MSIMAMO WA LIGI KUU BARA UPO NAMNA HII
MSIMAMO wa Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya Mbeya City kutoshana nguvu na Yanga kwa kufungana bao 1-1, Uwanja wa Sokoine, Mbeya.Pia Biashara United...
SIMBA KUIBUKA BONGO LEO,YAWAOMBA MASHABIKI KUENDELEA NA SHUGHULI ZAO
OFISA Habari wa Simba, Haji Manara amesema kuwa kikosi cha Simba kinatarajia kuwasili leo kwenye ardhi ya Tanzania huku akiwaomba mashabiki waendelee na shughuli...
YANGA:KUNA WATU WANATUKATISHA TAMAA KUFIKIA MALENGO YA KUTWAA UBINGWA
CEDRIC Kaze,Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa malengo yao ya kusaka ubingwa wa Ligi Kuu Bara yapo palepale,licha ya uwepo wa watu ambao wanawakatisha...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTI XTRA Jumapili
CARLINHOS AKABIDHIWA MAJUKUMU YA SAIDO YANGA
KOCHA mkuu wa Yanga, Cedrick Kaze amesema kuwa kurejea kwa kiungo mshambuliaji wa timu hiyo Carlos Carlinhos kutaongeza ubora katika kikosi chake ambacho...
KOCHA AZAM ALIA NA VIWANJA BONGO
KOCHA mkuu wa Azam, George Lwandamina amefunguka kuwa ubovu wa miundombinu ya viwanja hapa nchini unachangia kwa kiasi kikubwa kuzorotesha mchezo wa soka.Azam ambayo...
MFAUME KUUWASHA MOTO FEBRUARI, 27
BONDIA wa ngumi za kulipwa hapa nchini na bingwa wa Afrika Mashariki na Kati uzito wa kati, Mfaume Ahmad Said ‘Mfaume Mfaume’ yupo kwenye maandalizi makali ya...
MECHI YA WAJEDA WA ANGOLA NA NAMUNGO YAFUTWA
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Africa,(CAF) limefuta mechi kati ya CD ed Agosto v Namungo, mechi hiyo ilipaswa kuchezwa kesho ambayo ni hatua ya...
VPL:MBEYA CITY 0-0YANGA
UWANJA wa Sokoine Mbeya City 0-0 YangaDakika ya 45+1 Chitembe anaonyeshwa kadi ya njano Kipindi cha kwanzaZinaongezwa dakika 2Dakika 45 zinakamilika Dakika ya 44 Mnata anaokoa hatariDakika...
KIKOSI CHA YANGA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA MBEYA CITY,FISTON NDANI
KIKOSI cha Yanga kitakachoanza leo dhidi ya Mbeya City, Uwanja wa Sokoine, Mbeya.