YACOUBA, JEMBE LA KAZI NDANI YA YANGA KUIBUKIA MKWAKWANI

0
 MSHAMBULIAJI wa kikosi cha Yanga, Yacouba Songne huenda kesho ataanza kwenye mchezo wa ligi kuu dhidi ya Coastal Union ya Tanga baada ya kukosekana uwanjani...

RUVU SHOOTING YAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA DODOMA JIJI

0
  UONGOZI wa Ruvu Shooting umeweka wazi kwamba unazihitaji pointi tatu za Dodoma Jiji, kwenye mchezo wao wa ligi utakaochezwa Uwanja wa Mabatini leo Machi...

AZAM FC KAMILI GADO, YAZITAKA POINTI TATU ZA KAGERA SUGAR

0
 VIVIER Bahati, kocha msaidizi wa Azam FC amesema kuwa wanatambua kwamba mchezo wao wa leo dhidi ya Kagera Sugar utakuwa mgumu ila wapo tayari...

WATANO WA YANGA KUIKOSA COASTAL UNION MKWAKWANI

0
 IKIWA kesho inatarajiwa kushuka Uwanja wa Mkwakwani kusaka pointi tatu mbele ya Wagosi wa Kaya, Coastal Union, Yanga inatarajiwa kukosa huduma ya nyota wake...

GOMES :- TULIENI…HAWA EL MERREIKH NAWAJUA NNJE NDANI

0
Kocha Mkuu wa Simba Didier Gomes amesema kuwa watanzania na mashabiki wa soka nchini, hususani wa Simba SC watulie wale biriani wakati huu ambapo...

MO DEWJI AWAWEKEA WACHEZAJI WA SIMBA SC MILIONI 200 MEZANI ZA KUIUA EL MERREIKH...

0
SIMBA inapaa leo kuwafuata El Merreikh ya Sudan katika mchezo wao wa tatu wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi, huku kocha wa...

ZAHERA : SARPONG HANA SHIDA..SHIDA IKO KWA KAZE NA WENZAKE

0
Kocha wa zamani wa Yanga SC, Mwinyi Zahera amesema kuwa anawashangaa watu wanaomponda mshambuliaji  raia wa Ghana anayeichezea Yanga SC Michael Sarpong, kwani mchezaji...

KENEDY JUMA:ILIKUWA NDOTO YANGU KUCHEZA MASHINDANO YA KIMATAIFA

0
 KENEDY Juma, beki wa Simba amesema kuwa kwa muda ambao amepewa kwenye muda wa mechi za kimataifa licha ya kutomaliza dakika 90 kwake ni...

BOCCO ATOA KAULI YA KISHUJAA SIMBA AKIPAA SUDANI LEO

0
NAHODHA wa klabu ya Simba, John Bocco amesema mchezo wao dhidi ya Al Merreikh utakuwa mgumu lakini watahakikisha wanapambana ili kupata matokeo mazuri."Ni mechi...

GSM WAFUNGUKA KUHUSU TAARIFA ZA KAZE KUFUKUZWA YANGA

0
MAKAMU Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano ya Yanga, Injinia Hersi Said amesema kuwa wana mipango mirefu na Kocha Mkuu wa timu hiyo Cedric Kaze...