NAHODHA MANCHESTER UNITED: TUNAPINGWA KWA SABABU YA WIVU
NAHODHA wa Klabu ya Manchester United, Harry Maguire anaamini kuwa kinachoitesa kwa sasa timu hiyo ni kupitia kipindi cha mpito cha kupingwa na baadhi...
KLOPP APATA HOFU KUIKABILI MANCHESTER CITY
KOCHA wa Liverpool, Jurgen Klopp amesisitiza kuwa leo atakuwa na kazi ngumu kwani kucheza na Manchester City huwa kuna ugumu kati yao. Leo Jumapili,Novemba 8...
ILE PENALTI YA YANGA,MH NDANI YA SPOTI XTRA JUMAPILI
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele gazeti la Spoti Xtra Jumapili lipo mtaani jipatie nakala yako
LEO NI KAMA FAINALI KWA TANZANITE
Na Mwandishi Wetu, Port Elizabeth Kikosi cha timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania chini ya miaka 17 kinacheza mechi yake ya tatu ya michuano...
SIMBA :HAIKUWA MIPANGO YETU KUPATA SARE MBELE YA YANGA
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kupata sare ya kufungana baoa 1-1 dhidi ya Yanga jana Novemba 7 haikuwa kwenye mpango wake...
KAZE: MAMBO YALIKUWA MAGUMU KIPINDI CHA PILI
KOCHA Mkuu wa Yanga, Cedric Kaze amesema kuwa wachezaji wake jana Novemba 7 walionyesha bidii kwenye kuska matokeo kipindi cha kwanza ila mambo yalibadilika...
THIERY:HAKUNA MAANDALIZI KWA SASA NDANI YA NAMUNGO
HITIMANA Thiery Kocha Mkuu wa Namungo amesema kuwa kwa sasa timu yake ipo mapumziko kwa kuwa ligi imesimama kwa muda kupisha maandalizi ya timu...
SIMBA YABANWA MBAVU KWA MKAPA NA YANGA, YAAMBULIA POINTI MOJA
MABINGWA watetezi Simba chini ya Kocha Mkuu, Sven Vandenbroeck leo, Novemba 7 wamebanwa mbavu Uwanja wa Mkapa wakiwa na nyota wao namba moja Clatous...
LIVE: YANGA 1-0 SIMBA
Dakika 45 zimekamilika zimeongezwa dk 2Yanga 1-0 SimbaDakika ya 40 Mnata anapewa huduma ya kwanzaDakika ya 31 Michael Sarpong Gooooal penaltiDakika ya 28 Kisinda...
RASMI, KIKOSI CHA SIMBA V YANGA, CHAMA MAJERUHI NDANI
KIKOSI cha Simba leo kitakachoanza dhidi ya Yanga Uwanja wa Mkapa Novemba 7, majeruhi Clatous Chama kwa mujibu wa Kocha Mkuu Sven Vandenbroeck naye...