DAH…DILUNGA NDIO BASI TENA SIMBA…PABLO KAONA ISIWE TABU…KAMUONDOA JUMLA JUMLA…
KUFUATIA majeraha ya muda mrefu ambayo ameyapata kiungo wa Simba, Hassan Dilunga, ambayo yanaweza kumuweka nje ya uwanja mpaka mwishoni mwa msimu…
Browse all posts in this category.
KUFUATIA majeraha ya muda mrefu ambayo ameyapata kiungo wa Simba, Hassan Dilunga, ambayo yanaweza kumuweka nje ya uwanja mpaka mwishoni mwa msimu…
ARSENAL itapambana kumsajili fowadi wa Manchester United, Marcus Rashford katika kipindi kijacho cha usajili wa majira ya joto, kwa mujibu wa taarifa.…
Yanga haijapoteza mechi yoyote tangu Aprili 25 mwaka jana iliponyooshwa na Azam kwa bao 1-0 lililofungwa na Prince Dube katika mchezo wa…
Timu ya Azam FC itakuwa na mechi ya kirafiki dhidi ya DTB Jumanne Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, nje kidogo ya…
KIUNGO wa Yanga, Jesus Moloko, amefunguka kuwa kwa sasa anatamani sana kurejea kwenye kikosi hicho ili kuendeleza mapambano ya kulisaka taji la…
Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Afrika, CAF imetoa adhabu kwa Klabu ya RS Berkane katika mechi mbili za Kombe ka Shirikisho…
MASTAA wa Simba waliokuwa mapumziko ya muda mfupi na wale waliokuwa kwenye kikosi cha timu ya taifa, Taifa Stars wameitwa fasta kambini…
YANGA inajiandaa na pambano lao dhidi ya Azam, huku kikosi chake kikizidi kuimarika kutokana na baadhi ya wachezaji waliokuwa majeruhi kurejea akiwamo…
Winga wa Simba, Peter Banda amechaguliwa mchezaji bora wa mashabiki wa mwezi Machi (Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the Month).…
WACHEZAJI wa Simba waliokuwa hawana majukumu ya timu za taifa walipewa mapumziko ya siku tano na baadhi waliamua kutimkia makwao, lakini kiungo…
HABARI ndio hiyo. Simba ina dakika 90 tu za kuamua hatma yake katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika na Jumapili ijayo…
SIMBA ina viungo mafundi, lakini bado baadhi ya mashabiki wanaendelea kumuota James Kotei. Mghana huyo alijitengenezea ufalme Msimbazi katika misimu mitatu akiupiga…