KIPA AZAM: PENALTI YA CHAMA ILIKUWA YA KAWAIDA
MATHIAS Kigonya, kipa wa timu ya Azam FC amesema kuwa nyota wa Simba, Clatous Chama alipiga penalti ya kawaida jambo ambalo lilimfanya aweze kwenda...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumatatu
YANGA: TUNAWAHESHIMU WAPINZANI WETU ILA TUTAPAMBANA NDANI YA UWANJA
CEDRIC Kaze, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wachezaji wake wapo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mbeya...
MWENYEKITI MPYA SIMBA ASHINDA KWA ASILIMIA 70
LEO Februari 7, Simba imepata Mwenyekiti mpya ambaye anakuwa mrithi wa mikoba ya Sued Mkwabi ambaye alibwaga manyanga Septemba 2019.Uchaguzi wa leo ambao umefanywa...
LIGI KUU BARA: SIMBA 1-0 AZAM FC
Kipindi cha KwanzaSimba 1-0 Azam FCUwanja wa MkapaZinaongezwa dakika 3Dakika ya 43 Luis anapewa huduma ya kwanzaDakika ya 39 Kapombe anapewa huduma ya Kwanza Dakika...
RASMI KIKOSO CHA AZAM FC KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA SIMBA
Kikosi cha Azam FC kitakachoanza leo dhidi ya Simba, Uwanja wa Mkapa
RASMI KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA AZAM FC
Kikosi cha Simba kitakachoanza leo dhidi ya Azam FC
TIMU ZINAZOPANDA LIGI LAZIMA KUNA JAMBO LINAWAKWAMISHA
NAPATA wakati mgumu kuelewa namna gani timu zetu za Bongo zinakwama hasa baada ya kupanda daraja kutoka Ligi Daraja la Kwanza na kuanza kushiriki...
KIKOSI CHA SIMBA KINACHOTARAJIWA KUANZA LEO DHIDI YA AZAM FC
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba leo wana kazi ya kusaka pointi tatu mbele ya Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu...
KIKOSI CHA AZAM FC LEO KINACHOTARAJIWA KUANZA DHIDI YA SIMBA
LEO Februari 7, Uwanja wa Mkapa majira ya saa 10:00 jioni unatarajiwa kuchezwa mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Simba v Azam FC.Mchezo...