BALE AINGIA ANGA ZA MANCHESTER UNITED
MANCHESTER United ipo kwenye mpango wa kuinasa saini ya nyota wa Real Madrid, Gareth Bale ili ajiunge na kikosi hicho kinachonolewa na Ole Gunnar...
AZAM FC :TUNATAKA KUENDELEZA KUPATA USHINDI
BAADA ya ushindi katika michezo miwili mfululizo waliopata timu ya Azam FC, uongozi wa timu hiyo umetamba kuendeleza ushindi katika michezo inayofuata ya ligi...
MBEYA CITY BADO HAIJAPOTEZA MATUMAINI VPL
AMRI Said, Kocha Mkuu wa Mbeya City amesema kuwa wachezaji wake hawajapoteza matumaini ya kupata ushindi kwenye mechi zake zinazofuata licha ya kupoteza mechi...
HII HAPA RATIBA KAMILI YA MZUNGUKO WA TATU VPL
KWA sasa Ligi Kuu Tanzania Bara mzunguko wa pili umeshameguka msimu wa 2020/21.Mchezo wa mwisho ulichezwa jana ambapo ilikuwa ni kati ya Namungo FC ...
NYOTA AZAM FC APATA SHAVU ISRAEL
NYOTA wa Azam FC, Novatus Dismas mwenye tuzo ya mchezaji bora chipukizi kwa msimu wa 2019/20 alipokuwa akikipiga ndani ya Bashara United kwa mkopo...
YANGA HAO KUIFUATA KAGERA SUGAR
KIKOSI cha Yanga, kesho kinatarajiwa kuanza safari kuifuata Kagera Sugar kwa ajili ya kuvaana nao kwenye mchezo wao wa Ligi Kuu Bara kwa msimu...
KOCHA SIMBA AWABADILISHIA MBINU MORRISON NA ONYANGO
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa atawabadilishia mbinu wachezaji wake wote wa kikosi cha kwanza ikiwa ni pamoja na Bernard Morrison na...
NENO LA NEYMAR JR BAADA YA KULIMWA KADI NYEKUNDU
NEYMAR Jr alikuwa miongoni mwa wachezaji watano waliotolewa kwa kadi nyekundu katika mchezo wa ligi kuu ya Ufaransa ambao PSG ilifungwa kwa bao 1-0.Wakati...
SIMBA KUANZA KUIWINDA BIASHARA UNITED
KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck, kesho kinatarajiwa kuanza mazoezi kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya...
POLISI TANZANIA YAITUNGUA BAO 1-0 NAMUNGO, MAJALIWA
KIKOSI cha Polisi Tanzania leo Septemba 14 kimeibuka na ushindi wa bao 1-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja wa Majaliwa, Lindi...