KUONA SPIDI YA TUISILA KISINDA UWANJANI BUKU TATU TU
KESHO Novemba 15 kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Cedric Kaze kitakuwa na mchezo wa kirafiki dhidi ya African Lyon utakaochezwa Uwanja wa...
NAMUNGO YAJIWEKA MGUU SAWA KIMATAIFA
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo FC amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya kuiwakilisha nchi kimataifa kwenye mashindano ya kimataifa.Namungo inaiwakilisha nchi katika...
KOCHA BORA MWEZI OKTOBA, KAZE AWAPA TANO WACHEZAJI WAKE
KOCHA Mkuu wa Yanga, Cedric Kaze amesema kuwa anaamini wana nafasi ya kufanya vizuri kwenye mechi zao kutokana na hali ya upambanaji wa wachezaji...
AZAM FC KUTESTI MITAMBO KUELEKEA MCHEZO WAO DHIDI YA KMC
VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam FC leo Novemba 14 watakuwa na mchezo wa kutesti mitambo dhidi ya Mbeya Kwanza.Azam kwenye ligi imecheza...
MARADONA ASHAURIWA KUACHA POMBE
LIGENDI wa Argertina, Diego Maradona, ametolewa hospitali siku ya Jumatano, na kuelekea kliniki ya kurekebisha tabia ili kuacha kutegemea pombe.Nyota huyo ambaye anakumbukwa kwa kufunga...
KOCHA SIMBA AUFIKIRIA MUZIKI WA PLATEAU YA NIGERIA
KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck amesema kuwa hesabu kubwa kwa sasa ndani ya kikosi hicho ni kwenye mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa...
STARS YAPANIA KUPINDUA MEZA KIBABE KWA MKAPA
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Etienne Ndayiragije amesema kuwa kupoteza mchezo mbele ya Tunisia ni somo watapambana kwenye mchezo wa marudio...
RIVARDO: BARCELONA LAZIMA IFANYE USAJILI WA WASHAMBULIAJI
GWIJI wa Klabu ya Barcelona na timu ya Taifa ya Brazil, Rivaldo amesema kuwa klabu yake hiyo ya zamani inapaswa isajili washambuliaji wawili kwa...
FAINALI YA KIBABE KUCHEZWA LEO TANZANIA V ZAMBIA, ASHA ANAWAZA REKODI
LEO nchini Afrika Kusini inatarajiwa kuchezwa fainali ya mashindano ya Cosafa kati ya Tanzania na Zambia.Kwenye mchezo wa leo unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa...
AUBAMEYANG MAMBO MAGUMU ARSENAL KWA SASA BAADA YA KUSAINI DILI
MSHAMBULIAJI wa Arsenal, Pierre- Emerick Aubameyang ameendelea kuwashtua wengi kutokana na kiwango ambacho amekuwa akikionyesha msimu huu. Staa huyo ambaye misimu miwili iliyopita alifanikiwa kuibuka...