SIKU KADHAA BAADA YA KUTANGAZWA KUSAJILIWA GEITA…NTIBAZONKIZA AIBUKA NA KUANIKA UKWELI WOTE….

0

Amerudi tena na ameanzia alipoishia hivyo ndivyo unavyoweza kusema baada ya mshambuliaji Said Ntibazonkiza ‘Saido’ kurudi tena katika ardhi ya Tanzania kwa mara ya pili baada ya kuamalizana na waajili wake wa zamani Yanga.Saido raia wa Burundi msimu huu amerudi kuitumikia Geita Gold ambayo inashiirki mashindano ya kimataifa ikiwashiriki nchi kwa mara ya kwanza katika Kombe la Shirikisho Afrika.Geita...

MWAKINYO TENA…AFUNGUKA A-Z ISHU YA KULIPWA ZAIDI YA MIL 230 KWA KUPIGWA TU…AGUSIA KUUZA PAMBANO ILI APATE PESA..

0

Wengi wameshuhudia dakika 10:49 za Hassan Mwakinyo na Liam Smith ulingoni, huku Watanzania wengi wakishangazwa na kilichotokea hadi, bondia huyo namba moja nchini kupigwa kwa Technical Knock Out (TKO) usiku wa kuamkia Jumapili iliyopita licha ya yeye ndiye kuonekana amecheza vizuri na kuongoza raundi ya pili.Kila mmoja anazungumza lake kuhusu pambano hilo lililopigwa Uingereza, wengine wakihisi kama ameliuza, wengine...

KISA SARE NA AZAM…AZIZ KI NA MAYELE WAWEKWA KIKAANGONI YANGA…INJINIA HERSI AFOKA…MORRISON ABANWA….

0

Pitia ukurasa wa mbele wa gazeti la SpotiXtra la leo Alhamisi.

BREAKING NEWS:…JUMA MGUNDA KOCHA MPYA SIMBA…LESENI A YA CAF YAMPA ULAJI MBELE YA MATOLA NA MGOSI…

0

Klabu ya Simba Usiku huu imemtangaza Kocha Mkuu wa Coastal Union ya Tanga Juma Mgunda kuwa Kaimu Kocha Mkuu wa timu hiyo kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika.Katika taarifa ya Klabu hiyo kwa Mashabiki wake, Mgunda atasafiri na kikosi cha timu hiyo kwenda nchini Malawi ambapo Simba wataanza kampeni yao ya kuwania kufuzu hatua ya makundi ya michuano hiyo.Hata...

FT: SIMBA 2-2 KMC FC….PAMOJA NA MAKI KUONDOKA ..MAMBO BADO MAGUMU MSIMBAZI…STRAIKA MZUNGU ACHINJIWA BAHARINI..

0

Kaimu Kocha wa Simba, Seleman Matola ameanza na sare ya magoli  mchezo wake wa kwanza akiiongoza Simba tangu kuondoka kwa Kocha Zoran Maki alietimkia nchini Misri.Simba walikua na kibarua kizito mbele ya KMC mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara mtanange uliopigwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa.Simba waliokuwa nyumbani ndio wa kwanza kupata bao dakika ya pili kipindi cha kwanza...

KUMBE KWELI BANA…KISA KOCHA MAKI…BOCCO ALIDHAMIRIA KUONDOKA SIMBA….AHMED ALLY KAFUNGU A-Z…WALIVYOMTULIZA..

0

Imefahamika kuwa Nahodha na Mshambuliaji wa Simba SC John Raphael Bocco alidhamiria kuondoka klabuni hapo, baada ya kuona hakuwa na thamani chini ya Kocha aliyeondoka Zoran Maki.Bocco hakuwa na nafasi kwenye kikosi cha Zoran Maki, na badala yake alionekana kuwa chaguo la nne baada ya Washambuliaji Habib Kyombo, Dejan Georgijevic na Moses Phiri.Meneja wa Habari na Mawasilino wa Simba...

SAKATA LA KISINDA KUZUILIWA NA TFF…YANGA WASIMAMIA UKUCHA…WALIPA MAMILIONI YA PESA CAF ILI ACHEZE…

0

Sintofahamu imeibuka sakata la usajili wa Winga Mkongomani, Tuisila Kisinda ndani ya Yanga. Klabu imesisitiza kwamba imefanya kila kitu kwa wakati na mchezaji huyo ni mali yao lakini Shirikisho la Soka la Tanzania(TFF) limesema hapana.Yanga wamekuwa katika vikao vizito na simu zisizokauka wakipambana kutumia wanasheria kukutana na Kamati ya Leseni pamoja na ile ya Sheria na Hadhi za wachezaji...

KUELEKEA MECHI ZA CAF…SIMBA SC WAANZA UMAFIA MAPEMA….WATUMA JESHI LA ‘VIWAVI’ LILONGWE MALAWI…

0

Simba wako Dar es Salaam kimwili lakini akili na mipango yao yote ipo Lilongwe Malawi.Katika kuhakikisha wanaanza kwa umakini kabisa kwenye mechi yao ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Nyasa Big Bullets jana Jumanne kuna msafara wa watu maalumu watatangulia Malawi kwa ajili ya kuweka mazingira sawa.Msafara huo wa watu maalumu utakwenda kuhakikisha mazingira na vitu...

WAKATI SAKATA LA KISINDA HALIJATULIA…MAKAMBO NA MOLOKO WAWEKWA KWENYE MSITARI WA HATARI YANGA…

0

Mastaa wa Yanga, Heritier Makambo na Jesus Moloko licha ya kuponea tundu la sindano kung’olewa kikosini, wanakabiliwa na mtihani kujihakikishia usalama wa maisha Jangwani.Licha ya Kocha Nasreddine Nabi kutokuwa na matumizi na Lazarous Kambole aliyejiunga msimu huu akitokea Kaizer Chief ya Afrika Kusini na Yacouba Sogne, lakini wanaendelea kufanya mazoezi na timu na wanaweza wakapindua meza muda wowote.Makambo na...

ILI KUEPUSHA YASIJE KUJITOKEZA YA MWAKINYO….TWAHA KIDUKU APATA MBELEKO YA MBUNGE…MCHONGO MZIMA UKO HIVI…

0

Akiwa katika maandalizi ya kuelekea Pambano lake la Septemba 24 dhidi ya Bondia kutoka nchini Misri Abdo Khaleed, Bondia Twaha Kiduku amepokea taarifa njema kutoka kwa Mbunge wa Morogoro Mjini Abdulaziz Abood.Twaha Kiduku atazichapa katika Pambano hilo la Kimataifa la kuwania mkanda wa UBO mjini Mtwara, huku Mashabiki wa Masumbwi Tanzania wakiwa na matumaini ya kuona akifanya vizuri.Mbunge Abood...