SEHEMU YA CV YA KOCHA MPYA YANGA HII HAPA

0
KLABU ya soka ya Yanga, tayari imemtangaza, Edem Mortotis kuwa kocha wao mpya wa viungo na utimamu wa mwili ambaye anakuja kuchukua nafasi iliyoachwa...

LOKOSA ATAMBA KUBEBA MAKOMBE SIMBA

0
MSHAMBULIAJI mpya wa klabu ya Simba raia wa Nigeria, Junior Lokosa amefunguka kuwa malengo yake makubwa ya kujiunga na Simba ni kuja kushinda mataji...

GOMEZ: TUNATAKA KUSHINDANA NA MAZEMBE, AL AHLY AFRIKA

0
KOCHA mkuu wa klabu ya Simba, Didier Gomes Da Rosa amefunguka kuwa malengo yake ni kuhakikisha anatengeneza kikosi imara ambacho kitakuwa na uwezo wa...

MFARASA WA SIMBA AANZA KAZI NA MABAO 17

0
 DIDIER Gomes, Kocha Mkuu wa Klabu ya Simba, raia wa Ufaransa ameanza kazi rasmi ya kukinoa kikosi hicho akiwa na mitambo iliyotupia jumla ya...

MESSI ATAJWA KUINGIA ANGA ZA PSG, HALI BARCELONA NI TETE

0
 IMEELEZWA kuwa nyota wa kikosi cha Barcelona, Lionel Messi ameanza kujifunza Lugha ya Kifaransa na anahusishwa pia kuwa kwenye hesabu za Klabu ya PSG.Mkataba...

WAWAKILISHI WETU KIMATAIFA NI MUDA WA KUANZA MAANDALIZI

0
KAZI kubwa kwa wawakilishi wetu kimataifa ni kuweza kupeperusha bendera ya taifa la Tanzania kwa mafanikio makubwa hasa kwenye mechi za kimataifa.Ipo Namungo FC...

KOCHA MKUU YANGA KUANZA NA SAIKOLOJIA YA WACHEZAJI

0
 CEDRIC Kaze, Kocha Mkuu wa Klabu ya Yanga amesema kuwa ataanza kuwaweka sawa kisaikolojia wachezaji wake ambao ameanza nao mazoezi ikiwa ni pamoja na...

MORRISON:WANASEMA NINA HERNIA, NITAFANYA KAZI SIMBA

0
 BERNARD Morrison amesema kuwa atazidi kufanya vizuri ndani ya kikosi chake cha Simba licha ya wengi kueleza kuwa ana hernia jambo ambalo halina ukweli.Jana,...

WALLACE KARIA APETA FIFA

0
 WALLACE Karia, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania,(TFF) amefanikiwa kuteuliwa kugombea nafasi ya Mjumbe wa Baraza la Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA).Nafasi ambayo...

MZIMBABWE WA SIMBA ATAKA NAMBA KIKOSI CHA KWANZA

0
 PETER Mudhuwa, beki mpya ndani ya Klabu ya Simba, raia wa Zimbabwe amesema kuwa anataka kuwa sehemu ya kikosi cha kwanza kutakachoanza kwenye mechi...