LIONEL MESSI KUIBUKIA MANCHESTER CITY
BAADA ya taarifa rasmi kutolewa na Klabu ya Barcelona Agosti 4 zikieleza kuwa, nyota wao Lionel Messi raia wa Argentina anaondoka klabuni hapo baada...
YANGA YATUA KWA MGHANA, MJADALA MO KUTISHIA KUSEPA SIMBA, NDANI YA CHAMPIONI IJUMAA
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Ijumaa
MUONEKANO WA UKURASA WA NYUMA GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA
MUONEKANO wa ukurasa wa nyuma gazeti la Championi Ijumaa
MTAMBO WA MABAO NDANI YA SIMBA UNATIMIZA MIAKA KADHAA LEO
NI mfungaji bora ndani ya Ligi Kuu Bara akiwa ametupia mabao 16 na pasi mbili za mabao.Pia katika kabati lake kuna mpira mmoja ambao...
HILI HAPA CHAMA KAMILI LA YANGA, WANAOACHWA PIA WATAJWA
YANGA haitaki masihara, tayari imekamilisha usajili wa baadhi ya wachezaji katika kuhakikisha wanafanya vema kwenye msimu ujao wa Ligi Kuu Bara na Ligi ya Mabingwa Afrika. Baadhi ya wachezaji wa kigeni wameanza kutua nchini tayari kwa...
KAKA ANA TUZO KIBAO KABATINI MWAKE
AMELETWA duniani Aprili 22,1982 ana umri wa miaka 39 ni raia wa Brazil jina lake anaitwa Ricardo Izecson dos Santos Leite ila jamii inamjua...
AZAM FC BADO IPO CHIMBO KUSHUSHA MAJEMBE YA KAZI
UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kwamba bado upo chimbo kwa sasa kuendelea kusaka majembe mapya kwa ajili ya msimu ujao wa 2021/22.Tayari Azam...
KAGERA SUGAR:TUTAFANYA USAJILI MZURI KUFIKIA MALENGO
FRANCIS Baraza, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar amesema kuwa watafanya usajili mzuri kwa msimu wa 2021/22 ili waweze kufikia malengo ambayo wanahitaji.Msimu huu Kagera...
AZAM FC KAZINI TENA LEO KOMBE LA KAGAME
VIVIER Bahati, Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo kwenye Kombe la Kagame utakaocezwa Uwanja wa...
ARSENAL KUMCHOMOA KIUNGO MADDISON NDANI YA LEICESTER CITY
ARSENAL imetoa ofa kwa Leicester City ya kutoa fedha pamoja na mchezaji kati ya Hector Bellerin ama Eddie Nketiah ili kumpata kiungo James Maddison.Kwa...