YANGA:HATUNA PRESHA,TUTAZIDI KUPAMBANA
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umesema kuwa hauna presha na mambo yote ambayo yanaendelea ndani ya Bongo kwa kuwa wamejipanga kufanya vema kwa msimu...
MZUNGUKO WA 10 KUNA MAMBO YA KUJIFUNZA, LIGI DARAJA LA KWANZA ISIPEWE KISOGO
MZUNGUKO wa 10 umekamilika na kila kitu kimekwenda kwa namna ambavyo mipango ilikuwa ni jambo jema kuona kwamba kila kitu kimekuwa sawa.Yale ambayo yametokea...
KOCHA UFARANSA: POGBA HANA FURAHA NDANI YA MANCHESTER UNITED
KOCHA wa timu ya Taifa ya Ufaransa, Didier Deschamps, amesema kiungo wa Manchester United, Paul Pogba, hana furaha na nafasi anayochezeshwa kwenye timu hiyo...
YANGA YAIPIGA KIJEMBE KIMTINDO SIMBA ISHU YA CHAMA
MENEJA wa kikosi cha Yanga, Hafidhi Saleh, amesema kuwa Yanga haihusiki kwa namna yoyote na makosa ya mwamuzi wa mchezo wa dabi, Abdallah Mwinyimkuu...
SIMBA YAPANIA KUFANYA MAKUBWA KIMATAIFA, WAPINZANI WAO WAPO SIO WAKUBEZA
UONGOZI wa Simba umeweka bayana kwamba utawashangaza wengi kwenye kazi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa kuwa wanaiwakilisha nchi kwenye mashindano makubwa jambo ambalo...
MALENGO YA AZAM FC YAPO KWENYE KUTWAA UBINGWA
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa hesabu kubwa kwa msimu wa 2020/21 ni kuona inatimiza malengo ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara na...
STARS YABEBA MATUMAINI YA KUFANYA VIZURI KESHO DHIDI YA TUNISIA
ETIENNE Ndayiragije, Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema kuwa kutokana na maandalizi ambayo wameyafanya wana imani ya kufanya vizuri...
KAZE AINGIA KWENYE MTEGO MWINGINE NDANI YA YANGA
BAADA ya kumaliza kibarua chake cha kusaka pointi 12 kwenye mechi zake nne za mwanzo, Kocha Mkuu wa Yanga, Cedric Kaze ameingia kwenye mtengo...
KIPA MWADUI ABEBESHWA ZIGO LA MABAO, AWEKA REKODI YA DAKIKA 900
MUSSA Mbissa, kipa namba moja wa Klabu ya Mwadui FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Khaleed Adam ameweka rekodi yake ya kuwa kipa namba moja...
ISHU YA NYOTA WAWILI KUTAKIWA NA TP MAZEMBE UONGOZI WA YANGA WACHEKELEA
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa suala la wachezaji wake wawili wazawa kudaiwa kuwa wanawaniwa na Klabu ya TP Mazembe linawapa matumaini ya kuamini kwamba...