MTAMBO WA MABAO YANGA WATOA KAULI YA MATUMAINI KISA FISTON
YACOUBA Songne, mtambo wa mabao ndani ya kikosi cha Yanga umesema kuwa uwepo wa nyota mpya, Fiston Abdoul Razack ndani ya kikosi…
Fuatilia habari zote mpya za <strong>Yanga SC</strong>, kuanzia usajili, kikosi, ratiba na matokeo ya mechi hadi taarifa za wachezaji, makocha na mashindano. Soka la Bongo inakuletea taarifa za <strong>Yanga SC</strong> kila siku kutoka Tanzania na mashindano ya Afrika.
YACOUBA Songne, mtambo wa mabao ndani ya kikosi cha Yanga umesema kuwa uwepo wa nyota mpya, Fiston Abdoul Razack ndani ya kikosi…
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umewaomba mashabiki kujitokeza kwa wingi leo, Februari 6 Uwanja wa Azam Complex kushuhudia mchezo wa kirafiki…
KIUNGO mshambuliaji wa klabu ya Yanga, Said Ntibazonkiza ‘Saido’ amefunguka kuwa mshambuliaji mpya wa klabu huyo Fiston Abdoul Razak atafanya mambo makubwa…
KUFUATIA kiungo wa Yanga, Carlos Fernandes ‘Carlinhos’ kuwa nje kwa muda mrefu huku zikienea tetesi kuwa huenda mchezaji akaachwa mwishoni wa…
MSHAMBULIAJI wa Klabu ya Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Cedric Kaze, Fiston Abdul Razack amesema kuwa huwa hadumu kwa muda ndani ya…
MABINGWA wa kihistoria Tanzania, Yanga wamesema kuwa wapo tayari kumlipa mchezaji wao wa zamani Amiss Tambwe ambaye anawadai fedha za usajili pamoja…
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa ulikuwa kwenye mpango wa kuinasa saini ya kiungo chaguo la kwanza la Didier Gomes ndani ya…
MWAKA jana Yanga ilipeleka malalamiko yao CAS juu ya usajili wa mchezaji Bernad Morrison kwenda Simba haukufuata taratibu. Morrison aliingia kwenye mgogoro…
IMEFICHUKA rasmi kuwa klabu ya Yanga ipo tayari kumuachia mshambuliaji wao Michael Sarpong endapo tu kama kuna timu itakuwa tayari kulipa fedha…
UONGOZI wa klabu ya Yanga umesema unajivunia mafanikio makubwa waliyoyapata msimu huu kwa kutwaa taji la kombe la Mapinduzi, pamoja na…
NAMBA nne ndani ya Ligi Kuu Bara, msimu wa 2020/21 imekuwa ni pendwa kwa wachezaji wengi ambao wamefungua akaunti zao za mabao.…