COASTAL UNION YAFANYA MAAMUZI MAGUMU KUHUSU ALI KIBA

0

KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Juma Mgunda amesema kuwa kwa sasa hawafikirii kumuacha mchezaji Ali Kiba licha ya kuwa na majukumu mengi kwani uwezo wake ni wa juu.Akizungumza na Salehe Jembe, Mgunda amesema kuwa msimu uliopita Kiba alishindwa kuonyesha uwezo wake kutokana na kubanwa na ratiba hivyo kwa sasa wapo kwenye mazungumzo naye ili kujua namna atakavyoihudumia kwa ukaribu."Kiba ni...

Kelvin John alitamani sana kubaki Misri

0

Kelvin John Mshambuliaji ambaye alikuwemo katika kikosi cha wachezaji 32 walioitwa na Amunike nchini Misri, amekiri kuwa kuwemo katika kikosi hicho kumemuongezea ujuzi na kumfungua zaidi, licha ya kutokuwemo katika kikosi cha wachezaji 23. Ameyasema hayo  alipoongea na Michezo Leo ya Metro Fm.“Nilitamani kuwa sehemu ya kikosi lakini sikubahatika kuwepo Mwalimu Yuko sahihi kwa kikosi alichokiteua kutuwakilisha...

TAZAMA MAUFUNDI YA MASHINE MPYA ILIYOTUA YANGA HAPA – VIDEO

0

Baadhi ya magoli aliyofunga Juma Balinya ambaye amesajiliwa na Yanga kwa kusaini mkataba wa miaka miwili. Tazama vdeo yake hapa.

HIKI NDICHO KILICHOMPONZA CHIRWA, SINGANO, LYANGA KUPIGWA CHINI AZAM FC

0

IMEELEZWA kuwa sababu kubwa ya kocha Ettiene Ndayiragije kuwatema wachezaji nane wa kikosi hicho ni pamoja na kutoridhishwa na uwezo wa wachezaji hao pamoja na nidhamu.Azam FC leo wanaingia kambini rasmi kwa ajili ya maandalizi ya michuano ya Kagame inayotarajiwa kuanza mwezi Julai nchini Kagame wakiwa ni mabigwa watetezi.Wachezaji hao ni pamoja na Obrey Chirwa ambaye tangu mwanzo aligoma...

JIPYA LAIBUKA JUU YA USAJILI WA BWALA SIMBA

0

Imeripotiwa kuwa klabu ya Simba imegoma kutoka kiasi cha fedha ambacho Nkana Red Devils wanakitaka ili kumuachia mchezaji wao Walter Bwalya.Taarifa za ndani zinasema Nkana wanahitaji kiasi cha shilingi milioni 800 za kitanzania jambo ambalo limekuwa ni gumu kuzitoa.Uongozi wa juu wa Simba kupitia kwa Ofisa Mtendaji wake, Crescentius Magori, umesema kwa fedha hiyo hawataweza kumsajili Bwalya na badala...

TSHABALALA AWACHANGANYA WAARABU – VIDEO

0

Tazama alichokifanya Mohammed Hussein 'Tshabalala' huko Misri akiwa na Taifa Stars mpaka baadhi ya waarabu wakawa wanamtazama.

HARMONIZE AMKATAA ALIKIBA, ATAJA TATTOO ZAKE – VIDEO

0

Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Harmonize, kutoka WCB Wasafi, amefunguka mambo mbalimbali kuhusiana na tattoo alizochora mwilini mwake sambamba na kumtaja Ali Kiba. Sikiliza hapa

ALIKIBA AIGA ALICHOKIFANYA DIAMOND – VIDEO

0

Lebo ya Msanii wa kizazi kipya inayomilikiwa na msanii Ali Kiba 'Kings Music' imemtambulisha msanii mwingine mpya.

Miraji avunja kanuni ya saa saba kamili?

0

Winga wa klabu ya Lipuli Fc yenye makazi yake mjini Iringa, Miraj Athumani, huenda anaelekea katika klabu ya Simba Sc baada ya kupost picha yake leo akiwa pembeni ya bango la Simba Sc.Miraji aka Sheva, mfungaji wa mabao 7 msimu uliopita alikuwemo katika kikosi ha wachezaji 32 kilichoenda Misri. Alichujwa katika awamu ya mwisho kupata kikosi cha...

WENGINE WAWILI WASAINI LEO AZAM FC

0

UONGOZI wa Azam FC chini ya Ofisa Mtendaji Mkuu, Abdulkarim Amin kwa kushirikiana na benchi la ufundi lililo chini ya Kocha Mkuu, Ettiene Ndayiragaje umewaongezea mkataba wachezaji wake wawili leo ili waendelee kuitumikia timu hiyo msimu ujao.Nyota hao wawili mikataba yao ilikuwa inamalizika ni pamoja na mlinda mlango Benedict Haule na kiungo Braison Raphael wote wameongeza kandarasi ya mwaka...