MHILU: NIKIKUTANA NA YANGA WANISAMEHE

0
STRAIKA wa Kagera Sugar, Yusuph Mhilu amesema kuwa licha ya kuwa na heshima kubwa juu ya mchango wa klabu ya Yanga katika maisha yake...

NAMUNGO WAHARIBU RATIBA YA AZAM

0
KUFUATIA mabadiliko ya ratiba ya mchezo wa kombe la Shirikisho Afrika kati ya Namungo na Clube Desportivo 1º de Agosto ya Angola utakaopigwa kesho,...

MAJEMBE MANNE YA KAZI LEO KUTUMIKA NDANI YA YANGA KUIMALIZA MTIBWA SUGAR

0
 INGIZO jipya la Yanga, Fiston Abdoul Razack leo, Februari 20 linaweza kuanza kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar utakaochezwa Uwanja...

LIGI KUU BARA MECHI ZAKE LEO HIZI HAPA

0
 LEO Februari 20, Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea ambapo timu tatu zitakuwa uwanjani kusaka pointi tatu muhimu.KMC iliyo nafasi ya 6 na pointi 28...

VITA YA PIRA SPANA V PIRA BURUDANI, UHURU

0
 LEO, Uwanja wa Uhuru kutakuwa na vita ya pira spana kutoka kwa Klabu ya KMC dhidi ya pira burudani kutoka kwa Kagera Sugar.Ikiwa ipo...

KOCHA YANGA: SIMBA IONGEZE NGUVU SAFU YA ULINZI KIMATAIFA

0
 MOHAMED Hussein,’Mmachinga’ kocha msaidizi ndani ya timu ya Yanga Princes amesema kuwa wawakilishi wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika lazima waongeze nguvu kwenye...

MTIBWA SUGAR:TUNAIFUNGA YANGA KWA MKAPA

0
 UONGOZI wa Mtibwa Sugar umeweka wazi kwamba leo utawafunga Yanga kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Mkapa, saa 1:00 usiku...

SIMBA YAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA WAARABU

0
 MOHAMED Hussein, nahodha msaidizi wa Simba amesema kuwa morali ya wachezaji ni kubwa na wanaamini watapata matokeo chanya mbele ya Al Ahly ya Misri.Ikiwa...

KIKOSI CHA YANGA KINACHOTARAJIWA KUANZA LEO DHIDI YA MTIBWA SUGAR

0
 KIKOSI cha Yanga kinachotarajiwa kuanza leo dhidi ya Mtibwa Sugar,  Uwanja wa Mkapa:-Metacha Mnata Mustapha Yassin Lamine Moro Bakari Mwamnyeto Kibwana Shomari Tuisila Kisinda Tonombe Mukoko Feisal Salum Ditram Nchimbi Deus Kaseke Michael Sarpong

KIKOSI CHA MTIBWA SUGAR KINACHOTARAJIWA KUANZA LEO DHIDI YA YANGA

0
 Kikosi cha Mtibwa Sugar kinachotarajiwa kuanza leo Februari 20 dhidi ya Yanga, Uwanja wa Mkaba:-Mshery AbuutwalibHassan KessyMartin KigiDickson DaudIssa RashidHaruna ChanongoAwadh JumaBaraja MajogoroGeorge Makang'aRiphat...