SAKATA LA KUJIUZULU BARBARA…MENGINE MAPYA YAIBUKA…ALIKUWA HAZIIVI NA ‘TRY AGAIN’….
Mashabiki wa Simba bado wapo njia panda baada ya Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, Barbara Gonzalez kutangaza ghafla kujiuzulu, huku kukiwa na tetesi za chinichini kwamba mambo sio mambo Msimbazi. Barbara alitangaza juzi jumamosi uamuzi wake huo, kwa kuandika taarifa mtandaoni, akiweka bayana mambo makuu mawili, ambayo hata hivyo yameibua maswali mengi kwa wanasimba wakiona hayana uzito mkubwa, kiasi cha...
KIGWANGALA: KAMA MO DEWJI AMESHINDWA SIMBA AWEKE WAZI…NIKO TAYARI KUTAFUTA NAMNA…
Mbunge wa Nzega Vijijini na mwanachama wa Klabu ya Simba SC na Dk Hamisi Kigwangalla kupitia ukurasa wake wa kijamii wa Instagram ameandika ”Sijui kuna kitu gani kinaendelea ndani ya klabu yetu ya Simba. Sijui kwa uhakika, lakini nasoma comments za wadau/washabiki wa Simba kwenye kurasa zangu za mitandao ya kijamii na wengine wakichukua muda wao kuniandikia meseji kabisa.” ”Baadhi wakitaka...
WAKATI SIMBA WAKILIA NA MAJERAHA KWA WACHEZAJI WAO…YANGA SIRI IKO HIVI…
Kocha wa viungo wa Yanga, Helmy Gueldish amefichua siri ya ubora wa mastaa wa timu hiyo ni kuzingatia mazoezi ambayo yamekuwa yakiwaepusha na majeraha ya mara kwa mara na kudai wapinzani wao katika Ligi Kuu, Kombe la ASFC na hata Kombe la Shirikisho Afrika kazi wanayo. Gueldish alitua Yanga akitokea klabu ya Etoile Du Sahel ya Tunisia ikiwa ni pendekezo...
BATGOL: BOCCO HAPEWI HESHIMA YAKE SIMBA…NAFASI YA CHAMA WATAFUTE MCHEZAJI MWINGINE…
Straika wa kimataifa wa zamani wa Tanzania aliyewahi kuwika Nazareth Njombe na Simba, Emmanuel Gabriel ‘Batgol’ amesema lazima nahodha wa Simba, John Bocco apewe heshima kutokana na mchango kwa klabu hiyo, licha ya sasa kutopata nafasi ya kucheza kikosi cha kwanza. Mkongwe huyo alisema Bocco, hatendewi haki na timu hiyo na sasa inapaswa aheshimiwe kwa mchango mkubwa alioufanya kwa kipindi...
TUONGEE KIMPIRA…HI ISHU YA BARBARA KUJIUZULU SIO KUBWA KIVILEE..ILA BADO KUNA TATIZO SIMBA..
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez, Jumamosi alitangaza kujiuzulu nafasi yake kwa sababu ambazo hakuziweka bayana, ingawa kulishaanza kuzabaa maneno kuhusu mzozo ndani ya uongozi wa klabu hiyo kongwe. Barbara hana muda mrefu tangu ateuliwe kushika wadhifa huo katika mazingira ambayo yaliibua maswali kuhusu mchakato wa kumpata baada ya aliyeajiriwa kushika wadhifa huo, Senzo Mazingisa kutoka Afrika Kusini, naye...
KABURU ACHOKUA FOMU ZA KUGOMBEA UBOSI SIMBA…VIGOGO WENGINE HAWA HAPA…
Wagombea 13 wamejitokeza kuchukua fomu za kuwania nafasi mbalimbali katika uchaguzi mkuu wa klabu ya Simba SC utakaofanyika Januari 29, mwakani. Kati ya wagombea hao wanne wanawania nafasi ya mwenyekiti na tisa nafasi ya Ujumbe wa Bodi ya Wakurugenzi. Miongoni mwa waliojitokeza kuchukua fomu ya kuwania nafasi ya uenyekiti ni aliyekuwa Mtunza Fedha wa klabu hiyo, Yusuph Nassor Majid ambaye kwa...
DILI LA MAZNOKI LAFIKIA PATAMU SIMBA….MGUNDA AKABIDHI MAJINA YA VIFAA VIPYAA…
KUELEKEA usajili wa dirisha dogo, uongozi wa Simba umeweka wazi kuwa kocha mkuu wa kikosi hicho, Juma Mgunda, tayari amekutana na viongozi wa Bodi ya Wakurugenzi na kuwasilisha ripoti ya maboresho ya kikosi chake, huku jina la straika, Cesar Manzoki likijadiliwa kwa ukubwa. Dirisha dogo la usajili linatarajiwa kufunguliwa Desemba 16, mwaka huu na kufungwa Januari 15, 2023 ambapo timu...
HII HAPA RATIBA KAMILI NA TEREHE KWA MECHI ZA YANGA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA…
DROO ya hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho la CAF imepangwa mchana wa jana na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu ya NBC, Yanga ni miongoni mwa timu 16 zinazoshiriki hatua hiyo ikiwa imepangwa kwenye Kundi D pamoja na TP Mazembe, US Monastir, na Real Bamako Na Hii ndio ratiba kamili ya hatua ya Makundi ya kombe hilo: MECHI YA KWANZA:...
WAARABU WAJITOSA KWA FEI TOTO….WAMTENGEA MAMILIONI YA PESA…HERSI AKUBALI AENDE..
MABOSI wa Berkane FC ya nchini Morocco wamefunga safari kumfuata kiungo mchezeshaji, Feisal Salum ‘Fei Toto’ kwa ajili ya kuinasa saini yake ikiwa ni baada ya kukoshwa na uwezo wake ambao amekuwa akiuonyesha kila mara akiwa anaitumikia timu hiyo. Kiungo huyo mara kadhaa amekuwa akiwaniwa vikali na baadhi ya klabu za nje ya nchi kwa ajili ya kumnasa tangu asajiliwe...
UKIONA YANGA WANACHEZA JUMANNE TU…NENDA KABET WANAFUNGWA…TAKWIMU HIZI HAPA…
Hadithi tamu kwa jezi nyeusi kwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga na namna ilivyoibeba timu hiyo kabla ya kuwekewa zengwe na kwenda kupasuka kwa Ihefu 2-1, ilivuma sana masikioni mwa wapenda soka. Baada ya kupasuka kwa Ihefu na kutibuliwa rekodi ya kucheza mechi mfululizo bila kupoteza ikikwamisha ya 49, iliporudi kwenye mechi mbili zilizofuata ikivaa jezi hizo na kushinda...