nchini Rwanda mwezi Julai.Kwa sasa Azam FC wameanza kujiwinda kutetea kombe la Kagame ambalo linatarajiwa kuanza kutimua vumbi mwezi Julai.Kwa mujibu wa Kocha Mkuu,...

VIKOSI VINNE VILIVYO KUNDI LA TAIFA STARS, ANGALIA UTUAMBIE UNAAMINI KIPI NI KIKOSI BORA KWA NAMBA, YAANI 1, 2, 3, NA 4

0

Na Saleh Ally, CairoHivi ndio vikosi vitatu vya Senegal, Algeria na Kenya vilivyo katika kundi moja katika michuano ya Afcon na timu yetu ya Tanzania.Unaweza kuangalia na kuona kikosi kipi kina wachezaji bora zaidi na kwa nini?Katika maoni, kuwa huru kupanga kikosi cha kwanza hadi cha nne kwa maana ya kile ulichoona ni bora zaidi.Kikosi cha Senegal vs AlgeriaEdouard...

TAIFA STARS AFCON, TUNAKICHEKA TUSICHOKIJUA LICHA YA KUWA CHA KWETU

0

Na Saleh Ally, CairoNILIPITA karibu na vyumba vya wachezaji wa Taifa Stars na kuwaona wengi wao wakiwa wamejiinamia na baadhi yao wakibubujikwa na machozi.Hili lilinishangaza kidogo, nafikiri kwa kuwa sikuwa nimetegemea kwamba baada ya wao kupoteza mechi dhidi ya Kenya wangejisikia vibaya hadi kububujikwa na machozi.Wachezaji wanalia lakini kuna mashabiki wanafurahia timu yao kupoteza mitandaoni, jambo linaloonyesha cheko zetu...

TUNDAMAN KUACHIA NGOMA SOON! “SIWEZI KUWATUNGIA WIMBO YANGA” – VIDEO

0

Msanii wa Bongo Fleva, Tundaman ambaye alikua golikipa wa Timu ya Bongo Fleva ambayo ilishuka dimbani kuminyana na Global FC nje kidogo ya Jijini la Dar es Salaam, Kibaha na Bongo Fleva kuibuka na ushindi wa matuta kwa mabao 5-3 amefunguka siri ya ushindi huo.Tundaman amesema kwanza kudaka penalti ni kawaida yake na walipofikia kwenye hatua hiyo alijiweka kudaka...

TP MAZEMBE YAKUMBUSHIA DILI LA AJIBU

0

BAADA ya mawakala wa TP Mazembe kutua nchini Tanzania wiki hii kwa ajili ya kunasa baadhi ya saini za wachezaji mbalimbali, imebainika kuwa wameamua kumuungia mchezaji Ibrahim Ajibu Migomba ambaye walikuwa wakimtaka awali bila mafanikio.Awali, TP Mazembe ya DR Congo ilikuwa ikimuhitaji mchezaji huyo ambaye walikuwa wakifanya mazungumzo kupitia simu lakini mwisho dili hilo halikufanikiwa kwani aliendelea kuitumikia timu...

HATMA YA OKWI, JUUKO YATOLEWA SIMBA

0

WAKATI kukiwa na taarifa za nyota wengi wa Simba akiwemo Juuko Murshid na Emmanuel Okwi kutokuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo kwa msimu ujao, Mtendaji Mkuu wa Klabu ya Simba, Crescentius Magori, amefungukia juu ya hatima ya nyota hao na wengineo.Juuko na Okwi ambao mikataba yao imemalizika, kuna uwezekano wasiwepo tena kikosini hapo kutokana na Kocha Patrick Aussems...

MWAMBUSI ARUDI MBEYA CITY, ASAINI MWAKA

0

KOCHA Juma Mwambusi amerejea nyumbani pale Mbeya City na kusaini mkataba wa mwaka mmoja kwa ajili ya kuinoa timu hiyo msimu ujao.Mwambusi ndiye aliyeipandisha daraja Mbeya City na msimu wa 2013/14 wakashiriki ligi kuu na kutoa upinzani wa hali ya juu na kumaliza ligi wakiwa nafasi ya tatu kisha akatimka kikosini humo msimu wa 2015/16 na kujiunga Yanga.Katika msimu...