KIKOSI CHA TP MAZEMBE KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA SIMBA, UWANJA WA MKAPA
KIKOSI cha TP Mazembe kitakachoanza leo dhidi ya Simba, Uwanja wa Mkapa, Simba Super Cup.Mounkoro IbrahimTandi MwapeArsene ZolaKabaso ChongoJosep OchanyaChris KisangalaChristian KoumeFred DjedejeIsaac TshibanguRainford...
KIKOSI CHA SIMBA KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA TP MAZEMBE, SIMBA SUPER CUP
IKIWA leo ni kilele cha Simba Simba Super Cup Uwanja wa Mkapa ambapo Simba itamenyana na TP Mazembe, hiki hapa kikosi cha Didier Gomes...
MASHABIKI WA SIMBA V TP MAZEMBE WAPEWA TIKETI BURE NA SPOTI XTRA
TIMU ya Masoko kutoka Kampuni ya Global Group kambao ni wachapishaji wa magazeti namba moja kwa habari za michezo kupitia gazeti la Spoti Xtra...
YANGA WATAMBIA BENCHI LAO LA UFUNDI, YATAJA MAKOMBE INAYOHITAJI
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa benchi lao la ufundi lipo imara jambo ambalo wanaamini kwamba litawapa matokeo mazuri kwenye mechi zao za Ligi Kuu...
DSTV CHUPUCHUPU WALE KICHAPO KWA GLOBAL FC
UNAWEZA ukasema watasimulia waendako, mara baada ya kikosi bora na ghali cha Kampuni ya Global Group, Global FC kuupiga mwingi dhidi ya timu ya...
KANE MAJANGA TUPU, HATIHATI KUUKOSA MCHEZO WA KUFUZU KOMBE LA DUNIA
HARRY Kane, mshambuliaji wa kikosi cha Tottenham imeelezwa kuwa anaweza kukaa nje ya uwanja kwa muda mrefu tofauti na ilivyoelezwa awali.Kane aliumia kwenye mchezo...
LUKAKU NA ZLATAN YAWAKUTA, WAPIGWA PINI ITALIA
KAMATI ya nidhamu ya Ligi Kuu ya Italia imewafungia mastaa wawili kwenye ligi hiyo, Zlatan Ibrahimovic wa AC Milan na Romelu Lukaku wa Inter...
YANGA WAZUNGUMZIA HALI ZA YACOUBA NA NTIBANZOKIZA
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa kwa sasa maendeleo ya nyota wao watatu ambao ni majeruhi ndani ya kikosi hicho ambao ni Saido Ntibanzokiza, Yacouba...
MORRISON AWEKA REKODI TATU KWA MKAPA KAMA NAMBA YA JEZI
NYOTA wa kikosi cha Simba, Bernard Morrison ameweza kuweka rekodi tatu za ajabu ndani ya Uwanja wa Mkapa kama namba yake ya jezi inavyosoma...
ISHU YA MKUDE KUREJEA SIMBA IMEKAA NAMNA HII
JONAS Mkude, nyota wa Klabu ya Simba kwa sasa anasubiri simu ya Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez ili aweze kurejea kambini.Kiungo huyo mkabaji...