Michezo Bongo

Browse all posts in this category.

Michezo Bongo

GAMONDI AFANYA MABADILIKO JUU KWA JUU

Kikosi cha Yanga kimerudi uwanjani kujifua baada ya kutoka kucheza mchezo mgumu wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo iliyoamua kucheza nusu…

Sep 24, 2023
Michezo Bongo

GAMONDI AGEUKA KIVURUGE KWA WAPINZANI

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga, amevuruga ramani za wapinzani wake wanaofikiria mbinu yake ya kupata mabao itakuwa kwa washambuliaji pekee wanaonza…

Sep 24, 2023
AISEE!! NABI AZINYAKA SIRI ZA INONGA...AWAKABIDHI MAYELE NA MUSONDA...ISHU NZIMA HII HAPA A-Z
Michezo Bongo

INONGA AIVURUGA SIMBA

Beki wa Simba SC, Henock Inonga ametoka hospitalini baada ya kujeruhiwa kwenye mchezo wa juzi Alhamis (Septemba 21) huku kocha wake akitikisa…

Sep 24, 2023
Michezo Bongo

KIUNGO WA YANGA MAMBO MAGUMU

  Kiungo wa zamani wa Yanga, Abdulaziz Makame ‘Bui’, baada ya kukosa timu ya kuichezea anapigia mahesabu usajili wa dirisha dogo, huku…

Sep 23, 2023
Yanga vs Namungo
Michezo Bongo

YANGA YAANZA NA HESABU HIZI KALI CAF

Kikosi cha Young Africans kimerudi uwanjani kujifua baada ya kutoka kucheza mchezo mgumu wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Namungo iliyoamua kucheza…

Sep 23, 2023