MWAMBA WA LUSAKA ATUA BONGO, FITI KUIBUKIA SIMBA DAY
CLATOUS Chama mwamba wa Lusaka, amerejea nchini tayari kwa ajili ya mchezo wa Simba day dhidi ya Vital'O ya Burundi, utakaopigwa Agosti 22 Uwanja...
SABABU YA TANZANIA PRISONS KUHAMISHIA MAKAZI YAO UWANJA WA NELSON MANDELA, RUKWA HII HAPA
UONGOZI wa Tanzania Prisons umesema kuwa sababu kubwa ya kuhamishia makazi yao mkoani Rukwa ni kupisha ukarabati wa hostel zao pamoja na uwanja wao...
RASMI SASA, SENZO WA SIMBA NI MALI YA YANGA
UONGOZI wa Yanga, rasmi leo umemtambulisha Senzo Mbatha kuwa mfanyakazi wao ndani ya klabu hiyo akitokea Klabu ya Simba.Senzo alijiuzulu nafasi yake ndani ya...
LUIS , KONDE BOY WA SIMBA KAENDA ZAKE KUOA
UONGOZI wa Simba umesema kuwa kiungo wao Luis Miqussone,'Konde Boy' bado hajarejea Bongo kwa kuwa aliomba ruhusa ili aende akatimize jambo la msingi la...
ORODHA YA WACHEZAJI WAPYA YANGA, MABEKI WAKIMBIZA
Majembe tisa mapya Yanga Kwenye ulinzi bi balaa wapo wanne cheki namna walivyo hapa:- Mustapha Yassin beki kutoka Polisi Tanzania.Zawadi Mauya kiungo kutoka Kagera...
MAISHA MAPYA NDANI YA TIMU MPYA ILA URAFIKI WAO KITAMBO UNAENDELEA
HAWA ni marafiki wa kitambo sasa wanaendelea kuwa marafiki ndani ya timu zao mpya namna hii:- Awesu Awesu v David Kissu Wote wapo zao Azam...
MAJEMBE YA KAZI YANGA KUSHUKA LEO, MWINGINE TENA AINGIA ANGA ZA YANGA
TUISILA Kisinda na Tonombe Mukoko wachezaji wapya wa Klabu ya Yanga wanatarajiwa kuwasili nchini leo Agosti 20 majira ya saa saba mchana. Nyota hao...
LUKAKU WA MOTO KINOMA, CONTE KUJUA HATMA YAKE KESHO AKISHINDWA KUFURUKUTA MBELE YA SEVILLA
KESHO, Agosti 21 ni vita kati ya Inter Milan v Sevilla kwenye fainali ya Kombe la Europa na mshindi atasepa na taji lake. Inter...
SIMBA YATAJA SABABU YA AJIBU KUJENGA USHKAJI NA BENCHI, ANATAJWA KUIBUKIA NAMUNGO FC
UONGOZI wa Simba umesema kuwa kiungo wao mshambuliaji Ibrahim Ajibu hakuwa na nafasi ndani ya kikosi cha kwanza kwa kuwa falsafa ya timu hiyo...