ROBERTINHO ATAMBA KUPATA MAFAILI MUHIMU YA AL AHLY
Kocha Mkuu wa Simba SC Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amefunguka kuwa tayari amepata mafaili muhimu ya wapinzani wake Al Ahly kuelekea katika mchezo…
Browse all posts in this category.
Kocha Mkuu wa Simba SC Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amefunguka kuwa tayari amepata mafaili muhimu ya wapinzani wake Al Ahly kuelekea katika mchezo…
Mabosi wa Yanga wanakutana kufikiria watapitaje kwenye mechi sita za hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Lakini mastaa wawili wenye…
Simba SC jana ilicheza mechi ya kirafiki ya kujiandaa na pambano la michuano mipya ya African Football League (AFL) kwa kuikandika Dar…
Mechi inayosubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa soka nchini la Yanga dhidi ya Azam FC iliyokuwa limepangwa kupigwa Jumatano ya Oktoba…
Kocha wa Simba, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ ametamba kuwa uzoefu na ubora wa beki wake wa kati, Che Fondoh Malone utakuwa silaha muhimu…
Kocha Mkuu wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans Miguel Angel Gamondi ametamba kuwa kurejea kwa baadhi ya wachezaji wake ambao…
Kiungo wa Azam FC, Feisal Salum Abdallah “Fei Toto’, ametuma ujumbe mzito kwa waajiri wake wa zamani Young Africans kuelekea mchezo wao…
Matokeo mabaya inayopata timu ya Geita Gold, yanadaiwa kuihamisha kutoka katika Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza kwa mechi zitakazohusisha timu za Simba…
Kocha Mkuu wa Simba SC Roberto Oliveira Gonçalves do Carmo ‘Robertinho’ amesema anaiheshimu Al Ahly ya Misri, hivyo hana budi kujipanga kupambana…
Uongozi wa Klabu ya Simba SC, umeipongeza serikali chini ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, kwa kufanya marekebisho ya Uwanja wa Benjamin…
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo Tanzania, Ally Mayay amesema Serikali imejiandaa vya kutosha kuhakikisha tukio la ufunguzi la African Football League (AFL)…
Kikosi cha Yanga kimeendelea kujifua kwenye Uwanja wa Avic Town, Kigamboni, jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mechi zijazo ikiwemo ya…