Trending Stories
View All
AZAM FC YAPANIA KUMALIZA BIASHARA UWANJA WA CHAMAZI JUMLAJUMLA
LEO Azam FC wana kazi moja tu mbele ya Fasil Kenema ya Ethiopia kutafuta ushindi wa mapema.Huu ni mchezo wa…
KAHATA ATANGAZA ATUMA MESEJI MSUMBIJI
Wakati kikosi cha Simba, kesho Jumapili kikitarajiwa kushuka uwanjani kucheza dhidi ya UD Songo ya Msumbiji, kiungo mshambuliaji wa kimataifa…
ROLLERS YATUMIA POMBE KUJAZA UWANJA
WAPINZANI wa Yanga, Township Rollers kutoka Botswana, watatumia kilevi cha pombe kama kishawishi cha kuwavutia mashabiki wao kujitokeza uwanjani kuisapoti…
CAF YAINGILIA HUJUMA YANGA
MCHECHETO! Ndivyo utakavyoweza ni baada ya wapinzani wa Yanga, Township Rollers kupeleka maombi kwenye Shirikisho la Soka Afrika (CAF), kuomba…
ZAHERA APEWA MTIHANI MZITO TFF
Ni kama mtihani mzito kwa Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera kutokana na ujio wa maboresho wa kanuni mpya za…
AZAM: TUTACHUKUA MAKOMBE MATATU MSIMU HUU
HUENDA huu ukawa msimu wa kipekee kwao licha ya kwamba, tayari wameshuhudia wakiyakosa mataji mawili kabla ya kuanza kwa Ligi…
HARMONIZE AZIDI KUUMIZA VICHWA WATU, WCB WATOA TAMKO JINGINE JUU YAKE – VIDEO
HATIMAYE uhakika wa taarifa za kuwa mkali wa Kwangwaru Harmonize hayupo tena katika Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB) umethibitishwa…
SHIBOUB AFICHUA MBINU ZA KUWAMALIZA UD SONGO HARAKA KWA MKAPA, HANA UTANI
Kiungo Msudan wa Simba, Sharaf Shiboub amefunguka kuwa dawa pekee ya kuwafunga wapinzani wao, UD do Songo kwenye mechi yao…
TOWNSHIP ROLLERS!!! MBONA WANAKAA MAPEMA TU, MSOME ZAHERA ANACHOKISEMA
Achana na presha waliyokuwa nayo wapinzani wao, Township Rollers ya Botswana, unaambiwa Kocha Mkuu wa Yanga Mkongomani, Mwinyi Zahera amepanga…
NIYONZIMA AREJEA SIMBA, AWAPIGWA MKWARA UD SONGO
KIUNGO wa zamani wa Simba na Yanga, Haruna Niyonzima amesema kuwa hakuna timu yoyote yenye uwezo wa kuifunga Simba ikiwa…
WAMEKUFA!! REKODI YAIBEBA SIMBA CAF
Wekundu wa Msimbazi Simba SC, watakuwa na kibarua kingine cha mchezo wa mkondo wa pili dhidi ya UD Songo, mechi…
KIKOSI TAIFA STARS KILICHOTANGAZWA KWA AJILI YA MECHI NA BURUNDI, MANULA NJE
KAIMU Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Ettiene Ndayiragije ameteua kikosi cha wachezaji 30 watakaoingia kambini kujiandaa na…
LIVERPOOL V ARSENAL NI BALAA KESHO, REKODI ZAIBEBA TIMU HII HAPA
KUELEKEA kwenye mchezo wa kesho kati ya Liverpool na Arsenal Uwanja wa Anflied kiungo Alex Oxlade-Chamberlain ana uhakika wa kuendelea…
MKENYA AHUKUMIWA MAISHA, KOSA NI KUMBAKA MWANANAMKE MGONJWA ALIYE NA MIAKA 74
Raia wa Kenya, Anthony Mamboleo Nyakeo amehukumiwa kifungo hicho baada ya kupatikana na hatia ya kumdhalilisha kingono Mwanamke mgonjwa wa…
KMC YAONDOLEWA KOMBE LA SHIRIKISHO CAF, YAPIGWA 2-1 NA AS KIGALI KWA MKAPA
Mechi ya mkondo wa pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya KMC FC dhidi ya AS Kigalo kutoka Rwanda…
KMC WATAJA SABABU YA KUPOTEZA MBELE YA AS KIGALI LEO TAIFA
JUMA Kaseja nahodha wa timu ya KMC amesema kuwa kilichowaponza leo kushindwa kutusua mbele ya AS Kigali ni kuruhusu makosa…