HAWA HAPA WAWILI WA YANGA HATIHATI KUIKOSA TANZANIA PRISONS LEO
NYOTA wawili wa kikosi cha kwanza cha Yanga leo kuna hatihati ya kuukosa mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa Uwanja wa Mkapa dhidi ya...
JEMBE JIPYA SIMBA HATMA YAKE MIKONONI MWA SVEN
IBRAHIM Ame, beki mpya ndani ya kikosi cha Simba hatma yake ya kuwavaa Ihefu leo ipo mikononi mwa Kocha Mkuu Sven Vandenbroeck kwa kuwa...
HIZI HAPA 12 LEO KUANZA KUSAKA POINTI TATU NDANI YA LIGI KUU BARA
LEO Septemba 6 mitambo ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara inawashwa rasmi ambapo timu 12 zitakuwa kwenye viwanja vitano kusaka pointi tatu muhimu na...
YANGA WATUMA UJUMBE HUU KWA SIMBA
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa hesabu zao kubwa kwa msimu mpya wa 2020/21 ni kuweza kutwaa kombe la Ligi Kuu Bara ambalo lipo mkononi...
ISHU YA KUANZA KIKOSI CHA KWANZA KWA NYOTA WA SIMBA IPO HIVI
SVEN Vandenbroeck raia wa Ubelgiji ambaye ni Kocha Mkuu wa Simba, amewapa mchongo wachezaji wake wapya, Bernard Morrison na Larry Bwalya kwa kusema wana...
MSERBIA WA YANGA APEWA MAJUKUMU MAZITO
KOCHA Mkuu mpya wa Yanga Mserbia, Zlatko Krmpotic amepewa masharti makubwa kwenye mkataba ambayo anatakiwa kuyafanya msimu ujao unaoanza leo Septemba 6. Kocha huyo alitua...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTI XTRA Jumapili
BREAKING: MRITHI WA SENZO SIMBA HUYU HAPA
UONGOZI wa Simba umesema kuwa Mtendaji Mkuu mpya ndani ya Simba (CEO), atakuwa ni Barbara Gonzalez ambaye atarithi kiti cha Senzo Mbatha.Mkurugenzi wa Bodi...
ISHU YA ‘SUB’ 5 NDANI YA LIGI KUU BARA IMEKAA HIVI
MTENDAJI Mkuu wa Bodi ya Ligi, Almas Kasongo amesema kuwa hakutakuwa na mabadiliko ya wachezaji watano kama ambavyo walitumia katika kumalizia ligi msimu uliopita. Ligi...
IHEFU YAMNYIMA USINGIZI KOCHA MKUU WA SIMBA SVEN
KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck, amesema ilibidi akeshe siku mbili akiwa anazisoma mbinu za Ihefu SC kabla ya kesho Jumapili kuvaana nao katika...