Kwa mujibu wa kanuni, Lipuli hawakustahili.

0

Kimsingi si Lipuli Fc ndio alitakiwa aende kushiriki michuano ya Kimataifa kwa msimu ujao kwa maana ya Kombe la shirikisho Africa na ni KMC kwa mujibu wa kanuni.Baada ya CAF kuthibitisha Tanzania itakua na wawakilishi wanne katika michuano ya msimu ujao ya CAF, KMC alitangazwa kuwa ndiye atakewakilisha nchi katika Kombe la shirikisho akichukua nafasi ya mshindi...

MANARA: YANGA NI WASHIRIKI VITI MAALUM CAF – VIDEO

0

Kauli ya Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara kuhusiana na Yanga kupata nafasi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika.

ZAHERA ASHUSHA KOCHA MPYA YANGA

0

KATIKA kuliboresha benchi lao la ufundi, uongozi wa Yanga upo kwenye mazungumzo ya mwisho na Kocha Mkuu wa Kagera Sugar, Mecky Maxime kwa ajili ya kumletea msaidizi Mwinyi Zahera.Hiyo, ni mara ya pili kwa Yanga kutangaza kumpa ukocha msaidizi wa timu hiyo ambaye msimu ujao wa Ligi Kuu Bara atakuwepo kwenye sehemu ya benchi la ufundi. Maxime akiwa na...

SIMBA YAIPELEKA YANGA MDOMONI MWA AL AHLY

0

KAMA zali tu vifaa vipya ambavyo vitavaa jezi za Yanga msimu ujao vina nafasi kubwa ya kukipiga dhidi ya timu za TP Mazembe na Al Ahly, hiyo ni baada ya wapinzani wao Simba kuwakutanisha na timu hizo.Hatua hiyo imekuja baada ya Yanga kupata nafasi ya kushiriki katika Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo kwa msimu ujao watacheza huko baada ya...

Yanga sio ‘viti maalumu’, lakini Simba…

0

Baada ya taarifa kutoka na kuonyesha kuwa sasa Tanzania itakuwa na timu nne katika mashindano ya CAF, tambwe nyingi zimeenea hadi kupelekea msemaji wa timu ya Simba kutoa maneno ya utani/kejeli kuhusu nafasi hii.Kandanda imejaribu kuangalia kwa undani kidogo kujua, mchango wa timu hizi ni upi katika kufikisha alama 18 za nchi na kupelekea timu yetu kuinngia...

RAMADHAN KABWILI BADO HAKIJAELEWEKA YANGA, APATA DILI NJE

0

MLINDA mlango wa Yanga Ramadhani Kabwili amesema bado hawajafikia muafaka na mabosi wa timu moja nchini Sudan.Akizungumza na Championi Jumatano, Kabwili alisema; “Mkataba wangu na Yanga umekwisha na bado sijaongeza mkataba mwingine, kwa sasa naendelea na mipango yangu mingine ikiwa ni pamoja na kuangalia ofa ambazo nipo nazo mkononi.”“Kuna timu moja ipo nchini Sudan ambayo inahitaji huduma yangu wakati...

POLISI TANZANIA YAPANIA KUPAMBANA TPL

0

UONGOZI wa kikosi cha Polisi Tanzania umesema kuwa kwa sasa hesabu kubwa ni kujipanga kisawasawa kwa ajili ya msimu wao wa kwanza ndani ya Ligi Kuu Bara hivyo wanaanza na usajili makini utakaowafanya wawe imara.Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa Polisi Tanzania, Frank Lukwaro amesema kuwa kwa sasa wanaifanyia kazi ripoti ya kocha ambayo ndiyo muongozo kwa watakaowasajili."Ripoti...

AZAM FC: HATUJABAHATISHA KUTWAA FA, TULIJIPANGA KIUKWELI

0

KOCHA wa Azam  FC Idd Cheche amesema kuwa haikuwa bahati mbaya wao kutwaa ubingwa wa kombe la Shirikisho mbele ya Lipuli mchezo uliochezwa uwanja wa Ilulu, Lindi kwa kuwa walijipanga mapema na walitambua aina ya timu waliyokutana nayo.Azam FC watapeperusha Bendera ya Tanzania kimataifa baada ya kutwaa kombe la FA kwa mara ya kwanza baada ya kushinda bao 1-0...

TFF YAFAFANUA SABABU YA KMC KUPENYA KIMATAIFA

0

BAADA ya Shirikisho la Soka Afrika (Caf) kuongeza nafasi mbili kwa nchi ya Tanzania kushiriki michuano ya kimataifa kwa msimu wa mwaka 2019/20 na nafasi hizo mbili kuchukuliwa na Yanga pamoja na timu ya Manispaa ya Kinondoni (KMC) Shirikisho la Soka Tanzania, TFF limefafanua sababu ya KMC kupenya kimataifa.Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa TFF, Cliford Ndimbo amesema...