EXCLUSIVE!! YANGA YANASA KIFAA KUTOKA SIMBA
Klabu ya Yanga Princess imekamilisha usajili wa mchezaji Asha Abdul Malamwa kwa kumsainisha mkataba wa miaka miwili.Asha amejiunga na Yanga Princess akitokea katika kikosi cha Simba Queens.Mkataba wa Asha na Yanga Princess utadumu mpaka mwaka 2021.
TUZIJADILI HOJA ZA ROSTAM MSITARI KWA MSTARI, MIHEMKO KATIKA HILI SI JIBU SAHIHI
Na Saleh AllyNILIFIKA nyumbani kwa mwanasiasa maarufu Rostam Aziz baada ya kualikwa kama mkongwe wa masuala ya habari za michezo nchini.Nilifika pale kwa lengo la kusikiliza kilichokuwa kikizungumzwa na hasa baada ya kuthibitishiwa, suala litakalozungumziwa litakuwa ni la michezo.Michezo ndiyo maisha yangu ya kila siku. Nilitaka kujua Rostam anazungumzia nini. Wakati nikiwa njiani, niliwaza sana, nikajiaminisha naye alikuwa amepanga...
DAN ALVES ATANGAZA KUACHANA NA PSG
Mlinzi wa kulia wa klabu ya Paris Saint-Germain, Dani Alves ametangaza kuihama klabu hiyo majira haya ya jotoKupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram, Alves mwenye umri wa miaka 36 amesema kuwa anaweza kuanza maisha mapya msimu wa 2019/20 ingawa hajaweka wazi ni klabu gani ataenda.“Ukurasa mwingine mpya kwenye maisha yangu unafungwa leo, ukurasa wenye mafanikio ambao nimejifunza na kuongeza...
BALINYA AMFUNIKA MEDDIE KAGERE SIMBA
MSIMU ujao wa Ligi Kuu Bara macho na masikio yote yatakuwa kwa washambuliaji, Juma Balinya aliyesaini mkataba wa miaka miwili na Mnyarwanda, Meddie Kagere aliyekuwa mfungaji bora wa msimu uliopita.Lakini rekodi za Wachezaji hao wawili zinambeba zaidi Balinya ambaye idadi ya penalti kwenye mabao yake ni chache zaidi kuliko Kagere.Balinya ni kati ya wachezaji nane waliosajiliwa na Yanga hivi...
NINJA AMTAKA KAGERE KUWA AMEMSUMBUA UWANJANI, AWEKA WAZI JUU YA MKATABA – VIDEO
Beki Abdallah Shaibu Ninja akifunguka juu ya mkataba wake na Yanga na akimweleze Meddie Kagere alivyosumbua zaidi msimu uliopita.
ZAHERA AMWAGA SABABU LUKUKI ZA CONGO KUPOTEZA MECHI NA UGANDA – VIDEO
Kocha Msaidizi wa DR Congo akitaja sababu ya timu yake kupoteza mchezo wa jana dhidi ya Uganda katika Kombe la Mataifa ya Afrika.
VANESSA ATHIBITISHA KUACHANA NA JUX
Mwanamuziki anaefanya vizuri na ngoma ”Thats For Me” Vanessa Mdee leo Kupitia ukurasa wake wa instagram kwenye instastory amethibitisha rasmi kuachana na aliekua mpezi wake ambaye ni mwanamuziki wa Bongo Fleva Juma Jux.Vanessa amethibitisha ilo baada ya kutoa nafasi kwa mashabiki zake wa instagram kumuuliza maswali hata ” wewe na juma mmeachana??” shabiki aliuliza swali Vanessa alijibu swali ilo...
BAADA YA YANGA KUSAJILI MASHINE ZA MAANA, YONDANI AJA NA TAMKO LA KUTISHA KWA WAPINZANI
KELVIN Yondani juzi alivyoingia tu Instagram alishangaa kuona posti kibao kwenye kurasa za mashabiki wa Yanga zikionyesha beki Ally Ahmed Ally akisaini kuichezea timu hiyo, hapohapo akaguna na kusema “Kwa beki hii? Tafuteni kwa kupitia.”Yanga mpaka sasa imesaini mabeki wa kati wapya watatu akiwemo Mburundi, Mustapha Suleiyman.Usajili huo wa mabeki watatu unafikisha idadi ya mabeki watano tofauti na Abdallah...