MO DEWJI: UNAMTAKA MIQUISSONE, SUBIRI MIAKA MITATU NA NUSU…

0
  Kama kuna klabu ina mpango wa kuingia mkataba na kiungo nyota wa Simba, Luis MIquissone, italazimika kusubiri miaka mingine mitatu na nusu au...

WAPINZANI WA KIMATAIFA KUTOKA NIGERIA WAANZA KUIFUATILIA SIMBA

0
 PLATEAU United ni wapinzani wa Simba katika Ligi ya Mabingwa Afrika lakini uongozi wa timu kutoka nchini Nigeria, umesema kuwa tayari umeanza kuwafuatilia kwa...

YANGA YA KAZE KAZINI LEO KUTESTI MITAMBO

0
KIKOSI cha Yanga leo Jumapili, Novemba 15 kitakuwa na kibarua cha kumenyana na African Lyon kwenye mchezo wa kirafiki.Mchezo wa leo ambao unatarajiwa kuchezwa...

MSUVA: MASLAHI YAMENIPELEKA WYDAD CASABLANCA

0
 WINGA machachari Mtanzania, Simon Msuva, amethibitisha kujiunga na Klabu ya Wydad Casablanca ya nchini Morocco kwa mkataba wa miaka minne na nusu akitokea Difaa...

BIASHARA UNITED YATAKA KUMALIZA NDANI YA TANO BORA

0
 FRANCIS Baraza, Kocha Mkuu wa Biashara United amesema kuwa malengo makubwa ya timu yake ni kumaliza ndani ya tano bora kwa msimu wa 2020/21...

SIMBA YAMKOMALIA CHAMA MPAKA TIMU YA TAIFA, KISA YANGA

0
 SIMBA wameanza kupata hofu na kiungo wao Clatous Chama baada ya kumwekea ulinzi kila mahali ili asinaswe na wapinzani wao.Kumekuwa na taarifa mbalimbali kuhusu kiungo...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTI XTRA JUMAPILI

0
 MUONEKANO wa ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTI XTRA Jumapili 

KOCHA WA MABINGWA WA COSAFA, U 17 ATOA SHUKRANI KWA MUNGU

0
 EDNA Lema, Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake chini ya miaka 17 amesema kuwa shukrani kubwa ni kwa Mungu pamoja na...

JEMBE LA KAZI YANGA KAMILI GADO KUIVAA AZAM FC, LAANZA MATIZI

0
 NAHODHA wa Yanga, Lamine Moro, kwa sasa yupo fiti baada ya kupata maumivu kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba, Novemba 7.Moro hakuweze...

SIMBA KUVUTA MAJEMBE YA KAZI, WATATU WAPO KWENYE ORODHA

0
 UONGOZI wa Simba umeweka bayana kuwa utafanya usajili wa kushtua kwenye dirisha dogo ambalo linatarajiwa kufunguliwa Desemba 15.Simba chini ya Kocha Mkuu Sven Vandenbroeck...