AZAM WAMWEKEA ULINZI DUBE
BENCHI la ufundi la klabu ya Azam, limeadhimia kumlinda mshambuliaji wao hatari raia wa Zimbabwe, Prince Dube kwa kumpunguzia baadhi ya majukumu yanayoweza kumsababishia...
HESABU ZA UBINGWA ZIMEKAMILIKA YANGA
BAADA ya kufunga usajili wao kwa kishindo kwa kumshusha mshambuliaji hatari wa timu ya Taifa ya Burundi, Fiston Abdoul Razak. Uongozi wa klabu ya...
TP MAZEMBE, AL HILAL WAUKUBALI MZIKI WA SIMBA
KIWANGO bora kilichoonyesha na Simba kwenye michuano ya Simba Super Cup kimezifanya klabu shiriki za michuano hiyo, TP Mazembe na Al Hilal kuivulia kofia...
CHIKWENDE, MORRISON WAMTISHA LWANDAMINA AZAM
UBORA wa kikosi cha Simba hasa baada ya kushusha majembe ya kazi ikiwemo Mzimbabwe Tatenda Perfect Chikwende, na kurudi kwa makali ya, Bernard Morrison...
GOMES KATIKA MTIHANI MGUMU SIMBA
KWANZA nianze kwa kuwapongeza Simba kwa mafanikio makubwa waliyoyapata kupitia michuano ya Simba Super Cup, ambayo ilianza kutimua vumbi kuanzia Jumatano iliyopita.Michuano hiyo iliyofikia...
LIVERPOOL YAFANYA KWELI, YASAJILI MABEKI WA KAZI
HATIMAYE Klabu ya Liverpool imekamilisha usajili wa mabeki wawili muda mfupi kabla ya dirisha la usajili halijafungwa jana Jumatatu, Februari Mosi.Mabeki hao wa kati...
SIMBA KUTINGA BUNGENI KUPEWA BARAKA ZA LIGI YA MABINGWA
UONGOZI wa Klabu ya Simba umesema kuwa kesho timu hiyo itapata nafasi ya kuingia bungeni kwa ajili ya kupewa baraka na wawakilishi wa Tanzania...
WAWILI WAMPASUA KICHWA KOCHA MKUU MTIBWA SUGAR
BEKI wa kulia, Hassan Kessy kwa sasa anampasua kichwa Kocha Mkuu wa Klabu ya Mtibwa Sugar kutokana na kusumbuliwa na majeraha.Mbali na Kessy pia...
AZAM KAMILI GADO KUIVAAA TP MAZEMBE LEO
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo wa kirafiki dhidi ya TP Mazembe, utakaochezwa Uwanja wa Azam...
KUMBE! WACHEZAJI WAMEMGOMEA MKUDE SIMBA
PAMOJA na kamati ya nidhamu ya Simba kutoa tamko la kumtaka Jonas Mkude kuingia kambini mara baada ya kusikiliza na kuamua juu ya tuhuma...