BREAKING: SIMBA YATINGA CAF KUOMBA UCHUNGUZI
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa umepeleka barua Caf kwa ajili ya kuomba uchunguzi kuhusu Klabu ya Al Merrikh ya Sudan kuchezesha wachezaji wawili...
WACHEZAJI YANGA WAPEWA ONYO BAADA YA KAZE KUFUKUZWA
BAADA ya Klabu ya Yanga kuachana na benchi lao la ufundi lililokuwa likiongozwa na Kocha Mkuu, Cedric Kaze wachezaji nao wamepewa onyo kuacha uzembe...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMANNE
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTI XTRA Jumanne
SIMBA YAPEWA MCHONGO NAMNA YA KUPATA POINTI TATU ZA MEZANI KIMATAIFA
ISMAIL Aden Rage, Mwenyekiti wa zamani wa Klabu ya Simba amesema kuwa ikiwa madai ambayo yanaelezwa kuhusu wachezaji wa Al Merrikh kucheza wakiwa wamefungiwa...
METACHA ATAJWA KUJIWEKA KANDO NDANI YA KIKOSI CHA YANGA
IMEELEZWA kuwa kipa namba moja wa Klabu ya Yanga, Metacha Mnata amejiweka kando ndani ya klabu hiyo kutokana na matokeo mabovu ambayo wamekuwa yakipatikana...
KATIBU YANGA:- KAMATI YA USAJILI YA YANGA NI ‘JIPU’
ALIYEKUWA katibu muenezi wa Yanga, Abdallah Sauko ameunga mkono maamuzi ya uongozi kumtimua kocha Cedrick Kaze, lakini ameamua kutumbua jipu katika kamati ya usajili...
VIONGOZI YANGA WATAJIWA JINA LA KOCHA MPYA
BAADA klabu ya Yanga kuachana na kocha wake Cedric Kaze, wadau wa soka wamewashauri viongozi wa Yanga kutafuta kocha mzawa kwa kipindi hiki kilichosalia.Uongozi...
NAMUNGO WAIFUATA RAJA CASABLANCA WAKIWA ‘FULL MZUKA’
MSAFARA wa watu 32 wa timu ya Namungo umeondoka Jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo Machi 8, kuelekea nchini Morocco katika mchezo...
KOCHA SIMBA :- YANGA BADO INANAFASI YA KUSHINDA UBINGWA LIGI KUU
Aliyewahi kuwa Kocha Mkuu wa Simba na sasa ni Mkurugenzi wa mashindano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Salum Madadi amesema bado nafasi ya...
ALICHOSEMA CEDRIC KAZE BAADA YA KUFUTWA KAZI YANGA JANA
MASAA kadhaa baada ya Uongozi wa Klabu ya Yanga kumfungashia virago Kocha Mkuu wake Mrundi Cedric Kaze ametoa la moyoni baada ya uamuzi huo.Kaze...


